Matatizo mengi tuliyonayo nchini leo yameanzia na awamu ya tano; hapakuwepo na uhuru wa kusema wala kurekebisha mambo, sasa tunalipa kwa maumivu

Wewe kweli chizi ndio maana nikasema kama wewe ndio unajiita msomi kwenu basi kwenu wote ni machizi
Kwan hiyo taarifa aliitoa Magufuli au world bank wenyewe ndio walitangaza july 2020 kwamba tanzania imefika uchumi wa kati hivi naona unatumia mat*ko kufikili wewe taila
 

Attachments

  • Screenshot_20240229-112113_Chrome.jpg
    93.3 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240229-112021_Chrome.jpg
    100.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240229-112243_Chrome.jpg
    85.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240229-112213_Chrome.jpg
    836.6 KB · Views: 1
Tatizo la Kwanza umeme, umeanzia Awamu ya Tano.
Tatizo la pili sukari nalo awamu ya Tano.
Tatizo la tatu mikataba mibovu nalo limeanzia Awamu ya Tano.
Tatizo la nne la kutokusanya Kodi kwenye kuuza mafuta ya kuendesha Mipango nalo limeanzia Awamu ya Tano
Miradi kutomalizika mapema nalo limeanzia Awamu ya Tano
Barabara kujengwa chini ya kiwango nalo limeanzia Awamu ya Tano.
Katiba mbovu nalo limeanzia Awamu ya Tano
Kushuka Kwa nidhamu makazini nalo limeanzia Awamu ya Tano
 
Mengi ya hayo matatizo yameanzishwa na awamu ya tano na yapo mengine mengi sana hukuyaweka hapo.
 
Elimu yako ndogo sana kuelewa dynamics za middle income status na nini kilifanyika hasa. Takwimu nyingi za uchumi wa Tanzania zilifujwa wakati wa Magufuli. Ubadhirifu mwingi wa serikali ukifichwa na Magufuli na ndio maana CAG aliyekuwepo Professor Assad aliondoshwa kinyemela na Magufuli kuficha uozo uliokuwepo.

Watanzania mmelishwa propaganda za kutosha na dikteta na hamjitambui kabisa! We level yako darasa ngapi mbona upo chini sana mkuu?
 
Wewe Chizi ndio una uelewa mdogo umesema Magufuli alitudanganya kwamba tupo uchumi wa kati nimekuletea data kwamba world bank ndio waliosema sasa ulichojibu hapo sijui umejibu kwa kutumia ma+vi yako
Hakuna mtanzania aliyedanganywa kazi alioifanya Magufuli inaonekana kwa macho
Kuhusu elimu yangu nilishakujibu kila saa unauliza nakujibu tena
Ukoo wenu wote hakuna anaenifikia kwa Elimu wewe taila
 
We pimbi unamatatizo ya akili, tatizo ni uwezo mdogo wa bibi yako, huoni aibu kumsingizia marehemu aliyekufa siku nyingi? Kweli inchi in kenge wengi wanaojifanya werevu.
 
Bila kumwonea kabisa Dr Samia kwenye hizi lawama ni kuwa 90% waliopo madarakani na kwenye nyenzo zote muhimu ni wale wale wa Magufuli.

Mfano mwingine ni Bunge[emoji23][emoji23][emoji23]
Raisi akiwa legelege, hakuna kitu kitakwenda, watendaji wa inchi hii ni kama maksai bila mikwaju hawalimi
 
La ngapi umefika mkuu manake elimu yako haioneshi zaidi ya form four ya wasiwasi. Ujue hizo takwimu sio msaafu wa kielelezo cha ukweli. Lobbying kubwa ilifanyika wakati wa Magufuli katika mambo mengi sana ikiwa ni pamoja na hilo. Deni la Tanzania lilipanda wakati wa dikteta kutoka 35 trillion hadi 70 trillion! Na bado tuliambiwa hatikopi hela kwa mabeberu ni fedha za ndani! Umelogwa wewe kufikiri Magufuli alifanya vizuri sana kwa sababu unaangalia tu miundombinu aliyojenga huku akibomoa kwingine. Wastaafu sasa hawalipwi hela yao yote kwani hela nyingi ilikwenda kujenga madaraja kwa amri za kidikteta na sasa serkali ipo taabani. Sijui kama unaelewa kitu?
 
We pimbi unamatatizo ya akili, tatizo ni uwezo mdogo wa bibi yako, huoni aibu kumsingizia marehemu aliyekufa siku nyingi? Kweli inchi in kenge wengi wanaojifanya werevu.
Hata angekuwa amekufa 1700. Hutuachi kuchimba vyanzo vya matatizo yetu tunajifunza kutokana na historia, mbona hoja zako ni za ki-zuzu sana?
 
Ndo maana umetukanwa sana ovyo.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Una akili timamu kweli?

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Hizi ndio zile akili nyepesi nyepesi za watanzania kama nilivyoandika katika uzi wangu na sijui kama uliusoma au umerukia tu kukomenti

Samahani wewe ni Takataka
 
Wewe ni Ma+vi
Nenda katibiwe wewe una wadudu kicwani pamoja na Ma+vi
 
Sa hivi yupo?
Una issue nae tushasema hapa fika Chato ukaongee nae.
Usitupigie makelele.
Umeme unakatika leo we Unamlaumu Magufuli si uchawi huo.
Wtf is wrong with you people?
Huo ni zaidi ya uchawi.
 
Kuna mtu alikua fisadi kama magufuli
Magufuli alishaingia mitini na trillion 1.5 kwa mara moja haijawah tokea uwizi mkubwa namna hiyo
Una ushahidi na hilo?
hizo hela ziko wapi mkewe asijue.
Watu wametambaa na trillion nane juzi tu hapo na wakasema hazitoshi ,
na bado mnalala giza.
 
Wewe ni Ma+vi
Nenda katibiwe wewe una wadudu kicwani pamoja na Ma+vi
Jambo nililogundua ni kwamba wote wanamsujudu Magufuli ni wale jinga jinga na nimeona sana kwako uwezo mdogo wa kujenga hoja na ujinga ndio tatizo lako. Jitahidi utoke katika hali hii duni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…