jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Ukilinganisha mipangilio ya kampeni ya CCM na CHADEMA utaona ni namna gani CHADEMA wameelemewa. CCM inachanja mbuga kwa haraka sana na ndani ya siku moja CCM ina "Injini" Kubwa za kati na ndogo zinazoweza kuitisha mikutano na kujaza. Mfano wakati Magufuli yupo Shinyanga, Samia yupo Pwani huku Majaliwa akiwa Arusha.
Hapo bado reserves, hazijaanza kazi.
Matarajio ya Lissu yalikuwa ni kuona Kampeni zinajikita kwenye vijembe na vurugu badala yake CCM wamekuja na style ya kipekee yaani ni burudani...halafu ilani inasomwa laivu...halafu ni kituo kinachofuata.
Aidha CHADEMA ipo hoi kifedha na sasa hakuna matajiri wa kuwachangia fedha (Hapa namkumbuka Mzee Sabodo) kwani ni uwekezaji usiolipa.
WEKA KUMBUKUMBU BILA SHAKA LISSU ATAACHIA KAMPENI NJIANI!!
Hapo bado reserves, hazijaanza kazi.
Matarajio ya Lissu yalikuwa ni kuona Kampeni zinajikita kwenye vijembe na vurugu badala yake CCM wamekuja na style ya kipekee yaani ni burudani...halafu ilani inasomwa laivu...halafu ni kituo kinachofuata.
Aidha CHADEMA ipo hoi kifedha na sasa hakuna matajiri wa kuwachangia fedha (Hapa namkumbuka Mzee Sabodo) kwani ni uwekezaji usiolipa.
WEKA KUMBUKUMBU BILA SHAKA LISSU ATAACHIA KAMPENI NJIANI!!