Uchaguzi 2020 Matarajio ya Lissu yalikuwa ni kuona Kampeni zinajikita kwenye vijembe na vurugu

Uchaguzi 2020 Matarajio ya Lissu yalikuwa ni kuona Kampeni zinajikita kwenye vijembe na vurugu

Endeleeni kuchukua fedha za wafanyabiashara maana umeshasema ni hulka ya ccm

Kama chadema aliweza kujiendesha bila pesa za mfanyabiashara kipindi cha nyuma iweje ashindwe sasa, kumbuka matibabu ya Lissu tulichanga, kesi ya akina Mbowe tulichanga na hata kampeni hizi bado tunachanga, hiyo ndio nguvu ya Umma
Mkuu mpaka sasa bado sijatoa mchango wangu, nipe namba tafadhali hawa fisiemu wanazingua
 
Jamaa anasema wananchi ni maskin , mmeachwa na JPM kwenye umaskin mkubwa , alaf badae anapitisha bakuli kuwaomba hao maskini wamchangie , ana dharau Sana huyu mwamba
Ha ha ha yaani ni balaa
 
Mkuu mpaka sasa bado sijatoa mchango wangu, nipe namba tafadhali hawa fisiemu wanazingua
Hiyo hapo
20200903_152009.jpg
 
Asipoishia njiani tutakuadhibu kadri tunavyoona inafaa
 
Hakuna mtu wa kumakamata huyo mtu wenu ndio maana unaona alipofika tu akaanza kuhangaika akamatwe ili yule beberu wake apate cha kusema.
[emoji3][emoji3][emoji3]

Serikali iko busy kuhudumia wananchi wenye uhitaji na na wale wanaovunja sheria.
Sio kumkamata Tundu bila sababu
 
Kumbe matajiri huwa wanawekeza kwa ccm kwa kuwa inalipa, sasa huwa mnawapa nini hao matajiri in return?

Halafu mwenyekiti wenu anajitapa kwamba atawakomesha mafisadi na wala rushwa wakati mafisadi ndio wanaoendesha kampeni za ccm na watoa rushwa wakubwa ni wanachama wa ccm

Mpaka sasa mahakama ya mafisadi haijawahi kumuhukumu mtu hata mmoja, hamuoni kama mnatia aibu?
Sema kwa nini mnachangisha masikini wakati manasema wamechoshwa na serikali badala ya nyie kuwagaiwa wao pesa?
 
Sema kwa nini mnachangisha masikini wakati manasema wamechoshwa na serikali badala ya nyie kuwagaiwa wao pesa?
Huwa sijibu upuuzi kama huu, hata mtoto wa grad one anaelewa kwa nini chandema wanachangisha hela...safari ya mabadiliko kuiondoa serikali dhalimu madarakani, kila mwananchi mwenye nia anaichangia

Nenda lumumba kachukue buku saba zako tena zimetoka kwenye kodi zetu, tunawalipa kodi inatosha, tuacheni tuwachangie chadema
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom