Matapeli wa kisiasa waliopoteza chanzo cha mapato wanatafuta msaada kwenye tuta

Matapeli wa kisiasa waliopoteza chanzo cha mapato wanatafuta msaada kwenye tuta

Huu uchaguzi mbona unaleta mapya, kukosa ubunge sio kesi, 2025 ipo na inakuja.

Tutazoa wabunge na Madiwani na Urais mwaka 2025 TUNDU LISSU.

Tuwaachie CCM watawale nchi yao.
Mbona tumeshawaacha kitambo sana. Ila wao Sasa Mara mtuletee viti maalumu, Mara SUK.

Chapeni kazi jamani siku zinakimbia mtashangaa ata reli ya mwendo Kasi haishi.

#Usitukane baba yako EU anayekulisha ugali#
 
Hawa wapambe wa chama wanajing'ata na wanajipuliza duu CCM bwana
 
Mimi najua watawala wataendelea kula maisha ya raha mustarehe!Ila hao wanyonge maisha yakiwa magumu basi lazima watauchukia utawala!Na hapo ndipo watakuwa tayari kwa mabadiliko!Lakini kama watu wanauwawa,kutekwa,kupigwa risasi,kubambikiziwa kesi,kuhujumiwa uchaguzi halafu hakuna kinachotokea basi tabia hiyo itashamiri!
unajisumbua bure kujiletea pressure zisizo za lazima. You can not change the world
 
Tunajua fika Chadema na Act wazalendo ni vyama ambavyo kwa ushahidi wa wazi kabisa ambao hauna chembe kuwa ni vyama vya wasaka matonge. Wao kuweka pesa mfukoni ndio lilikuwa jambo la kwanza kuliko maslahi ya Tanzania na raia wake.

Tulishuhudia Zitto Kabwe akizurula Ulaya na Usa na kunadi kuwa hakuna demokrasia nchini,na hata haki ya watoto wa kike kusoma wakiwa na mimba inaminywa,akaandika barua tunyimwe mkopo. Hakuwa na muda wa kutumikia wananchi wa Kigoma, muda wote alikuwa anazurula nje ya nchi kusaka ufadhili wa mabeberu ili ajinufaishe kwa madai ya kutetea demokrasia kama vile Tanzania hakuna Demokrasia.

Chadema wao ndio wananchi walisha wachoka na siasa zao za kishamba za harakati zisizo na mashiko, kudai maandamano, kuvamia magereza, kupinga maendeleo ya wananchi huku nao wanayafaidi, wananchi waliwachoka hata kabla ya kupiga kura. Na kwenye boksi la kura wamepata wanacho stahili.

Act wazalendo na Chadema walizoea kupata ruzuku na michango ya wananchi bure kabisa, sasa kimoja kimekufa mende style hakuna ruzuku ya mil 360, hakuna michango ya wabunge zaidi ya mil 100 kwa mwezi.

Kilichobaki wanasaka msaada kwenye tuta, Eu iinyime misaada Tanzania ili wao wafurahi! Watanufaika nini? Tril 2 ambazo ni msaada wa EU kwa Tanzania mimi naona ni kitu kidogo sana kwa nchi ambayo inakusanya tril 1.5 kwa mwezi, achana na mapato mengine.

Watanzania tunajua siasa ni mtaji wenu, mlikuwa mnakula kwa kupitia vyama vyenu sasa wananchi wamewakataa, kuomba dua mbaya kwa Tanzania ni kupoteza muda.
Wewe kweli ni mwendazimu, mmeiba na kisha mnatukana wale mliowaibia.
 
Nashauri ARV nazo zisitolewe bure ili tuzinunue ghali kama yalivyo madawa ya Cancer!
Mbinyo uwe mkali mpaka kila mwananchi ausikie umegonga mfupa!Pengine tutakumbuka kutenda haki!
Kwani nani tashindw kununua watawala au wananchi chadema bure kabisaa
 
Kwani nani tashindw kununua watawala au wananchi chadema bure kabisaa
Wananchi wa kawaida ndio watakaotaabika!Na ikitokea hivyo serikali lazima irekebishe mambo ili ichaguliwe tena!Au unadhani kuna mtu atachagua serikali inayomletea mateso?
 
Tunajua fika Chadema na Act wazalendo ni vyama ambavyo kwa ushahidi wa wazi kabisa ambao hauna chembe kuwa ni vyama vya wasaka matonge. Wao kuweka pesa mfukoni ndio lilikuwa jambo la kwanza kuliko maslahi ya Tanzania na raia wake.

Tulishuhudia Zitto Kabwe akizurula Ulaya na Usa na kunadi kuwa hakuna demokrasia nchini,na hata haki ya watoto wa kike kusoma wakiwa na mimba inaminywa,akaandika barua tunyimwe mkopo. Hakuwa na muda wa kutumikia wananchi wa Kigoma, muda wote alikuwa anazurula nje ya nchi kusaka ufadhili wa mabeberu ili ajinufaishe kwa madai ya kutetea demokrasia kama vile Tanzania hakuna Demokrasia.

Chadema wao ndio wananchi walisha wachoka na siasa zao za kishamba za harakati zisizo na mashiko, kudai maandamano, kuvamia magereza, kupinga maendeleo ya wananchi huku nao wanayafaidi, wananchi waliwachoka hata kabla ya kupiga kura. Na kwenye boksi la kura wamepata wanacho stahili.

Act wazalendo na Chadema walizoea kupata ruzuku na michango ya wananchi bure kabisa, sasa kimoja kimekufa mende style hakuna ruzuku ya mil 360, hakuna michango ya wabunge zaidi ya mil 100 kwa mwezi.

Kilichobaki wanasaka msaada kwenye tuta, Eu iinyime misaada Tanzania ili wao wafurahi! Watanufaika nini? Tril 2 ambazo ni msaada wa EU kwa Tanzania mimi naona ni kitu kidogo sana kwa nchi ambayo inakusanya tril 1.5 kwa mwezi, achana na mapato mengine.

Watanzania tunajua siasa ni mtaji wenu, mlikuwa mnakula kwa kupitia vyama vyenu sasa wananchi wamewakataa, kuomba dua mbaya kwa Tanzania ni kupoteza muda.
Well said 👏 mkuu
 
Kuna haja ya kujiuliza na kufanya utafiti wa kina,
kwa nini wananchi tumepoteza uzalendo kiasi hiki na nchi yetu pendwa??
Nani amepoteza uzalendo? Nyie wacheza bao na wanywa Alkasusu wa Dar? Njooni mikoani muone wanaume...
 
Back
Top Bottom