Matatizo mengi tuliyonayo nchini leo yameanzia na awamu ya tano; hapakuwepo na uhuru wa kusema wala kurekebisha mambo, sasa tunalipa kwa maumivu

Umetumia mat*ko kuandika
 
Mkuu machalii wana chuki Kali sana kwa jamaa,walianza na pambio mama alivyoingia mambo yanaenda alijojo wanatafuta chuki ziende kwa wasiye mpenda! Hii ni mbaya sana.
Uchaguzi umekaribia hakuna cha maana walichofanya zaidi ya miradi aliyoicha Magufuli
Wanatafuta wa kumuangushia hili jumba mbovu wameona ni marehemu
 
Naona wewe ndio akili yako nyepesi kabisa. Sasa kama machine hazikufanyiwa service kwa wakati, na zimeshaharibika, unadhani kinachohitajika sasa ni service au kununua mashine mya? Umewahi kumiliki mashine yoyote inayohitaji regular service eg gari?
Hili jamaa halina akili kama machine zilialibika kipindi cha Magufuli mbona matatizo ya umeme hayakuwepo
Machine ikifa mtambo unafanyaje kazi sasa?
Si nchi tungekuwa giza
 
Huo ndiyo ukweli ila kuutambua yakubidi uwe na akili za ukweli. Yule Dikteta aliwaharibu sana KIFIKRA na itachukua muda kuwarudisha kwenye akili zao. Tatizo 90% ya Watanzania ni wajinga na walikuwa ndiyo mtaji wa Magufuli
 
Uchaguzi umekaribia hakuna cha maana walichofanya zaidi ya miradi aliyoicha Magufuli
Wanatafuta wa kumuangushia hili jumba mbovu wameona ni marehemu
Kuacha miradi iliyo chini ya 30% bila kumaliza ni sawa na kuwa umefanya ZERO tu. Kubali kuwa Samia ameimaliza kinyume na Magufuli alivyoacha ku-implement miradi ya Kikwette kama ule wa Bagamoyo.

Je ingekuwaje kama Samia asingemaliza na kuanza mipya ya kwake? Ingekuwa nchi ya HOVYO
 
Ma+vi
Magufuli ndio shujaa wa Tanzania
Ndani ya miaka mitano kafanya mambo makubwa. Sasa hivi nchi haieleweki tunaenda wapi laiti angemaliza tungekuwa mbali
Tulikuwa tulishaanza kuwapita Kenya kiuchumi but kwa sasa ndio basi tena labda tuje tupate mzarendo wa kweli tena kama Magufuli
Nyie mliokuwa wapiga dili na vyeti feki mliisoma namba
 
Huna hoja,Jamaa anajadili issues nyie na jamaa yako kilaza mnajadili personalities.
Regretfully, you have adopted the mannerisms of someone who lacks common sense by disparaging and defaming anyone who disagree with you. I'm sorry to say that.

Ova
 
Mf mdogo tu, hata uchawa na kumsujudu rais ilianza awamu ya 5. Magu akaitwa Mh. Mungu. Mwanri ataelekeza Mungu amshukuru JPM kwa utendaji wake. Rubish kabisa
 
Mkuu Mayor Quimby salam kwako.
Yamkini mkuu unajua mengi, naomba ikikupendeza utueleze udhaifu wa hoja alizowasilisha Mkuu fazili na pia udhaifu wa Uongozi wa Mh Rais Samia Suluhu Hassani kwa mtizamo wa Ki-Science kama ulivyosema hapo juu.
Ubarikiwe
Ahsante
 
Magufuli amefariki tangu 03/2021,
Sukari imeadimika au haipo kuanzia 01-02/2024,

Napata shida ni kwa jinsi gani Magufuli anahusika, naomba nisadiwe tafadhali…
 
Wewe utakuwa mtu mjinga tu si vinginevyo.
Mjinga ni Baba yako alituleta toto jinga na pumba kama wewe hizo shawahawa zake bora angepiga punyeto akamwaga chooni kuliko alivyotuletea shida hii
 
Mjinga ni Baba yako alituleta toto jinga na pumba kama wewe hizo shawahawa zake bora angepiga punyeto akamwaga chooni kuliko alivyotuletea shida hii
Du nimekutana na zu-zu leo, achana na Jamii Forum kabisa nakushauri wee endelea huko vijiweni kunakufaa zaidi mkuu.
 
Mavi ni wewe mwenyewe usiye na alili ya kuchambua. Magufuli alikuwa anatengeneza nchi ya hovyo. Tungekuwa sawa na Yemen au Zimbabwe.
 


Kwanza kabisa mleta mada hana hoja vitu alivyoandika ni vya kujitungia tu havina backed evidence.

Magufuli kafariki reserve ya dollar ni kubwa bank kuu kuwai kutokea katika historia ya Tanzania, umeme wa uhakika kwa miaka mingi mfulululizo katika historia ya Tanzania na tatizo la upungufu wa sukari serikali ilikuwa inapunguza uagizaji kila mwaka kwa mikakati ya Magufuli, ‘bodi ya sukari’ wenyewe wamelisema hilo plan ilianza 2015/16.

Sasa kusema huyo mtu ana hoja za kujibiwa kwa mambo aliyojitungia ambayo yamekosa ata common-sense let alone simple logical. Kutaka ajibiwe even with my low IQ that’s an ‘insult to my intelligence’ unaomba watu wajibu uongo ambao kwa akili ya kawaida tu auminiki.

Sasa huko kwa ‘bi-tozo’ kuandika inabidi mtu afanye evaluation ya mambo luluki kwanini awezi fanikiwa with eclectic arguments za organisation management, politics, risk management, strategic planning, change management, leadership; to name a few. Na hayo yote yana sub-sects zake ambazo unique to the current political environment, ili ueleze kwanini tupo hapo.

Well hiyo kazi better left to a management consultant who will demand compensation before embarking on that mission. That is not the task of forum contributors.

Moreover JF inapitiwa na watu wengi unapokuwa analytical hata usipoeleweka humu elewa kuna mijitu huko kwenye strategic planning za serikali inawagusa na kuona mapungufu yao. Mfano not long ago Issue ya sukari kuna post niliweka humu nikiwakosoa body ya sukari ina maana hawana buffer stock ya kuzingatia lead time ya kuagiza, juzi kwenye hoja zao Ikulu wanadai ni kawaida yao kuwa na buffer stock (inventory ya miezi miwili). Sasa logicalally ingekuwa kweli matatizo ya sukari yasingeanza toka mwaka jana baada ya mvua za so called El-Nino, why so it’s a long story.

Heck hata hizo mvua za elnino si ajabu ilo neno nilikiweka kichwani mwao after I mentioned early in the year 2023 ule sio mwaka wa kukatika umeme maana kuna mvua za elnino way bay before TMA started using it.
 
Ila nahisi hayo matatizo ni konki sana mwaka wa 3 hu Sasa serikali yako pendwa inashindwa kuyatatua mnabaki mnalilia lia tu

Au kifo Cha Magufuli ndio mmeona kichaka Cha kuficha udhaifu wa viongozi wenu vilaza

Manyuzi alipoingia alisema Kwa Sasa umeme unakatika Kwa sababu tunakarabati mitambo Hadi anaondoka janga ndio limezidi Sasa sijui alimaliza huo ukarabati au hajamaliza Hadi alipoondoka

Mama anapigwa sana watu Kila siku wanachota tu pesa za kukarabati mitambo nao huo Kwa Sasa ndio mladi wa vigogo

Wewe kaa tu na ujinga wako
 
Hii nchi vichaa wanazidi kuongezeka. Unamsingizia mtu aliyefariki 3 years ago? You must be a good insane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…