Matatizo mengi tuliyonayo nchini leo yameanzia na awamu ya tano; hapakuwepo na uhuru wa kusema wala kurekebisha mambo, sasa tunalipa kwa maumivu

Matatizo mengi tuliyonayo nchini leo yameanzia na awamu ya tano; hapakuwepo na uhuru wa kusema wala kurekebisha mambo, sasa tunalipa kwa maumivu

Wewe jamaa uje Dodoma uonge ujinga kama huo uone unaliwa kiboga mchana kweupe wewe ikiwezekana na familia yenu yote
 
Yote kwa yote hamna raisi aliyependwa zaidi yake. Mwamba alipiga kazi sana! Mungu amrehemu alipo
 
Mashine za aina yoyote ile ikiwa hazijafanyiwa service kwa wakati, baada ya muda huwa zinaenda kufa kabisa.

Yaani matokeo huwezi kuyapata wakati huo kama kutia chumvi kwenye mboga, yatakuja baada ya muda. Na yataumiza.

Ova
Sasa kama ni miundombinu chakavu, kwanini awamu ya nne yote Taifa hili lilikuwa gizani na isifanyiwe maintainance?
Ni kitu gani kilifanyika mpaka kukomesha mgao awamu ya 5?
Je Makamba alihitaji miaka mingapi kuweza kumaliza kukarabati hiyo miundombinu ili kuondoa tatizo?
Sasa hivi tumeambiwa hakutakuwa na mgao tena,ndio kusema wameshamaliza kukarabati hiyo mkundombinu chakavu?😀
Kila mara tumeona Rais akitengua viongozi wa Tanesco, unafikiri ingelikuwa kweli sababu za mgao ni miundombinu chakavu, angewatengua?
Tanesco kuna uzembe, wizi,ubababishaji, upigaji dili.
Ukiniambia ongezeko la wateja, hakuna wakati watanzania wengi wameunganishiwa umeme kama awamu ya 5 baada ya gharama za umeme kushushwa ikiwemo kuanzshwa kwa viwanda vidogo vidogo vingi lkn hapakuwa na migao.
Ni Magu huyu huyu ndiye aliyetusanua watanzania kuwa kuna watu wanahongwa fedha na wafanyabiashara wafungulie maji kwenye mabwawa ili kuwepo na upungufu wa maji na umeme ili generators ziuzike,tuna uhakika gani kama haya mambo hayaendelei baada ya yeye kuondoka? leo bila haya mnakuja na ngonjera zenu kuwa yeye ndiye chanzo cha tatizo, kama sio wendawazimu ni nini?
 
Sorry ni awamu ya 5 ya bullzoda sio ya nne! Awamu ya 4 ilikuwa baba wa demokrasia.

Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema, ukweli ulijulikana na uliachwa usemwe kwa kiasi kikubwa, na wataalamu waliachwa watumie taaluma yao kutoa miongozo, lakini alipokuja Magufuli yeye aligeuka kuwa engineer, docta, mchumi, na kila kitu.

Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.

Mfano umeme: Wakati wa Magufuli mashine nyingi za kufua umeme kwa kutumia gesi zilifanya kazi na kupitiliza wakati wake wa kufanyiwa ukarabati. Tanesco walilazimika kuendelea kufua umeme na mashine zilizokuwa zinahitaji kufanyiwa ukarabati kwani Tanesco wangeondoa baadhi ya machine ili kufanya ukarabati kungesababisha upungufu wa umeme na mgao kitu ambacho kingepelekea wao kufukuzwa kazi mara moja. Hivyo waliendelea kuzalisha umeme na mashine zilizokuwa hoi.

Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.

Matatizo ya sukari na dola yana mkondo huo huo. Nani asiyejua namna Magufuli alivyoharibu biashara kwa kuwabambikizia kodi wafanyabiashara, kuwapora mitaji na kuwalazimisha kufunga biashara zao kwa visingizio vya kodi? Matokeo ya hayo ndio leo tunayaona. Biashara kati ya Tanzania na nchi za nje ilidorora mno wakati wa Magufuli. Si mnakumbuka jinsi Magufuli alivyowachukia "mabeberu"? Unategemea nini kibiashara unapowachukia bussiness partners na kufunga biashara zao nchini?

Ila kwakuwa watanzania wengi wamelishwa uongo na hawana jinsi ya kugundua uongo huo basi wataamini kuwa Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa mazuri. Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!
Wewe ni taira nahisi .....
 
Kuacha miradi iliyo chini ya 30% bila kumaliza ni sawa na kuwa umefanya ZERO tu. Kubali kuwa Samia ameimaliza kinyume na Magufuli alivyoacha ku-implement miradi ya Kikwette kama ule wa Bagamoyo.

Je ingekuwaje kama Samia asingemaliza na kuanza mipya ya kwake? Ingekuwa nchi ya HOVYO
Mna chuki sana daraja la wami lilikuwa 90%, stiglar 51.. barara ya kimara hadi kibaha ilikuwa 90 mpaka sasa hivi hamajaweza kumalilizai hizo 10%

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Mavi ni wewe mwenyewe usiye na alili ya kuchambua. Magufuli alikuwa anatengeneza nchi ya hovyo. Tungekuwa sawa na Yemen au Zimbabwe.
Sasa hivi na kama mchi gani somali au .halafu hao Yemen unawachukulia poa .sisi hata tooth pick ni imported products

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Ila nahisi hayo matatizo ni konki sana mwaka wa 3 hu Sasa serikali yako pendwa inashindwa kuyatatua mnabaki mnalilia lia tu

Au kifo Cha Magufuli ndio mmeona kichaka Cha kuficha udhaifu wa viongozi wenu vilaza

Manyuzi alipoingia alisema Kwa Sasa umeme unakatika Kwa sababu tunakarabati mitambo Hadi anaondoka janga ndio limezidi Sasa sijui alimaliza huo ukarabati au hajamaliza Hadi alipoondoka

Mama anapigwa sana watu Kila siku wanachota tu pesa za kukarabati mitambo nao huo Kwa Sasa ndio mladi wa vigogo

Wewe kaa tu na ujinga wako
Na aliomba 10T kwa ajilli ya kumaimtan grid na kupambana na kunguru kwa huruma ya bi tozo akampatai 3T .
Kichekesho sana aisee

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Sorry ni awamu ya 5 ya bullzoda sio ya nne! Awamu ya 4 ilikuwa baba wa demokrasia.

Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema, ukweli ulijulikana na uliachwa usemwe kwa kiasi kikubwa, na wataalamu waliachwa watumie taaluma yao kutoa miongozo, lakini alipokuja Magufuli yeye aligeuka kuwa engineer, docta, mchumi, na kila kitu.

Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.

Mfano umeme: Wakati wa Magufuli mashine nyingi za kufua umeme kwa kutumia gesi zilifanya kazi na kupitiliza wakati wake wa kufanyiwa ukarabati. Tanesco walilazimika kuendelea kufua umeme na mashine zilizokuwa zinahitaji kufanyiwa ukarabati kwani Tanesco wangeondoa baadhi ya machine ili kufanya ukarabati kungesababisha upungufu wa umeme na mgao kitu ambacho kingepelekea wao kufukuzwa kazi mara moja. Hivyo waliendelea kuzalisha umeme na mashine zilizokuwa hoi.

Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.

Matatizo ya sukari na dola yana mkondo huo huo. Nani asiyejua namna Magufuli alivyoharibu biashara kwa kuwabambikizia kodi wafanyabiashara, kuwapora mitaji na kuwalazimisha kufunga biashara zao kwa visingizio vya kodi? Matokeo ya hayo ndio leo tunayaona. Biashara kati ya Tanzania na nchi za nje ilidorora mno wakati wa Magufuli. Si mnakumbuka jinsi Magufuli alivyowachukia "mabeberu"? Unategemea nini kibiashara unapowachukia bussiness partners na kufunga biashara zao nchini?

Ila kwakuwa watanzania wengi wamelishwa uongo na hawana jinsi ya kugundua uongo huo basi wataamini kuwa Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa mazuri. Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!
Binafsi nmeamza kujua maana halisi ya neno maendeleo ktk awamu ya tano.
 
CAG awezi kuwa mtu asie na vigezo hiyo nafasi ina qualification requirements na work experience.

Halafu CAG hafanyi audit ya taasisi za serikali moja kwa moja wala kuandika report zake, yeye anapokea tu kazi za watu waliojariwa ofisi yake ndio wanaoenda kufanya auditing.

Uhitaji kuwa special wala kusoma ma Phd kufanya auditing you only need an accounting degree na kuwa member wa professional (RQB) any CPA, ACCA or whatever. Na sio lazima hata uwe na degree kuwa qualified accountant unaweza kusoma ACCA module zao mpaka kumaliza na ukawa chartered accountant ‘provided umepata experience ya miaka mitatu ya kazi’.

Hakuna auditor mwenye akili zake IAASB wanatunga standards za kazi nini cha kufanya ukifika huko. Kwa hivyo uhitaji mi Phd sijui nini na nini you only need to be a qualified accountant (member of RQB) na experience.

Tupunguze kutukuza hizi Phd zingine hazina lazima na faida yake ni kwenye kufundishia vyuo tu ila sio kwenye utendaji au kwamba inaongeza maarifa zaidi kwa mtu bachelor tu kazini.

Kuondelewa kwake ilikuwa kiherehere chake kila akielezwa hela zilipoenda hataki kuelewa, sasa kuna faida gani ya kuwa na CAG mzushi.
Ndio maana taifa linaangamia inakuwaje mtu mwenye elimu ya kuunga kuunga ya form four (Makonda) anakaa katika kamati ya chama kikuu cha nchi. Unajua CV za viongozi wa Rwanda ? Na ni vijana tu. Kuongoza kunahitaji akili ya ziada. Siongelei Phd za Tanzania au za kupewa. Mussa Assad ana PHD na Masters za uingereza hauwezi linganisha na Phd za wakina Biteko na Jafo. Kipindi cha JPM watu wengi walipewa vyeo bila vigezo mpaka leo hii ukiangalia huko serikalini kumejaa watu wa ajabu sana.
 
Sorry ni awamu ya 5 ya bullzoda sio ya nne! Awamu ya 4 ilikuwa baba wa demokrasia.

Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema, ukweli ulijulikana na uliachwa usemwe kwa kiasi kikubwa, na wataalamu waliachwa watumie taaluma yao kutoa miongozo, lakini alipokuja Magufuli yeye aligeuka kuwa engineer, docta, mchumi, na kila kitu.

Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.

Mfano umeme: Wakati wa Magufuli mashine nyingi za kufua umeme kwa kutumia gesi zilifanya kazi na kupitiliza wakati wake wa kufanyiwa ukarabati. Tanesco walilazimika kuendelea kufua umeme na mashine zilizokuwa zinahitaji kufanyiwa ukarabati kwani Tanesco wangeondoa baadhi ya machine ili kufanya ukarabati kungesababisha upungufu wa umeme na mgao kitu ambacho kingepelekea wao kufukuzwa kazi mara moja. Hivyo waliendelea kuzalisha umeme na mashine zilizokuwa hoi.

Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.

Matatizo ya sukari na dola yana mkondo huo huo. Nani asiyejua namna Magufuli alivyoharibu biashara kwa kuwabambikizia kodi wafanyabiashara, kuwapora mitaji na kuwalazimisha kufunga biashara zao kwa visingizio vya kodi? Matokeo ya hayo ndio leo tunayaona. Biashara kati ya Tanzania na nchi za nje ilidorora mno wakati wa Magufuli. Si mnakumbuka jinsi Magufuli alivyowachukia "mabeberu"? Unategemea nini kibiashara unapowachukia bussiness partners na kufunga biashara zao nchini?

Ila kwakuwa watanzania wengi wamelishwa uongo na hawana jinsi ya kugundua uongo huo basi wataamini kuwa Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa mazuri. Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!
Lucas kwani yeye anasemaje🤣
 
Sorry ni awamu ya 5 ya bullzoda sio ya nne! Awamu ya 4 ilikuwa baba wa demokrasia.

Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema, ukweli ulijulikana na uliachwa usemwe kwa kiasi kikubwa, na wataalamu waliachwa watumie taaluma yao kutoa miongozo, lakini alipokuja Magufuli yeye aligeuka kuwa engineer, docta, mchumi, na kila kitu.

Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.

Mfano umeme: Wakati wa Magufuli mashine nyingi za kufua umeme kwa kutumia gesi zilifanya kazi na kupitiliza wakati wake wa kufanyiwa ukarabati. Tanesco walilazimika kuendelea kufua umeme na mashine zilizokuwa zinahitaji kufanyiwa ukarabati kwani Tanesco wangeondoa baadhi ya machine ili kufanya ukarabati kungesababisha upungufu wa umeme na mgao kitu ambacho kingepelekea wao kufukuzwa kazi mara moja. Hivyo waliendelea kuzalisha umeme na mashine zilizokuwa hoi.

Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.

Matatizo ya sukari na dola yana mkondo huo huo. Nani asiyejua namna Magufuli alivyoharibu biashara kwa kuwabambikizia kodi wafanyabiashara, kuwapora mitaji na kuwalazimisha kufunga biashara zao kwa visingizio vya kodi? Matokeo ya hayo ndio leo tunayaona. Biashara kati ya Tanzania na nchi za nje ilidorora mno wakati wa Magufuli. Si mnakumbuka jinsi Magufuli alivyowachukia "mabeberu"? Unategemea nini kibiashara unapowachukia bussiness partners na kufunga biashara zao nchini?

Ila kwakuwa watanzania wengi wamelishwa uongo na hawana jinsi ya kugundua uongo huo basi wataamini kuwa Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa mazuri. Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!
Mtoa mada we ni uchafu
 
Mna chuki sana daraja la wami lilikuwa 90%, stiglar 51.. barara ya kimara hadi kibaha ilikuwa 90 mpaka sasa hivi hamajaweza kumalilizai hizo 10%

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hizo asilimia unazichakachua kama Magufuli alivyokuwa anachakachua. Weka ushahidi hapa maana Waziri Wa Nishati Dotto Biteko katuambia Magufuli alifikia 33% ya bwawa la JNHEP
 
Ndio maana taifa linaangamia inakuwaje mtu mwenye elimu ya kuunga kuunga ya form four (Makonda) anakaa katika kamati ya chama kikuu cha nchi. Unajua CV za viongozi wa Rwanda ? Na ni vijana tu. Kuongoza kunahitaji akili ya ziada. Siongelei Phd za Tanzania au za kupewa. Mussa Assad ana PHD na Masters za uingereza hauwezi linganisha na Phd za wakina Biteko na Jafo. Kipindi cha JPM watu wengi walipewa vyeo bila vigezo mpaka leo hii ukiangalia huko serikalini kumejaa watu wa ajabu sana.
Vita mbinu uhitaji mtu mwenye elimu kubwa kuwa msemaji wa chama. Unahitaji mtu mwenye mvuto, uwezo wa kushawishi, anaweza porojo za hadaa na kujibu maswali (majibu ambayo lines anatayarishiwa na chama).

Halikadhalika Phd aikufanyi kuwa good accountant, any area (audit, finance, management or financial) you only need a bachelor and professional qualification to do a good job.

Sehemu pekee ya accounts baada ya kupata proffesional qualification inayohitaji education ya ziada ni tax accountant (consultant) kwenda kusoma masters ya law. Sasa huyu sio yule tax accountant wa mashirika, hawa ni wale personal wanaowafundisha people like Donald Trump how to pay low taxes and best ways to hide their assets.

Kusoma uingereza kusikutishe Hakuna kitu special wanachofundishwa zaidi ya IFRS kuanzia kwenye bookkeeping mpaka kutengeneza consolidated financial statement. Mengine ni taxes (mechanics tu) za kufanya hesabu zake. Audit (IAASB) wanaanda ‘international standards of auditing’ hizo ndio unafundishwa kama accounts process zimefuata IFRS, sheria za nchi na mwisho ni management accounting (hesabu zake ni arithmetic tu za darasa la nne).

Ndio maana huko U.K. mtu anaweza kuwa qualified accountant bila ya hata kusoma degree kupitia ACCA programmes mtu yeyote anaweza kuanza nao mpaka anapata proffesional qualification. Tofauti ya kutokuwa na degree unaweza usijue mambo mengine ya kibiashara tu (utosoma business modules on ACCA accounting only mechanics) but you’re not limited to doing areas of accounts ambazo mwenye degree anaweza fanya.

Other than attaining professional qualification uhitaji masters kwenye accounting it’s unnecessary unless for academic purposes za kwenda kufundisha (au kuwa tax consultant) but then accounts lecturers wanalipwa vizuri huko kwao ndio maana baadhi wanaenda. Well na sasa hivi labda ujiongeze kwenye IT maana AI is coming for those repetitive tasks za accountants.
 
Sasa kama ni miundombinu chakavu, kwanini awamu ya nne yote Taifa hili lilikuwa gizani na isifanyiwe maintainance?
Ni kitu gani kilifanyika mpaka kukomesha mgao awamu ya 5?
Je Makamba alihitaji miaka mingapi kuweza kumaliza kukarabati hiyo miundombinu ili kuondoa tatizo?
Sasa hivi tumeambiwa hakutakuwa na mgao tena,ndio kusema wameshamaliza kukarabati hiyo mkundombinu chakavu?😀
Kila mara tumeona Rais akitengua viongozi wa Tanesco, unafikiri ingelikuwa kweli sababu za mgao ni miundombinu chakavu, angewatengua?
Tanesco kuna uzembe, wizi,ubababishaji, upigaji dili.
Ukiniambia ongezeko la wateja, hakuna wakati watanzania wengi wameunganishiwa umeme kama awamu ya 5 baada ya gharama za umeme kushushwa ikiwemo kuanzshwa kwa viwanda vidogo vidogo vingi lkn hapakuwa na migao.
Ni Magu huyu huyu ndiye aliyetusanua watanzania kuwa kuna watu wanahongwa fedha na wafanyabiashara wafungulie maji kwenye mabwawa ili kuwepo na upungufu wa maji na umeme ili generators ziuzike,tuna uhakika gani kama haya mambo hayaendelei baada ya yeye kuondoka? leo bila haya mnakuja na ngonjera zenu kuwa yeye ndiye chanzo cha tatizo, kama sio wendawazimu ni nini?
Mkuu, unaelewa maana yake mtu akisema kuhusu kufanyia service mitambo? Sio ukarabati, service tu.

Ova
 
Vita mbinu uhitaji mtu mwenye elimu kubwa kuwa msemaji wa chama. Unahitaji mtu mwenye mvuto, uwezo wa kushawishi, anaweza porojo za hadaa na kujibu maswali (majibu ambayo lines anatayarishiwa na chama).

Halikadhalika Phd aikufanyi kuwa good accountant, any area (audit, finance, management or financial) you only need a bachelor and professional qualification to do a good job.

Sehemu pekee ya accounts baada ya kupata proffesional qualification inayohitaji education ya ziada ni tax accountant (consultant) kwenda kusoma masters ya law. Sasa huyu sio yule tax accountant wa mashirika, hawa ni wale personal wanaowafundisha people like Donald Trump how to pay low taxes and best ways to hide their assets.

Kusoma uingereza kusikutishe Hakuna kitu special wanachofundishwa zaidi ya IFRS kuanzia kwenye bookkeeping mpaka kutengeneza consolidated financial statement. Mengine ni taxes (mechanics tu) za kufanya hesabu zake. Audit (IAASB) wanaanda ‘international standards of auditing’ hizo ndio unafundishwa kama accounts process zimefuata IFRS, sheria za na mwisho ni management accounting (hesabu zake ni arithmetic tu za darasa la nne).

Ndio maana huko U.K. mtu anaweza kuwa qualified accountant bila ya hata kusoma degree kupitia ACCA programmes mtu yeyote anaweza kuanza nao mpaka anapata proffesional qualification. Tofauti ya kutokuwa na degree unaweza usijue mambo mengine ya kibiashara tu (uto soma business modules only mechanics) but you’re not limited to doing areas of accounts ambazo mwenye degree anaweza fanya.

Other than attaining professional qualification uhitaji masters kwenye accounting it’s unnecessary unless for academic purposes za kwenda kufundisha (au kuwa tax consultant) but then accounts lecturers wanalipwa vizuri huko kwao ndio maana baadhi wanaenda. Well na sasa hivi labda ujiongeze kwenye IT maana AI is coming for those repetitive tasks za accountants.
Nipo ujerumani nakuhakikishia kuna loopholes nyingi sana nimeziona katika serikali yetu ya Tanzania. Bahati mbaya mimi sina roho ya kuisaidia serikali ambao wakuu wa wilaya na viongozi wanateuliwa kishabiki. Nakuhakikishia nikimaliza nachokifanya huku nakuja kupiga hela kubwa sana na sio kwa kuwa nipo serikalini.
 
Mkuu, unaelewa maana yake mtu akisema kuhusu kufanyia service mitambo? Sio ukarabati, service tu.

Ova
Mkuu, Mh Makamba aliomba 11 T kwa ajili ya ukarabati wa miundombinu chakavu aliyodai ndio chanzo cha kukagika kwa umeme au umesahau?labda unieleweshe wewe ni service ipi unayoizungumzia?
 
Watanzania sijui mnafikiri vipi. Unajua matatizo makubwa huanzia mbali sana. Kuna matatizo tunapata saa hii kwasababu ya vita ya Kagera, unajua hilo na huwa inakuwaje? Mmezoea sana kufikiri leo tu, mambo yanaanzia mbali sana. Kuna mambo Tanzania tunateseka hadi leo kwasababu ya siasa za Mwalimu za Ujamaa.
Acha kujiabisha wewe......
Unaongea taka taka gani hizi?
 
Back
Top Bottom