Uchaguzi 2020 Matarajio ya Lissu yalikuwa ni kuona Kampeni zinajikita kwenye vijembe na vurugu

Uchaguzi 2020 Matarajio ya Lissu yalikuwa ni kuona Kampeni zinajikita kwenye vijembe na vurugu

Jamaa zimekaa kama maharage yanayochemka! Yani mara hapa mara pale!

Kingine ni kwamba hawana hela! Hizi zinazotumika sasa hivi ni za yule beberu wake anaetoa vitamko mitandaoni...
Kichwa maji kabisa wewe.
 
Ukilinganisha mipangilio ya kampeni ya CCM na CHADEMA utaona ni namna gani CHADEMA wameelemewa. CCM inachanja mbuga kwa haraka sana na ndani ya siku moja CCM ina "Injini" Kubwa za kati na ndogo zinazoweza kuitisha mikutano na kujaza. Mfano wakati Magufuli yupo Shinyanga, Samia yupo Pwani huku Majaliwa akiwa Arusha....
Nimefurahi sana hotuba ya JPM leo Shinyanga.Ilikuwa ni kuchambua ilani ya Ccm namna itavyomsaidia mwananchi wa Shinyanga kwa kila sekta. Kuanzia miundo mbinu, afya na elimu. Sio habari za kuleta jazba na chuki majukwaani.
 
Nimefurahi sana hotuba ya JPM leo Shinyanga.Ilikuwa ni kuchambua ilani ya Ccm namna itavyomsaidia mwananchi wa Shinyanga kwa kila sekta. Kuanzia miundo mbinu, afya na elimu. Sio habari za kuleta jazba na chuki majukwaani.
JPM anaenda kubadilisha mwenendo wa siasa za Tanzania ...Ilani ni kama bibilia katika siasa za 2020.
 
Subili master akifika hapo kwanza utajuta.
CCM ndio kitatajuta na makada wake maana ukandamizwaji wa haki uliotokea kwa kipindi cha miaka mitano ni wa kutisha serikali dhalmu lazima iondoshwe kutoka madarakani. Utawala wa sheria utarejea tanzania tena pale 28 oct
 
Damu ya li
Ukilinganisha mipangilio ya kampeni ya CCM na CHADEMA utaona ni namna gani CHADEMA wameelemewa. CCM inachanja mbuga kwa haraka sana na ndani ya siku moja CCM ina "Injini" Kubwa za kati na ndogo zinazoweza kuitisha...
Damu ya Lissu inawasumbua
 
Jamaa zimekaa kama maharage yanayochemka! Yani mara hapa mara pale!

Kingine ni kwamba hawana hela! Hizi zinazotumika sasa hivi ni za yule beberu wake anaetoa vitamko mitandaoni...
Mwaka 2015 Mbowe meno yote yalikuwa nje alikuwa na furaha ukizingatia gari la pesa alikuwa pembeni yake.

Mwaka huu kila shilingi inahesabiwa mambo magumu.
 
Hata Lissu asipofanya kampeni kuanzia leo, wengi wetu wenye akili timamu tutampa kura za ndio.
 
Watu kama hawa wajinga na wapuuzi eti ndio wanaaminika sana huko ccm na Magufuli anawapenda sana, halafu eti tunatarajia kupata maendeleo, tabu sana
Watu gani?Rudi kwenye hoja achana na ID
 
Nitatoa milioni 50 kwa kila kijiji. Na kila mwalimu atapata laptop 1.
Utawajua tu jobless mawazo Yao, wewe Kati ya kuletewa milion50 na kuletewa Umeme kijini kwenu kipi Bora?

Je hizo million 50 za Kila Kijiji Kama zingeletwa wewe Kama wewe ungefaidika vipi?

Je unataka kutuaminisha kuwa kwa miaka mitano tangu serikali hii iingie madarakani pesa zilizotumwa kijijini kwako hazifiki million 50?

Nyie ndo Ile aina ya watu wasio na shukrani kwa kidogo wanachopewa, mkipewa chakula mnaanza kutukana kwa kutopewa maji ya kunywa na mkipewa maji ya kunywa mnaanza kutukana kwa kutopewa chakula.. nyie watu Ni hatari Sana katik Taifa lolote lile duniani na niwa kupuuza tu.
 
Back
Top Bottom