Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Huu uchaguzi mbona unaleta mapya, kukosa ubunge sio kesi, 2025 ipo na inakuja.Nasema mabeberu yabane mpaka ARV na isiwe msaada bali tununue!
Tutazoa wabunge na Madiwani na Urais mwaka 2025 TUNDU LISSU.
Tuwaachie CCM watawale nchi yao.