The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,342
- 4,614
Fisi ukiwa unatembea usiku anakufuata kwa nyuma kwa upumbavu alionao anadhani mkono unaoning'inia utadondoka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuoneKwa mtizamo wako unafikiri kwamba hakuna mahali pengine Chadema wanafanya mikutano mpaka lissu awepo? Mikutano wanayofanya CCM hata Chadema inafanyika. Kaa kwa kutulia alafu uje hata 29 oct usimulie vizuri kuanguka kwenu katika uchaguzi mkuu 2020.
Umeanza kufuatilia siasa lini?Upeo wako ni zero kabisa, nimekuuliza what do you really pay those business tycoons in return baada ya uchaguzi?
Huna jibu, unakuja na habari za lissu hauziki, kwani wapiga kura ni wafanya biashara? Ni wananchi tena wa hali ya chini mliowabomolea nyumba zao na kutafuna pesa za majanga
Kwa sababu wewe ni jinga lao huo utabiri wako haushangazi maana ndiyo upeo wa akili zakoUkilinganisha mipangilio ya kampeni ya CCM na CHADEMA utaona ni namna gani CHADEMA wameelemewa. CCM inachanja mbuga kwa haraka sana na ndani ya siku moja CCM ina "Injini" Kubwa za kati na ndogo zinazoweza kuitisha mikutano na kujaza. Mfano wakati Magufuli yupo Shinyanga, Samia yupo Pwani huku Majaliwa akiwa Arusha.
Hapo bado reserves....hazijaanza kazi.
Matarajio ya Lissu yalikuwa ni kuona Kampeni zinajikita kwenye vijembe na vurugu badala yake CCM wamekuja na style ya kipekee yaani ni burudani...halafu ilani inasomwa laivu...halafu ni kituo kinachofuata.....
Aidha CHADEMA ipo hoi kifedha na sasa hakuna matajiri wa kuwachangia fedha kwani ni uwekezaji usiolipa.
WEKA KUMBUKUMBU
Ccm ni nyumba ya wasaniiNitatoa milioni 50 kwa kila kijiji. Na kila mwalimu atapata laptop 1.
Wataelewa wachache wenye akili za ziada kama mimiSo what?? [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] BWAKU NGA.JI.
Endeleeni kuchukua fedha za wafanyabiashara maana umeshasema ni hulka ya ccmUmeanza kufuatilia siasa lini?
Umeingia JF lini?
Maana usingenihoji kuhusu wafanyabiashara...
Kwa ufupi Utegemezi wa wafanyabiashara ilikuwa ni hulka ya CCM Mwaka 2015 kurudi nyuma ....ilipofika 2015 chadema ikaanza kuiga hulka hiyo...na walitegemea fedha zao kumuangusha JPM...Ikashindikana...na sasa wafanyabiashara wamewekewa mazingira ambayo hayahitaji mwanasiasa kukutisha.
Hata hivyo bado hali ni tete sana kwa wana ccmKama uwanja ungekuwa sawa sasa hivi shati za kijani zisingeonekana barabarani hata kwa torch
Akifanya hivyo atapigwa asubuhi na mapema, hawezi fanya huo ujinga mana anajua kichapo chakeNingekuwa Mimi JPM kura zingehesabiwa kwa wazi kabisa mbele ya watu kila kituo , cha msingi ulinzi uwepo wa kutosha ili kichaka wanachojifichia kila mwaka cha kuibiwa kura kichomwe Moto [emoji3][emoji3], Lissu mweupe Sana
Wamebakia na ahadi za kujenga viwanja vikubwa vya ndege kila mkoa wakati wananchi wa mikoa hiyo hata uwezo wa kununua baiskeli hawanaLissu wakimbizeeeeeeeeeeeeeee walidhania watatu impress na mandege yao...wamekuta sivyo..wanahangaika..
A dreamer dreaming!Ukilinganisha mipangilio ya kampeni ya CCM na CHADEMA utaona ni namna gani CHADEMA wameelemewa. CCM inachanja mbuga kwa haraka sana na ndani ya siku moja CCM ina "Injini" Kubwa za kati na ndogo zinazoweza kuitisha mikutano na kujaza. Mfano wakati Magufuli yupo Shinyanga, Samia yupo Pwani huku Majaliwa akiwa Arusha.
Hapo bado reserves....hazijaanza kazi.
Matarajio ya Lissu yalikuwa ni kuona Kampeni zinajikita kwenye vijembe na vurugu badala yake CCM wamekuja na style ya kipekee yaani ni burudani...halafu ilani inasomwa laivu...halafu ni kituo kinachofuata.....
Aidha CHADEMA ipo hoi kifedha na sasa hakuna matajiri wa kuwachangia fedha kwani ni uwekezaji usiolipa.
WEKA KUMBUKUMBU
Kwa hiyo mishahara walipandishiwa?Ila si waalim walizikataa wakasema wao wanataka mishahara na wanaweza kujinunulia
Dikteta Mbowe aliwatimua TBC, anapaswa kulaumiwa Kwa laumu zote Mbowe!LB7 hufahamu kuwa vyombo vya habari vimetishwa na dikteta?
Wewe wasemaUkilinganisha mipangilio ya kampeni ya CCM na CHADEMA utaona ni namna gani CHADEMA wameelemewa. CCM inachanja mbuga kwa haraka sana na ndani ya siku moja CCM ina "Injini" Kubwa za kati na ndogo zinazoweza kuitisha mikutano na kujaza. Mfano wakati Magufuli yupo Shinyanga, Samia yupo Pwani huku Majaliwa akiwa Arusha.
Hapo bado reserves....hazijaanza kazi.
Matarajio ya Lissu yalikuwa ni kuona Kampeni zinajikita kwenye vijembe na vurugu badala yake CCM wamekuja na style ya kipekee yaani ni burudani...halafu ilani inasomwa laivu...halafu ni kituo kinachofuata.....
Aidha CHADEMA ipo hoi kifedha na sasa hakuna matajiri wa kuwachangia fedha kwani ni uwekezaji usiolipa.
WEKA KUMBUKUMBU
Bila kusahau pia wameanza kutagishwaMataga mlianza kwa kutabiri kuwa Lissu hatorudi kutoka Belgium
Mkatabiri akitua tu Airport atakamatwa na PoliCCM
Mkatabiri kuwa jina lake litaenguliwa
Mkatabiri mikutano ya Lissu itakosa kabisa wahudhuriaji
Inshort mataga mmeanza kuhara damu.
Lazima kuna mganga anawadanganya maana mataga ni wachawi sanaMataga mlianza kwa kutabiri kuwa Lissu hatorudi kutoka Belgium
Mkatabiri akitua tu Airport atakamatwa na PoliCCM
Mkatabiri kuwa jina lake litaenguliwa
Mkatabiri mikutano ya Lissu itakosa kabisa wahudhuriaji
Inshort mataga mmeanza kuhara damu.