Matatizo ya Engine za Toyota IST na suluhisho lake

Matatizo ya Engine za Toyota IST na suluhisho lake

Yani engine na vifaa vyake vyote hivo unaambiwa tu imekufa unakubali?....

Mfano spika haina vitu vingi just a coil ndo chanzo cha sauti spika ukiambiwa imekufa kwel yaweza kuwa i ekufa labda imechoma coil ...lkn sio mtu kukwambia radio au tv imekufa zenyewe zina vitu vingi vinavofanya kazi pamoja huenda kifaa kimoja kilikufa kinahitaj replacement lkn sio kusema eti engine yote imekufa na ww ukubali tu
Ahsante sasa hapo tatizo linaweza kuwa ni nini?
 
Hizo changamoto ulizotaja huenda zikawa kwenye injini tofauti tofauti za Toyota. Ninatumia gari yenye injini ya 1ZZ-FE (1794cc), hizo changamoto zote nimekutana nazo.

Ilikuja imetembea roughly 160,000km, hapa nimeitumia miaka 5 kasoro miezi 2, changamoto za kula oil nilikutana nayo, bahati mbaya it was worse, hivyo overhaul ilifanyika. Tukabadili oil seals, piston rings na cones. Imeacha kula oil. Oil ilikuwa inavuja inaingia kwenye throttle body...
Well said
Engine zote za toyota zina changamoto hizo. NZ family, ZZ family na ni kubwa zaidi kwa AZ familyy. Toyota wana reccomend tufanye replacement za valve seal, piston ring, timing chain na belt kila km 150,000 - 200,000. Hii ni kama engine haijawa- abused, yaani kufanya kinyume na inavyotaka kama vike kuweka oil na atf isiyo yake, kutumia maji bomba badala ya coolant, mafuta sahii n.k
Ukizingatia utaenjoy sana toyota
 
Mtaalam
Nna shda kwenye gar yangu n Rav4 old model 1997
Oil ya injini inaisha kabsa nikisafr safari ndefu haionekan kwenye dip stick, hapo tatizo litakua wap msaada plz
 
Hizo changamoto ulizotaja huenda zikawa kwenye injini tofauti tofauti za Toyota. Ninatumia gari yenye injini ya 1ZZ-FE (1794cc), hizo changamoto zote nimekutana nazo.

Ilikuja imetembea roughly 160,000km, hapa nimeitumia miaka 5 kasoro miezi 2, changamoto za kula oil nilikutana nayo, bahati mbaya it was worse, hivyo overhaul ilifanyika. Tukabadili oil seals, piston rings na cones. Imeacha kula oil. Oil ilikuwa inavuja inaingia kwenye throttle body.

Nilibadili idle control valve, engine mounts pia baada ya kuwa na mtikisiko mkubwa wa injini hadi ndani unauhisi.

Hivi karibuni nimebadili fuel pump baada ya gari kuwa inakosa nguvu pale ninapopanda kilima au ninapobeba mzigo na watu.

Kwa mujibu wa mtandao fulani, injini nyingi za Toyota, life span ni 200,000km. Ikigonga hapo, changamoto kama hizo zinakuwa za kawaida. Muhimu kuzifanyia kazi na maisha kuendelea.
Mie yangu ina 204,000 ila iko imara kama msumari wa zege.
 
Owner aliyekutangulia aliitunza vizuri.
Yeah yani mie ndio naona kama naichosha, nilipewa gari ikiwa safi na mpya sana. Nimeiburuza buruza kidogo has a few dents on the bottom parts za bumper na door fenders ila nikienda kuzi clear linarudi kwenye upya ule ule ni vile njia mbovu mbovu ndio zinazingua.
 
Wanajamvi,
Kama tujuavyo IST ndio Gari zilizo nyingi kwa sasa mtaani na zote zikiwa na Engine model 1NZ-Fe (CC1490) na 2NZ-Fe (CC 1290)

Engine za 1NZ na 2NZ zote kwa pamoja hukumbwa na matatizo yanayo fanana kama ifuatvyo;

1. Engine kula sana Oil.
-Hizi engine zikifika kuanzia km 120,000-150,000 huanza tatizo la kula sana oil, suluhisho ni kubadili Piston ring (kama gari inatoa moshi mweupe) na Valve stem seals.

2. Rough idle.
-Badili Throttle body na idle control valve

3. Engine kupiga mluzi
-Cheki na badili alternator belt

4. Engine high vibration
-Cheki Fuel Filter/ weka mpya
-Safisha injectors
-Cheki engine mounts plus interior one

5. Kama engine yake imefikisha km 100,000-150,000 unashauriwa kuicheki Chain Tensioner mara kwa mara au weka Timing Chain mpya ili kuondokana na tatizo la motor tapping

6. Hakikisha unatumia engine oil iliyopendekezwa na Toyota kwa ajiri ya engine za 1NZ na 2NZ ambazo ni 5W-30 na 10W-30. Kwa ulinzi wa Gari lako hakikisha unatumia Full Synthetic Oil. Hii itakusaidia kuepukana na tatizo la oil pressure sensor na rear crankshaft oil seal leakage.

Asanteni, na karibuni Kwenye chama cha wenye IST.
Unapoona engine inakula sana Oil katika hzo milleage-Fanya tathmini ya engine oil unayotumia (Kama una drive sana kukabiliana na tatizo kwa haraka-don't use 5W20 engine oil utaona difference unless gari ina tatizo lingine kubwa)
 
Wanajamvi,
Kama tujuavyo IST ndio Gari zilizo nyingi kwa sasa mtaani na zote zikiwa na Engine model 1NZ-Fe (CC1490) na 2NZ-Fe (CC 1290)

Engine za 1NZ na 2NZ zote kwa pamoja hukumbwa na matatizo yanayo fanana kama ifuatvyo;

1. Engine kula sana Oil.
-Hizi engine zikifika kuanzia km 120,000-150,000 huanza tatizo la kula sana oil, suluhisho ni kubadili Piston ring (kama gari inatoa moshi mweupe) na Valve stem seals.

2. Rough idle.
-Badili Throttle body na idle control valve

3. Engine kupiga mluzi
-Cheki na badili alternator belt

4. Engine high vibration
-Cheki Fuel Filter/ weka mpya
-Safisha injectors
-Cheki engine mounts plus interior one

5. Kama engine yake imefikisha km 100,000-150,000 unashauriwa kuicheki Chain Tensioner mara kwa mara au weka Timing Chain mpya ili kuondokana na tatizo la motor tapping

6. Hakikisha unatumia engine oil iliyopendekezwa na Toyota kwa ajiri ya engine za 1NZ na 2NZ ambazo ni 5W-30 na 10W-30. Kwa ulinzi wa Gari lako hakikisha unatumia Full Synthetic Oil. Hii itakusaidia kuepukana na tatizo la oil pressure sensor na rear crankshaft oil seal leakage.

Asanteni, na karibuni Kwenye chama cha wenye IST.
thank kwa elimu
 
Wadau nina ist ya 2006, juzi niliipiga sehemu radiator ikapinda ikagusa fan na kuzuia fan kuzunguka... Kulikopelekea motor kuungua.

Baada ya motor kuungua fan ikashndwa kuzunguka na mashine ikaanza kuheat.

Shida yangu ni kuwa nishaweka motor zingine kama 2 hivi na bado injini inaheat kwa kilometer chache tu hata 30 hazifiki na maji yanaisha kabisa.

Nb.
Rejeta haivuji, sasa hapa solution ipo vipi.
Je kuna aina ya moto special kwa hizi gari, au fan special,. Na ni wapi naweza nikaipata na kwa gharama gani maaana nateseka saana na nina safari. Ya kwenda bukoba week ijayo.
 
Wadau nina ist ya 2006, juzi niliipiga sehemu radiator ikapinda ikagusa fan na kuzuia fan kuzunguka... Kulikopelekea motor kuungua.

Baada ya motor kuungua fan ikashndwa kuzunguka na mashine ikaanza kuheat.

Shida yangu ni kuwa nishaweka motor zingine kama 2 hivi na bado injini inaheat kwa kilometer chache tu hata 30 hazifiki na maji yanaisha kabisa.

Nb.
Rejeta haivuji, sasa hapa solution ipo vipi.
Je kuna aina ya moto special kwa hizi gari, au fan special,. Na ni wapi naweza nikaipata na kwa gharama gani maaana nateseka saana na nina safari. Ya kwenda bukoba week ijayo.
Cylinder head ikizingua gari inakuwa inaheat
 
Wanajamvi,
Kama tujuavyo IST ndio Gari zilizo nyingi kwa sasa mtaani na zote zikiwa na Engine model 1NZ-Fe (CC1490) na 2NZ-Fe (CC 1290)

Engine za 1NZ na 2NZ zote kwa pamoja hukumbwa na matatizo yanayo fanana kama ifuatvyo;

1. Engine kula sana Oil.
-Hizi engine zikifika kuanzia km 120,000-150,000 huanza tatizo la kula sana oil, suluhisho ni kubadili Piston ring (kama gari inatoa moshi mweupe) na Valve stem seals.

2. Rough idle.
-Badili Throttle body na idle control valve

3. Engine kupiga mluzi
-Cheki na badili alternator belt

4. Engine high vibration
-Cheki Fuel Filter/ weka mpya
-Safisha injectors
-Cheki engine mounts plus interior one

5. Kama engine yake imefikisha km 100,000-150,000 unashauriwa kuicheki Chain Tensioner mara kwa mara au weka Timing Chain mpya ili kuondokana na tatizo la motor tapping

6. Hakikisha unatumia engine oil iliyopendekezwa na Toyota kwa ajiri ya engine za 1NZ na 2NZ ambazo ni 5W-30 na 10W-30. Kwa ulinzi wa Gari lako hakikisha unatumia Full Synthetic Oil. Hii itakusaidia kuepukana na tatizo la oil pressure sensor na rear crankshaft oil seal leakage.

Asanteni, na karibuni Kwenye chama cha wenye IST.
Engine ndogo ni matatizo sana ,,kilometa laki nanusu ni ndogo sana kwenye cruiser 1hz , kitu imefika hadi kilometa laki nne ila bado mpya
 
Engine ndogo ni matatizo sana ,,kilometa laki nanusu ni ndogo sana kwenye cruiser 1hz , kitu imefika hadi kilometa laki nne ila bado mpya
Huo mchuma ni imara ila kwenye mbio mmmh 160km/h kufika kwa mbinde tofauti na IST.
 
Wanajamvi,
Kama tujuavyo IST ndio Gari zilizo nyingi kwa sasa mtaani na zote zikiwa na Engine model 1NZ-Fe (CC1490) na 2NZ-Fe (CC 1290)

Engine za 1NZ na 2NZ zote kwa pamoja hukumbwa na matatizo yanayo fanana kama ifuatvyo;

1. Engine kula sana Oil.
-Hizi engine zikifika kuanzia km 120,000-150,000 huanza tatizo la kula sana oil, suluhisho ni kubadili Piston ring (kama gari inatoa moshi mweupe) na Valve stem seals.

2. Rough idle.
-Badili Throttle body na idle control valve

3. Engine kupiga mluzi
-Cheki na badili alternator belt

4. Engine high vibration
-Cheki Fuel Filter/ weka mpya
-Safisha injectors
-Cheki engine mounts plus interior one

5. Kama engine yake imefikisha km 100,000-150,000 unashauriwa kuicheki Chain Tensioner mara kwa mara au weka Timing Chain mpya ili kuondokana na tatizo la motor tapping

6. Hakikisha unatumia engine oil iliyopendekezwa na Toyota kwa ajiri ya engine za 1NZ na 2NZ ambazo ni 5W-30 na 10W-30. Kwa ulinzi wa Gari lako hakikisha unatumia Full Synthetic Oil. Hii itakusaidia kuepukana na tatizo la oil pressure sensor na rear crankshaft oil seal leakage.

Asanteni, na karibuni Kwenye chama cha wenye IST.
Hivi hizo engine mbili za ist zinashare gearbox au ukiibadilisha kutoka 1300 to 1500 lazima ubadilishe na gearbox.?
 
Back
Top Bottom