Matatizo mengi tuliyonayo nchini leo yameanzia na awamu ya tano; hapakuwepo na uhuru wa kusema wala kurekebisha mambo, sasa tunalipa kwa maumivu

Matatizo mengi tuliyonayo nchini leo yameanzia na awamu ya tano; hapakuwepo na uhuru wa kusema wala kurekebisha mambo, sasa tunalipa kwa maumivu

Sorry ni awamu ya 5 ya bullzoda sio ya nne! Awamu ya 4 ilikuwa baba wa demokrasia.

Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema, ukweli ulijulikana na uliachwa usemwe kwa kiasi kikubwa, na wataalamu waliachwa watumie taaluma yao kutoa miongozo, lakini alipokuja Magufuli yeye aligeuka kuwa engineer, docta, mchumi, na kila kitu.

Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.

Mfano umeme: Wakati wa Magufuli mashine nyingi za kufua umeme kwa kutumia gesi zilifanya kazi na kupitiliza wakati wake wa kufanyiwa ukarabati. Tanesco walilazimika kuendelea kufua umeme na mashine zilizokuwa zinahitaji kufanyiwa ukarabati kwani Tanesco wangeondoa baadhi ya machine ili kufanya ukarabati kungesababisha upungufu wa umeme na mgao kitu ambacho kingepelekea wao kufukuzwa kazi mara moja. Hivyo waliendelea kuzalisha umeme na mashine zilizokuwa hoi.

Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.

Matatizo ya sukari na dola yana mkondo huo huo. Nani asiyejua namna Magufuli alivyoharibu biashara kwa kuwabambikizia kodi wafanyabiashara, kuwapora mitaji na kuwalazimisha kufunga biashara zao kwa visingizio vya kodi? Matokeo ya hayo ndio leo tunayaona. Biashara kati ya Tanzania na nchi za nje ilidorora mno wakati wa Magufuli. Si mnakumbuka jinsi Magufuli alivyowachukia "mabeberu"? Unategemea nini kibiashara unapowachukia bussiness partners na kufunga biashara zao nchini?

Ila kwakuwa watanzania wengi wamelishwa uongo na hawana jinsi ya kugundua uongo huo basi wataamini kuwa Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa mazuri. Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!
Hata ukabila na kupendelea watu kutoka sehemu fulani. Kipindi cha nyuma ilikuwa vigumu sana kusikia Rais anaenda kupumzika kijijini kwao. Na anafanya maendeleo makubwa kwao. JPM ndiye aliyeanzisha hii na mama anaendeleza Chato imekuwa Kizimkazi na wasukuma wamekuwa watu wa pwani.
 
Sorry ni awamu ya 5 ya bullzoda sio ya nne! Awamu ya 4 ilikuwa baba wa demokrasia.

Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema, ukweli ulijulikana na uliachwa usemwe kwa kiasi kikubwa, na wataalamu waliachwa watumie taaluma yao kutoa miongozo, lakini alipokuja Magufuli yeye aligeuka kuwa engineer, docta, mchumi, na kila kitu.

Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.

Mfano umeme: Wakati wa Magufuli mashine nyingi za kufua umeme kwa kutumia gesi zilifanya kazi na kupitiliza wakati wake wa kufanyiwa ukarabati. Tanesco walilazimika kuendelea kufua umeme na mashine zilizokuwa zinahitaji kufanyiwa ukarabati kwani Tanesco wangeondoa baadhi ya machine ili kufanya ukarabati kungesababisha upungufu wa umeme na mgao kitu ambacho kingepelekea wao kufukuzwa kazi mara moja. Hivyo waliendelea kuzalisha umeme na mashine zilizokuwa hoi.

Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.

Matatizo ya sukari na dola yana mkondo huo huo. Nani asiyejua namna Magufuli alivyoharibu biashara kwa kuwabambikizia kodi wafanyabiashara, kuwapora mitaji na kuwalazimisha kufunga biashara zao kwa visingizio vya kodi? Matokeo ya hayo ndio leo tunayaona. Biashara kati ya Tanzania na nchi za nje ilidorora mno wakati wa Magufuli. Si mnakumbuka jinsi Magufuli alivyowachukia "mabeberu"? Unategemea nini kibiashara unapowachukia bussiness partners na kufunga biashara zao nchini?

Ila kwakuwa watanzania wengi wamelishwa uongo na hawana jinsi ya kugundua uongo huo basi wataamini kuwa Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa mazuri. Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!
Acha uwongo,,umeme wa gasi unazalisha na kampuni binafsi kama Songas na Wala siyo KAZI ya Tanesco.Tanesvo KAZI Yao nikuununua umeme huska
 
Another AI generated post.

CAG hakusema zile hela ni unaccounted for hazipo, alichosema ni matumizi yake ayajakaguliwa (audited). Kwa sababu ofisi ya raisi aikaguliwi.

Baadae ikaja fahamika zimenunulia ndege kadhaa (unbudgeted for). Ndege ambazo kutwa huyo mama yenu kiguu njia anadhurura nazo leo, na walewale wengine waliokuwa vinara wa uongo wa wizi wakipakia na kunyoosha miguu first class kwenye hizo ziara.
Kwa nini CAG alitolewa akawekwa mtu asiyekuwa na vigezo ? Yaani bila kuangalia dini au kabila unajua CV ya Mussa Assad ? JPM alikuwa rais wa wajinga na wavivu kufikiri.
 
-Shida ya sukari alivuruga Mwendazake Kwa kuweka sheria ya kuwapa wachache kuagiza
-Umeme alivuruga Mwendazake akasema gas imeuzwa na akaanzisha bwawa wakati hakuna miradi mingine ya buckup tunaposhbiria bwawa kukamilika
-Hata shida ya Dola ni vile watu wamekimbiza pesa Nje ya Nchi,Tzn haiaminiki Kwa sababu zile zile za kuwazingua burea de change nk

Ila Sasa zigo ataangishiwa aliyepo yule shujaa wao akitafutiwa huruma.

Nawakumbusha tuu ni Jiwe ndio alisema watu wanaficha Dola na hela akatishia kubadili Shilingi.Msingi wa shida zote ni Uongozi wa kipuuzi wa Jiwe [emoji23][emoji23]
Shida sio mwendazake maana kaenda zake miaka mingi sasa , shida ni serikali pengine mipango ya serikali ya tano ilikuwa mizuri na ambayo hairuhusu mianya ya rushwa , lakini wengine ili kujitengenezea mifereji ya visenti wakaharibu strategic zilizokuwepo na si kwa ajili ya kutatua tatizo kwa ajili ya public benefit bali kwa ajili yao ...
Mtaendelea kumlaumu Magufuri sana tu si kwasababu alikuwa vibaya kwenye kuongoza bali kwasababu alikuwa akijaribu kuwa extraordinary na sasa nchi inarudi kwenye default mode ya Rushwa lawama anatupiwa yeye.
Sasa hivi uongozi ni dhaifu ,kila anaeteuliwa anawaza kupiga hela unadhani matokeo yake nini??.
 
Ushahidi ulio wazi ni kumfukiza CAG,wewe unataka ushahidi gani zaidi ya huo wa kukiuka sheria?
Mwa maandishi nimesema ambao kuna sehemu imeandikwa 1.5tn iliibwa kipindi chake?

Halafu swali jepesi mbona,maana ripoti niliisoma ila sikuona 1.5t imepoteaje, labda tukumbushane ilikuwa page ya ngapi.
 
Unaubishi wa kijinga na kitoto sana
Sasa nilipo bisha ni wapi? Ripoti nimeisoma sijaiona hiyo sehemu ya 1.5tn imeibiwa. Wewe kama kuna page inasema 1.5t ziliibiwa unaweza niambia.

Unawezekana hata wewe unabisha huku ripoti hujaisoma,ila oya oya za mitandaoni zimekubeba.
 
Shida sio mwendazake maana kaenda zake miaka mingi sasa , shida ni serikali pengine mipango ya serikali ya tano ilikuwa mizuri na ambayo hairuhusu mianya ya rushwa , lakini wengine ili kujitengenezea mifereji ya visenti wakaharibu strategic zilizokuwepo na si kwa ajili ya kutatua tatizo kwa ajili ya public benefit bali kwa ajili yao ...
Mtaendelea kumlaumu Magufuri sana tu si kwasababu alikuwa vibaya kwenye kuongoza bali kwasababu alikuwa akijaribu kuwa extraordinary na sasa nchi inarudi kwenye default mode ya Rushwa lawama anatupiwa yeye.
Sasa hivi uongozi ni dhaifu ,kila anaeteuliwa anawaza kupiga hela unadhani matokeo yake nini??.
Kama hairuhusu mianya ya Rushwa Kwa nini Sukari Ilianza kusumbua awamu ya 5? Kama mnaridhika ndio na Sasa endeleeni kuvumilia hiyo mianya iliyozibwa kwani sheria imebadilika si ni Ile Ile?

Magufuli alikuta sukari inauzwa 1500-2000 akavuruga ikaanza kuwa kama bangi na bei kuwa kati ya 3000-4000 na shida hiyo imeendelea Hadi Sasa hivi.

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1760682862905593946?t=YGaZwdRrkAeLtktlHTfp1Q&s=19
 
Sorry ni awamu ya 5 ya bullzoda sio ya nne! Awamu ya 4 ilikuwa baba wa demokrasia.

Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema, ukweli ulijulikana na uliachwa usemwe kwa kiasi kikubwa, na wataalamu waliachwa watumie taaluma yao kutoa miongozo, lakini alipokuja Magufuli yeye aligeuka kuwa engineer, docta, mchumi, na kila kitu.

Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.

Mfano umeme: Wakati wa Magufuli mashine nyingi za kufua umeme kwa kutumia gesi zilifanya kazi na kupitiliza wakati wake wa kufanyiwa ukarabati. Tanesco walilazimika kuendelea kufua umeme na mashine zilizokuwa zinahitaji kufanyiwa ukarabati kwani Tanesco wangeondoa baadhi ya machine ili kufanya ukarabati kungesababisha upungufu wa umeme na mgao kitu ambacho kingepelekea wao kufukuzwa kazi mara moja. Hivyo waliendelea kuzalisha umeme na mashine zilizokuwa hoi.

Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.

Matatizo ya sukari na dola yana mkondo huo huo. Nani asiyejua namna Magufuli alivyoharibu biashara kwa kuwabambikizia kodi wafanyabiashara, kuwapora mitaji na kuwalazimisha kufunga biashara zao kwa visingizio vya kodi? Matokeo ya hayo ndio leo tunayaona. Biashara kati ya Tanzania na nchi za nje ilidorora mno wakati wa Magufuli. Si mnakumbuka jinsi Magufuli alivyowachukia "mabeberu"? Unategemea nini kibiashara unapowachukia bussiness partners na kufunga biashara zao nchini?

Ila kwakuwa watanzania wengi wamelishwa uongo na hawana jinsi ya kugundua uongo huo basi wataamini kuwa Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa mazuri. Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!
Umeandika uchafu mtupu
 
Mbona husemi kwamba kipindi chake chote hatukuwa na mgawo. Unamaanisha tulikuwa tunatumia mashine mbovu.
Hizo nzima za awamu hii mbona hatupati umeme?
Umeuliza swali ambalo limeshajibiwa. Ndiyo maana watu makini hupitia kwanza mjadala mzima kabla ya kurukia watu kwa maswali.

Ova
 
Hata wewe huwa unatabia ya kufanya hasty generalisation. Umewahi kutusi jamii yote ya Wasagara kwasababu binafsi za jamaa yako. Huna ushahidi wa kutosha kutuhumu kabila zima as if wewe na kabila lako ni watu wema. Badilika!
Nadhani umenifananisha, sijawahi kuitusi jamii yoyote, mahali popote. Ikikupendeza, niletee ushahidi wa hiyo post.

Ova
 
Kama hairuhusu mianya ya Rushwa Kwa nini Sukari Ilianza kusumbua awamu ya 5? Kama mnaridhika ndio na Sasa endeleeni kuvumilia hiyo mianya iliyozibwa kwani sheria imebadilika si ni Ile Ile?

Magufuli alikuta sukari inauzwa 1500-2000 akavuruga ikaanza kuwa kama bangi na bei kuwa kati ya 3000-4000 na shida hiyo imeendelea Hadi Sasa hivi.

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1760682862905593946?t=YGaZwdRrkAeLtktlHTfp1Q&s=19

Hahah ile sukari chafu?

Yaan sukari ya Brazil na Pakistan nayo ilikua sukari?

Maradhii waliyopata watu kwa ile sukari chafu na iliyomaliza Muda wake unayajua?

Magufuli alianza kuishape sekta ya sukari na Viwanda vya ndani vilianza upanuaji wa mashamba. Na Viwanda 3 vilianza kujengwa

Kama unamchukia Magufuli kwenye sukari utakua unakosea sana labda kama uijui vyema sekta hiyo
 
Kwa nini CAG alitolewa akawekwa mtu asiyekuwa na vigezo ? Yaani bila kuangalia dini au kabila unajua CV ya Mussa Assad ? JPM alikuwa rais wa wajinga na wavivu kufikiri.
CAG awezi kuwa mtu asie na vigezo hiyo nafasi ina qualification requirements na work experience.

Halafu CAG hafanyi audit ya taasisi za serikali moja kwa moja wala kuandika report zake, yeye anapokea tu kazi za watu waliojariwa ofisi yake ndio wanaoenda kufanya auditing.

Uhitaji kuwa special wala kusoma ma Phd kufanya auditing you only need an accounting degree na kuwa member wa professional (RQB) any CPA, ACCA or whatever. Na sio lazima hata uwe na degree kuwa qualified accountant unaweza kusoma ACCA module zao mpaka kumaliza na ukawa chartered accountant ‘provided umepata experience ya miaka mitatu ya kazi’.

Hakuna auditor mwenye akili zake IAASB wanatunga standards za kazi nini cha kufanya ukifika huko. Kwa hivyo uhitaji mi Phd sijui nini na nini you only need to be a qualified accountant (member of RQB) na experience.

Tupunguze kutukuza hizi Phd zingine hazina lazima na faida yake ni kwenye kufundishia vyuo tu ila sio kwenye utendaji au kwamba inaongeza maarifa zaidi kwa mtu bachelor tu kazini.

Kuondelewa kwake ilikuwa kiherehere chake kila akielezwa hela zilipoenda hataki kuelewa, sasa kuna faida gani ya kuwa na CAG mzushi.
 
Uzuri wake aliliweka wazi kabla ya kuitwa chaguo lake binafsi lilikuwa Hussein Mwinyi.

Mengine ya CCM ndio walimuweka Samia na sidhani kama kuna mtu alijua huyo mjomba atomaliza vipindi viwili kawaida yao VP uwa ni ceremonial post ya kukata utepe tu.
Sasa kama mtu yuko na akili kichwani unakubalije kuwekewa mtu usiyeendana nae?
 
Mkuu acha uongo, kipindi cha Mwendazake mgao wa umeme ulikuwepo, sukari iliadimika ikapanda bei, kilimo kiliporomoka, ajira zilisimama na biashara zilikufa. Kadanganye kwingine sio humu!
Ndugu unabishana ata na watu wenye majukumu ya kusimamia value chain kuanzia shambani hadi kwa mlaji na ku regulate hiyo industry.

Bodi ya sukari kwa maelezo yao wanakwambia kuanzia 2015/16 importation ilipungua na walikuwa na sera ya self sustainable, wamekuwa na data za uzalishaji na ikionyesha increased yield na falling importation tones.

Sasa wewe na body ya sukari nani anajua zaidi.
 
Back
Top Bottom