Matapeli wa kisiasa waliopoteza chanzo cha mapato wanatafuta msaada kwenye tuta

Nashauri ARV nazo zisitolewe bure ili tuzinunue ghali kama yalivyo madawa ya Cancer!
Mbinyo uwe mkali mpaka kila mwananchi ausikie umegonga mfupa!Pengine tutakumbuka kutenda haki!
Unatamani upewe ARV, una ngoma nini???
 
Hakuna kurudisha hela hapo! Lazima tuheshimiane tu. Warejee kwenye mkataba nao jamaa vigeugeu. Walisema Tanzania kuna korona, tungekufa kama kuku, ndipo tukajipanga kama mchwa. Halafu hata hiyo hela yao haijatosha.
 
Nashauri ARV nazo zisitolewe bure ili tuzinunue ghali kama yalivyo madawa ya Cancer!
Mbinyo uwe mkali mpaka kila mwananchi ausikie umegonga mfupa!Pengine tutakumbuka kutenda haki!
Hawa dawa yao dude linalokuja huko kutoka ICC na vikwazo kabambe. We waache tu wajitoe ufahamu. Ila wajue tu Safari hii wazungu lazima wawanyooshe kisawasawa
 
Uchaguzi kuisha ndio kwamba mateso kwa wapinzani yameisha?Akina Nusrat Henje wako mahabusu bila dhamana zaidi ya miezi minne sasa!Kosa ni kuimba "Mungu ibariki Chadema...",wakati huo huo CCM walioimba Mungu mmbariki Magufuli maisha yanaendelea kama kawaida!
Halafu unakuja kuniambia tuwe wamoja,shwain niwe na umoja na watu ambao wanatesa ndugu na rafiki zangu!
Mimi naunga mkono tuwekewe vikwazo mpaka tuishi kwa taabu sana,ilimradi mateso hayo tutapata wote!
Mgombea anakamatwa na Polisi kwa kuandamana halafu anajitetea "msininyanyase kwani mimi sio mpinzani bali ni mwana CCM",hadi wenyewe mnajua wanaopaswa kunyanyaswa ni upinzani!
Sina huo moyo,majanga yanyoikumba hii serikali basi kwangu mimi ni furaha!Iko hivyo,tutakapopata serikali inayotenda haki kwa wote,nitaiunga mkono!
 
Kwa hiyo tuharibu nchi yetu kwa kuwa tunao waunga mkono wamepigwa chini Ubunge? Udiwani?.

Urais wote tulikuwa tunajua Magufuli atashinda. Ukinyimwa ugali na mama unavunja vyombo vyote nyumbani ?.

HII NCHI NI MAMA YETU.
 
Nashauri ARV nazo zisitolewe bure ili tuzinunue ghali kama yalivyo madawa ya Cancer!
Mbinyo uwe mkali mpaka kila mwananchi ausikie umegonga mfupa!Pengine tutakumbuka kutenda haki!

Hata wabinye na korodani kabisa watz hawatobadilka.Kila mtu yupo na hamsini zake
 
Angalia wazalendo wa nchi hawa wabunge wa ccm wanalia lia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…