Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Unatamani upewe ARV, una ngoma nini???Nashauri ARV nazo zisitolewe bure ili tuzinunue ghali kama yalivyo madawa ya Cancer!
Mbinyo uwe mkali mpaka kila mwananchi ausikie umegonga mfupa!Pengine tutakumbuka kutenda haki!
Hayo majibu yanatakiwa kujibiwa mabeberu sio mimi maana ni kodi ya mabeberuHujui hiyo pesa ilitumika vizuri ndio maana haupati tabu ya chakula kama waganda na wakenya?
Hakuna kurudisha hela hapo! Lazima tuheshimiane tu. Warejee kwenye mkataba nao jamaa vigeugeu. Walisema Tanzania kuna korona, tungekufa kama kuku, ndipo tukajipanga kama mchwa. Halafu hata hiyo hela yao haijatosha.Kama EU wanataka hiyo 27m Euro yao ya Corona warudishiwe tu, hela za masimango hazina faida. Waendelee na mishe zao watuache na nchi yetu. Misaada ya EU ni kwenye 100m Euro kwa mwaka ( 600m kwa miaka 6 ), makampuni yao makubwa yapewe nchini hasa hasa kwenye mining wapigwe tu unfair tax invoice pesa hiyo ije kwetu kwa njia nyingine.
Uchumi Wa Kati Mpaka Mpaka Maji Hayashuki KooniNini sasa?
Dawa za ukimwi zipo tunazo humu humu TZ.Nashauri ARV nazo zisitolewe bure ili tuzinunue ghali kama yalivyo madawa ya Cancer!
Mbinyo uwe mkali mpaka kila mwananchi ausikie umegonga mfupa!Pengine tutakumbuka kutenda haki!
Wafadhili wa ndani wa Saccos sijui kwanini hawataki matumizi ya TINTIN Number
Saruji
Nini?Dawa za ukimwi zipo tunazo humu humu TZ.
MAGUFULI4LIFE.
Nasema ARV zipigwe pini!Unatamani upewe ARV, una ngoma nini???
Hawa dawa yao dude linalokuja huko kutoka ICC na vikwazo kabambe. We waache tu wajitoe ufahamu. Ila wajue tu Safari hii wazungu lazima wawanyooshe kisawasawaNashauri ARV nazo zisitolewe bure ili tuzinunue ghali kama yalivyo madawa ya Cancer!
Mbinyo uwe mkali mpaka kila mwananchi ausikie umegonga mfupa!Pengine tutakumbuka kutenda haki!
Kwani mimi ni serikali?Hayo iambie serikali yako sio mimi!Unaomba misaada ya ARV lakini huombi misaada ya maendeleo. Shame
Wakikujibu hawa wapuuzi nishtueMngekuwa na 1.5t kwa mwezi mngetafuna hela ya corona? Hesabu za kwenye makaratasi hata Machinga anaziweza. Mmekuwa mamotivational speakers matapeli.
Uchaguzi kuisha ndio kwamba mateso kwa wapinzani yameisha?Akina Nusrat Henje wako mahabusu bila dhamana zaidi ya miezi minne sasa!Kosa ni kuimba "Mungu ibariki Chadema...",wakati huo huo CCM walioimba Mungu mmbariki Magufuli maisha yanaendelea kama kawaida!Mimi hupenda kutoa mfano wa upinzani kwetu Kilimanjaro:
Karibu asilimia 90 ya wazee Kilimanjaro yaani mama zetu na baba zetu wako CCM na karibu vijana 70% wapo upinzani.
Hawa wazee tunaishi nao, tunapokea maelekezo yao, tunawapatia mahitaji yao, tunahakikisha mwisho wa mwaka tuna watembelea na tunawaachia kitu mkononi na kupata baraka zao. Kama tunaweza kuishi nao wazee wetu tunashindwaje kuishi na wanaCCM wengine. Au kwa kuwa sio wazazi wetu?
Yaliyotokea yametukwaza sana lakini wazee wetu hutufukuza tukifikia umri wa kutafuta mbona tunarudi kuwapelekea chochote na tuna jivunia wazee wetu.
Jee wanachama wa CCM ambao wengine huchanganyika na wazee wetu kwa nini tuwaone ni taabu?.
Tubadilike, Uchaguzi upo na utapita lakini maisha yata endelea.
MUME wenu (Beberu) kawapa hela ya kusuka rasta nyie mmekwenda kunyoa kiduku, anauliza hela yake mmefanyia nini mnatoa macho?Hiyo bil 70 waliotoa Eu nayo ndio pesa ya kuhoji?
Sasa huyo fala mwenzio mwenye macho ya embe mchomoko anajibu propaganda za kipuuzi?Lini wameuliza we fala? Liko wapi tamko la EU tuwekee hapa tuone. Utakuja kuolewa kwa kushabikia propaganda za kipuuzi.
Nashauri ARV nazo zisitolewe bure ili tuzinunue ghali kama yalivyo madawa ya Cancer!
Mbinyo uwe mkali mpaka kila mwananchi ausikie umegonga mfupa!Pengine tutakumbuka kutenda haki!
Angalia wazalendo wa nchi hawa wabunge wa ccm wanalia liaTunajua fika Chadema na Act wazalendo ni vyama ambavyo kwa ushahidi wa wazi kabisa ambao hauna chembe kuwa ni vyama vya wasaka matonge. Wao kuweka pesa mfukoni ndio lilikuwa jambo la kwanza kuliko maslahi ya Tanzania na raia wake.
Tulishuhudia Zitto Kabwe akizurula Ulaya na Usa na kunadi kuwa hakuna demokrasia nchini,na hata haki ya watoto wa kike kusoma wakiwa na mimba inaminywa,akaandika barua tunyimwe mkopo. Hakuwa na muda wa kutumikia wananchi wa Kigoma, muda wote alikuwa anazurula nje ya nchi kusaka ufadhili wa mabeberu ili ajinufaishe kwa madai ya kutetea demokrasia kama vile Tanzania hakuna Demokrasia.
Chadema wao ndio wananchi walisha wachoka na siasa zao za kishamba za harakati zisizo na mashiko, kudai maandamano, kuvamia magereza, kupinga maendeleo ya wananchi huku nao wanayafaidi, wananchi waliwachoka hata kabla ya kupiga kura. Na kwenye boksi la kura wamepata wanacho stahili.
Act wazalendo na Chadema walizoea kupata ruzuku na michango ya wananchi bure kabisa, sasa kimoja kimekufa mende style hakuna ruzuku ya mil 360, hakuna michango ya wabunge zaidi ya mil 100 kwa mwezi.
Kilichobaki wanasaka msaada kwenye tuta, Eu iinyime misaada Tanzania ili wao wafurahi! Watanufaika nini? Tril 2 ambazo ni msaada wa EU kwa Tanzania mimi naona ni kitu kidogo sana kwa nchi ambayo inakusanya tril 1.5 kwa mwezi, achana na mapato mengine.
Watanzania tunajua siasa ni mtaji wenu, mlikuwa mnakula kwa kupitia vyama vyenu sasa wananchi wamewakataa, kuomba dua mbaya kwa Tanzania ni kupoteza muda.
C unaongelea wasaka tonge ww, wasaka tonge wamejaa huko chama kubwaInahusika vipi hapa?