Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,625
- 3,735
Na anawakimbiza balaa walijua ni mteremko MUNGU atimize unabii huu jameniLissu wakimbizeeeeeeeeeeeeeee walidhania watatu impress na mandege yao...wamekuta sivyo..wanahangaika..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na anawakimbiza balaa walijua ni mteremko MUNGU atimize unabii huu jameniLissu wakimbizeeeeeeeeeeeeeee walidhania watatu impress na mandege yao...wamekuta sivyo..wanahangaika..
Mlitaka akifika muhimbili mkachomoe betri kabisa ili gari lilipuke kama lile la msamvu?Aliacha wataalamu Muhimbili mkampeleka Belgium ili mpige hela tu.
Jiwe ataandika historia mpya ya kuangukiwa na jumba bovu la ccmKwa mtizamo wako unafikiri kwamba hakuna mahali pengine Chadema wanafanya mikutano mpaka lissu awepo? Mikutano wanayofanya CCM hata Chadema inafanyika. Kaa kwa kutulia alafu uje hata 29 oct usimulie vizuri kuanguka kwenu katika uchaguzi mkuu 2020.
Dysentery na kipindupindu kama yote.Mataga mlianza kwa kutabiri kuwa Lissu hatorudi kutoka Belgium
Mkatabiri akitua tu Airport atakamatwa na PoliCCM
Mkatabiri kuwa jina lake litaenguliwa
Mkatabiri mikutano ya Lissu itakosa kabisa wahudhuriaji
Inshort mataga mmeanza kuhara damu.
Wewe mwenyewe jkipewa kiroba unashukuru maana kimpumu kisha kubadili hata rangi ya menoMwaka huu hauna vijana wa kupewa viroba
Lazima utage safari hiiWapi ? na nani anayeweza kuitisha mikutano mikubwa huko chadema?
Wewe jiandae kuhamia kwenu BurundiJamaa zimekaa kama maharage yanayochemka! Yani mara hapa mara pale!
Kingine ni kwamba hawana hela! Hizi zinazotumika sasa hivi ni za yule beberu wake anaetoa vitamko mitandaoni.
Kingine kampeni siyo kesi za MIGA,
Cha mwisho Mbowe mwaka huu hana furaha kabisa maana uchaguzi huu hajapiga hela kama kawaida yake ya miaka iliyopita. Yani Lisu kwa Mbowe siyo asset kabisa.
Utarudi kwenu ukajiunge na kundi haramu la rutchaKwani sasa hivi uwanja hauko sawa kivipi
Wewe ni chizi, mfanyabiashara gani atapiga kura kwa jiwe? Nipe mfanoUmeanza kufuatilia siasa lini?
Umeingia JF lini?
Maana usingenihoji kuhusu wafanyabiashara...
Kwa ufupi Utegemezi wa wafanyabiashara ilikuwa ni hulka ya CCM Mwaka 2015 kurudi nyuma ....ilipofika 2015 chadema ikaanza kuiga hulka hiyo...na walitegemea fedha zao kumuangusha JPM...Ikashindikana...na sasa wafanyabiashara wamewekewa mazingira ambayo hayahitaji mwanasiasa kukutisha.
Wewe hata sifa ya kutotoleshwa hunaSisi kazi yetu ni kuwatotolesha tu
Unasema kwamba ni Lisu tu ndo anaweza kuitisha mikutano mikubwa?Wapi ? na nani anayeweza kuitisha mikutano mikubwa huko chadema?
Ndio maana wamenunaUkilinganisha mipangilio ya kampeni ya CCM na CHADEMA utaona ni namna gani CHADEMA wameelemewa. CCM inachanja mbuga kwa haraka sana na ndani ya siku moja CCM ina "Injini" Kubwa za kati na ndogo zinazoweza kuitisha mikutano na kujaza. Mfano wakati Magufuli yupo Shinyanga, Samia yupo Pwani huku Majaliwa akiwa Arusha.
Hapo bado reserves....hazijaanza kazi.
Matarajio ya Lissu yalikuwa ni kuona Kampeni zinajikita kwenye vijembe na vurugu badala yake CCM wamekuja na style ya kipekee yaani ni burudani...halafu ilani inasomwa laivu...halafu ni kituo kinachofuata.....
Aidha CHADEMA ipo hoi kifedha na sasa hakuna matajiri wa kuwachangia fedha kwani ni uwekezaji usiolipa.
WEKA KUMBUKUMBU
Nasikia unalaumiwa na wenzako kwa kukosea sana shabaha pale dodoma, hivi ulikoseaje?Hii tabia ya kujichomea ofisi mmeanza lini?
Mkuu mpaka sasa bado sijatoa mchango wangu, nipe namba tafadhali hawa fisiemu wanazinguaEndeleeni kuchukua fedha za wafanyabiashara maana umeshasema ni hulka ya ccm
Kama chadema aliweza kujiendesha bila pesa za mfanyabiashara kipindi cha nyuma iweje ashindwe sasa, kumbuka matibabu ya Lissu tulichanga, kesi ya akina Mbowe tulichanga na hata kampeni hizi bado tunachanga, hiyo ndio nguvu ya Umma
Ebu tueleze basi ilikuwaje siku ile? Ulikoseaje?Hizo story hazileti ugali mezani....
Kila familia ikianza kuelezea kifo cha ndugu yake si balaa??