Nilimkamata mmoja 2017 nilimchapa hatari alifurahi na show
Ilikuwa hivi alimtapeli msichana wa rafiki yangu alikuwa akifanya kazi ya uwakala, alimlaghai na akamtapeli kama laki tatu hivi na kidogo, na simu
Alichokosea akachukua namba kwenye simu ya jamaa ambaye ni rafiki yangu akawa anamlaghai yeye ni shemeji yake na amekwama anaomba amtumie pesa jamaa hakujua naye akamtumia pesa jamaa akaona dezo kila baada ya siku mbili akawa anaomba pesa tena jamaa akawa anamtumia bila ya kujua,
Baada kama ya wiki msichana akamtafuta mchumba ake na kumjulisha kuwa nimetapeliwa pesa na simu ndio maana unaona sipo hewani, jamaa ndio kushituka kuwa anatapeliwa akaona hapa njia ya kumpata ni kuendelea kuwasiliana nae na kumtumia pesa ndogo ndogo ili ampate na alimwambie yeye yupo mkoani yaani yupo mbali na mchumba ake kwa hivyo hata mawasilino siku hizi ampati.. aaaa
Jamaa alinifichaga huo mchongo, akajitahidi kumtega jamaa na rafiki zake wengine wakakwama , sasa kuna jamaa akaniibia siri kuwa mwanao katapeliwa yeye na demu wake, yaani na bado anaendelea kutapeliwa, nikakutana naye nikamwambia mwanangu umetapeliwa na unanificha mwanao, akashtuka akanambia sorry mwanangu ndio akanipa picha lote hilo... nikamwambia kumpata mbona kitu rahisi akuamini,
Mimi nikamwambia huyo jamaa lazima atakuwa anakunywa pombe tu wewe mwambie jumaapili moja mkutane mlewe alafu mambo mengine niachie mimi, ilikuwa alhmisi nikamwambia mtumie sms sasa hivi jamaa akamtumia sms yulee tapeli akajibu kuwa pombe zinapanda na akakubali kukutana na shemeji yake aliyemtapelia msichana wake kuwa watakutana waumwagilie moyoo daaah kweli bia tamu jamaa akaingia king banah
Lakini baada ya kuchagua bar kama nne hivi tofauti na kumpeleka jamaa na kumwambia aende bar ingine hatumaye akachagua bar moja baada ya kutusumbua sana tulikuwa na ngoma ngumu kama saba hivi ambazo hazicheki ovyo
Huyo jamaa yangu aliniona nna roho mbaya hatari, kuanzia mchoro mapaka kumtia mkononi na kichapo alichopata jamaa tapeli.. tulibadilisha muonekanao wa sura na miguu yake kwa nondo, tulihakikisha akipumua anatoa damu mdomoni na puani na awezi kutembea ndipo tulipompeleka polisi
Hao ni wetu na sisi ndio dawa yao- mimi nawahitaji sana hao