Mbona tumeshawaacha kitambo sana. Ila wao Sasa Mara mtuletee viti maalumu, Mara SUK.Huu uchaguzi mbona unaleta mapya, kukosa ubunge sio kesi, 2025 ipo na inakuja.
Tutazoa wabunge na Madiwani na Urais mwaka 2025 TUNDU LISSU.
Tuwaachie CCM watawale nchi yao.
unajisumbua bure kujiletea pressure zisizo za lazima. You can not change the worldMimi najua watawala wataendelea kula maisha ya raha mustarehe!Ila hao wanyonge maisha yakiwa magumu basi lazima watauchukia utawala!Na hapo ndipo watakuwa tayari kwa mabadiliko!Lakini kama watu wanauwawa,kutekwa,kupigwa risasi,kubambikiziwa kesi,kuhujumiwa uchaguzi halafu hakuna kinachotokea basi tabia hiyo itashamiri!
Wewe kweli ni mwendazimu, mmeiba na kisha mnatukana wale mliowaibia.Tunajua fika Chadema na Act wazalendo ni vyama ambavyo kwa ushahidi wa wazi kabisa ambao hauna chembe kuwa ni vyama vya wasaka matonge. Wao kuweka pesa mfukoni ndio lilikuwa jambo la kwanza kuliko maslahi ya Tanzania na raia wake.
Tulishuhudia Zitto Kabwe akizurula Ulaya na Usa na kunadi kuwa hakuna demokrasia nchini,na hata haki ya watoto wa kike kusoma wakiwa na mimba inaminywa,akaandika barua tunyimwe mkopo. Hakuwa na muda wa kutumikia wananchi wa Kigoma, muda wote alikuwa anazurula nje ya nchi kusaka ufadhili wa mabeberu ili ajinufaishe kwa madai ya kutetea demokrasia kama vile Tanzania hakuna Demokrasia.
Chadema wao ndio wananchi walisha wachoka na siasa zao za kishamba za harakati zisizo na mashiko, kudai maandamano, kuvamia magereza, kupinga maendeleo ya wananchi huku nao wanayafaidi, wananchi waliwachoka hata kabla ya kupiga kura. Na kwenye boksi la kura wamepata wanacho stahili.
Act wazalendo na Chadema walizoea kupata ruzuku na michango ya wananchi bure kabisa, sasa kimoja kimekufa mende style hakuna ruzuku ya mil 360, hakuna michango ya wabunge zaidi ya mil 100 kwa mwezi.
Kilichobaki wanasaka msaada kwenye tuta, Eu iinyime misaada Tanzania ili wao wafurahi! Watanufaika nini? Tril 2 ambazo ni msaada wa EU kwa Tanzania mimi naona ni kitu kidogo sana kwa nchi ambayo inakusanya tril 1.5 kwa mwezi, achana na mapato mengine.
Watanzania tunajua siasa ni mtaji wenu, mlikuwa mnakula kwa kupitia vyama vyenu sasa wananchi wamewakataa, kuomba dua mbaya kwa Tanzania ni kupoteza muda.
Well i will play my part!I dnt need some shit ass negro to tell me what i can or can not do!unajisumbua bure kujiletea pressure zisizo za lazima. You can not change the world
Kwani nani tashindw kununua watawala au wananchi chadema bure kabisaaNashauri ARV nazo zisitolewe bure ili tuzinunue ghali kama yalivyo madawa ya Cancer!
Mbinyo uwe mkali mpaka kila mwananchi ausikie umegonga mfupa!Pengine tutakumbuka kutenda haki!
Wananchi wa kawaida ndio watakaotaabika!Na ikitokea hivyo serikali lazima irekebishe mambo ili ichaguliwe tena!Au unadhani kuna mtu atachagua serikali inayomletea mateso?Kwani nani tashindw kununua watawala au wananchi chadema bure kabisaa
Well said 👏 mkuuTunajua fika Chadema na Act wazalendo ni vyama ambavyo kwa ushahidi wa wazi kabisa ambao hauna chembe kuwa ni vyama vya wasaka matonge. Wao kuweka pesa mfukoni ndio lilikuwa jambo la kwanza kuliko maslahi ya Tanzania na raia wake.
Tulishuhudia Zitto Kabwe akizurula Ulaya na Usa na kunadi kuwa hakuna demokrasia nchini,na hata haki ya watoto wa kike kusoma wakiwa na mimba inaminywa,akaandika barua tunyimwe mkopo. Hakuwa na muda wa kutumikia wananchi wa Kigoma, muda wote alikuwa anazurula nje ya nchi kusaka ufadhili wa mabeberu ili ajinufaishe kwa madai ya kutetea demokrasia kama vile Tanzania hakuna Demokrasia.
Chadema wao ndio wananchi walisha wachoka na siasa zao za kishamba za harakati zisizo na mashiko, kudai maandamano, kuvamia magereza, kupinga maendeleo ya wananchi huku nao wanayafaidi, wananchi waliwachoka hata kabla ya kupiga kura. Na kwenye boksi la kura wamepata wanacho stahili.
Act wazalendo na Chadema walizoea kupata ruzuku na michango ya wananchi bure kabisa, sasa kimoja kimekufa mende style hakuna ruzuku ya mil 360, hakuna michango ya wabunge zaidi ya mil 100 kwa mwezi.
Kilichobaki wanasaka msaada kwenye tuta, Eu iinyime misaada Tanzania ili wao wafurahi! Watanufaika nini? Tril 2 ambazo ni msaada wa EU kwa Tanzania mimi naona ni kitu kidogo sana kwa nchi ambayo inakusanya tril 1.5 kwa mwezi, achana na mapato mengine.
Watanzania tunajua siasa ni mtaji wenu, mlikuwa mnakula kwa kupitia vyama vyenu sasa wananchi wamewakataa, kuomba dua mbaya kwa Tanzania ni kupoteza muda.
Rather pray your partWell i will play my part!I dnt need some shit ass negro to tell me what i can or can not do!
Usinipangie!Rather pray your part
Nani amepoteza uzalendo? Nyie wacheza bao na wanywa Alkasusu wa Dar? Njooni mikoani muone wanaume...Kuna haja ya kujiuliza na kufanya utafiti wa kina,
kwa nini wananchi tumepoteza uzalendo kiasi hiki na nchi yetu pendwa??