manumba malecha
Member
- Apr 25, 2020
- 43
- 27
Ahsante sasa hapo tatizo linaweza kuwa ni nini?Yani engine na vifaa vyake vyote hivo unaambiwa tu imekufa unakubali?....
Mfano spika haina vitu vingi just a coil ndo chanzo cha sauti spika ukiambiwa imekufa kwel yaweza kuwa i ekufa labda imechoma coil ...lkn sio mtu kukwambia radio au tv imekufa zenyewe zina vitu vingi vinavofanya kazi pamoja huenda kifaa kimoja kilikufa kinahitaj replacement lkn sio kusema eti engine yote imekufa na ww ukubali tu
Well saidHizo changamoto ulizotaja huenda zikawa kwenye injini tofauti tofauti za Toyota. Ninatumia gari yenye injini ya 1ZZ-FE (1794cc), hizo changamoto zote nimekutana nazo.
Ilikuja imetembea roughly 160,000km, hapa nimeitumia miaka 5 kasoro miezi 2, changamoto za kula oil nilikutana nayo, bahati mbaya it was worse, hivyo overhaul ilifanyika. Tukabadili oil seals, piston rings na cones. Imeacha kula oil. Oil ilikuwa inavuja inaingia kwenye throttle body...
Hiyo mimi ningekushauri rekebisha kisha uza...tafuta mtu anayeanza maisha ya gari muuzie naye akachangamke kidogo...kisha nunua nyingine.
Halafu mnatushauri tuendelee kununua Toyota tuachane na mzunguPasso Ni pasua kichwa , unatengeneza temeke inafia kibaha.
Mkuu kitu kinaoshwa, kinapigwa rangi mkono mmoja, kinawekwa marashi ya maana, kamziki fulani....kama mtu anawenge la pesa, anaingia mzima mzima..Jinga sana wewe..., Ambao hatujaanza maisha ya magari nasi tumo humu tunawazoom [emoji23][emoji23]
Mkuu kitu kinaoshwa, kinapihwa rangi mkono mmoja, kinawekwa marashi ya maana, kamziki fulani....kama mtu anawenge la pesa, anaingia mzima mzima..
Mie yangu ina 204,000 ila iko imara kama msumari wa zege.Hizo changamoto ulizotaja huenda zikawa kwenye injini tofauti tofauti za Toyota. Ninatumia gari yenye injini ya 1ZZ-FE (1794cc), hizo changamoto zote nimekutana nazo.
Ilikuja imetembea roughly 160,000km, hapa nimeitumia miaka 5 kasoro miezi 2, changamoto za kula oil nilikutana nayo, bahati mbaya it was worse, hivyo overhaul ilifanyika. Tukabadili oil seals, piston rings na cones. Imeacha kula oil. Oil ilikuwa inavuja inaingia kwenye throttle body.
Nilibadili idle control valve, engine mounts pia baada ya kuwa na mtikisiko mkubwa wa injini hadi ndani unauhisi.
Hivi karibuni nimebadili fuel pump baada ya gari kuwa inakosa nguvu pale ninapopanda kilima au ninapobeba mzigo na watu.
Kwa mujibu wa mtandao fulani, injini nyingi za Toyota, life span ni 200,000km. Ikigonga hapo, changamoto kama hizo zinakuwa za kawaida. Muhimu kuzifanyia kazi na maisha kuendelea.
Owner aliyekutangulia aliitunza vizuri.Mie yangu ina 204,000 ila iko imara kama msumari wa zege.
Yeah yani mie ndio naona kama naichosha, nilipewa gari ikiwa safi na mpya sana. Nimeiburuza buruza kidogo has a few dents on the bottom parts za bumper na door fenders ila nikienda kuzi clear linarudi kwenye upya ule ule ni vile njia mbovu mbovu ndio zinazingua.Owner aliyekutangulia aliitunza vizuri.
Dah bora ujichange uende showroom tuMkuu kitu kinaoshwa, kinapihwa rangi mkono mmoja, kinawekwa marashi ya maana, kamziki fulani....kama mtu anawenge la pesa, anaingia mzima mzima..
Unajua kuna watu wana wenge sana wakitaka kununua gari...hawashauriki, hawasikii, wqo wanajua kila kitu....sasa hao unawachonganisha tu na dalali, wanapigwa za uso..acheni dhambi [emoji23][emoji23]
Unapoona engine inakula sana Oil katika hzo milleage-Fanya tathmini ya engine oil unayotumia (Kama una drive sana kukabiliana na tatizo kwa haraka-don't use 5W20 engine oil utaona difference unless gari ina tatizo lingine kubwa)Wanajamvi,
Kama tujuavyo IST ndio Gari zilizo nyingi kwa sasa mtaani na zote zikiwa na Engine model 1NZ-Fe (CC1490) na 2NZ-Fe (CC 1290)
Engine za 1NZ na 2NZ zote kwa pamoja hukumbwa na matatizo yanayo fanana kama ifuatvyo;
1. Engine kula sana Oil.
-Hizi engine zikifika kuanzia km 120,000-150,000 huanza tatizo la kula sana oil, suluhisho ni kubadili Piston ring (kama gari inatoa moshi mweupe) na Valve stem seals.
2. Rough idle.
-Badili Throttle body na idle control valve
3. Engine kupiga mluzi
-Cheki na badili alternator belt
4. Engine high vibration
-Cheki Fuel Filter/ weka mpya
-Safisha injectors
-Cheki engine mounts plus interior one
5. Kama engine yake imefikisha km 100,000-150,000 unashauriwa kuicheki Chain Tensioner mara kwa mara au weka Timing Chain mpya ili kuondokana na tatizo la motor tapping
6. Hakikisha unatumia engine oil iliyopendekezwa na Toyota kwa ajiri ya engine za 1NZ na 2NZ ambazo ni 5W-30 na 10W-30. Kwa ulinzi wa Gari lako hakikisha unatumia Full Synthetic Oil. Hii itakusaidia kuepukana na tatizo la oil pressure sensor na rear crankshaft oil seal leakage.
Asanteni, na karibuni Kwenye chama cha wenye IST.
thank kwa elimuWanajamvi,
Kama tujuavyo IST ndio Gari zilizo nyingi kwa sasa mtaani na zote zikiwa na Engine model 1NZ-Fe (CC1490) na 2NZ-Fe (CC 1290)
Engine za 1NZ na 2NZ zote kwa pamoja hukumbwa na matatizo yanayo fanana kama ifuatvyo;
1. Engine kula sana Oil.
-Hizi engine zikifika kuanzia km 120,000-150,000 huanza tatizo la kula sana oil, suluhisho ni kubadili Piston ring (kama gari inatoa moshi mweupe) na Valve stem seals.
2. Rough idle.
-Badili Throttle body na idle control valve
3. Engine kupiga mluzi
-Cheki na badili alternator belt
4. Engine high vibration
-Cheki Fuel Filter/ weka mpya
-Safisha injectors
-Cheki engine mounts plus interior one
5. Kama engine yake imefikisha km 100,000-150,000 unashauriwa kuicheki Chain Tensioner mara kwa mara au weka Timing Chain mpya ili kuondokana na tatizo la motor tapping
6. Hakikisha unatumia engine oil iliyopendekezwa na Toyota kwa ajiri ya engine za 1NZ na 2NZ ambazo ni 5W-30 na 10W-30. Kwa ulinzi wa Gari lako hakikisha unatumia Full Synthetic Oil. Hii itakusaidia kuepukana na tatizo la oil pressure sensor na rear crankshaft oil seal leakage.
Asanteni, na karibuni Kwenye chama cha wenye IST.
Cylinder head ikizingua gari inakuwa inaheatWadau nina ist ya 2006, juzi niliipiga sehemu radiator ikapinda ikagusa fan na kuzuia fan kuzunguka... Kulikopelekea motor kuungua.
Baada ya motor kuungua fan ikashndwa kuzunguka na mashine ikaanza kuheat.
Shida yangu ni kuwa nishaweka motor zingine kama 2 hivi na bado injini inaheat kwa kilometer chache tu hata 30 hazifiki na maji yanaisha kabisa.
Nb.
Rejeta haivuji, sasa hapa solution ipo vipi.
Je kuna aina ya moto special kwa hizi gari, au fan special,. Na ni wapi naweza nikaipata na kwa gharama gani maaana nateseka saana na nina safari. Ya kwenda bukoba week ijayo.
Kukagua cylinder head unafanya vipCylinder head ikizingua gari inakuwa inaheat
Engine ndogo ni matatizo sana ,,kilometa laki nanusu ni ndogo sana kwenye cruiser 1hz , kitu imefika hadi kilometa laki nne ila bado mpyaWanajamvi,
Kama tujuavyo IST ndio Gari zilizo nyingi kwa sasa mtaani na zote zikiwa na Engine model 1NZ-Fe (CC1490) na 2NZ-Fe (CC 1290)
Engine za 1NZ na 2NZ zote kwa pamoja hukumbwa na matatizo yanayo fanana kama ifuatvyo;
1. Engine kula sana Oil.
-Hizi engine zikifika kuanzia km 120,000-150,000 huanza tatizo la kula sana oil, suluhisho ni kubadili Piston ring (kama gari inatoa moshi mweupe) na Valve stem seals.
2. Rough idle.
-Badili Throttle body na idle control valve
3. Engine kupiga mluzi
-Cheki na badili alternator belt
4. Engine high vibration
-Cheki Fuel Filter/ weka mpya
-Safisha injectors
-Cheki engine mounts plus interior one
5. Kama engine yake imefikisha km 100,000-150,000 unashauriwa kuicheki Chain Tensioner mara kwa mara au weka Timing Chain mpya ili kuondokana na tatizo la motor tapping
6. Hakikisha unatumia engine oil iliyopendekezwa na Toyota kwa ajiri ya engine za 1NZ na 2NZ ambazo ni 5W-30 na 10W-30. Kwa ulinzi wa Gari lako hakikisha unatumia Full Synthetic Oil. Hii itakusaidia kuepukana na tatizo la oil pressure sensor na rear crankshaft oil seal leakage.
Asanteni, na karibuni Kwenye chama cha wenye IST.
Huo mchuma ni imara ila kwenye mbio mmmh 160km/h kufika kwa mbinde tofauti na IST.Engine ndogo ni matatizo sana ,,kilometa laki nanusu ni ndogo sana kwenye cruiser 1hz , kitu imefika hadi kilometa laki nne ila bado mpya
Hivi hizo engine mbili za ist zinashare gearbox au ukiibadilisha kutoka 1300 to 1500 lazima ubadilishe na gearbox.?Wanajamvi,
Kama tujuavyo IST ndio Gari zilizo nyingi kwa sasa mtaani na zote zikiwa na Engine model 1NZ-Fe (CC1490) na 2NZ-Fe (CC 1290)
Engine za 1NZ na 2NZ zote kwa pamoja hukumbwa na matatizo yanayo fanana kama ifuatvyo;
1. Engine kula sana Oil.
-Hizi engine zikifika kuanzia km 120,000-150,000 huanza tatizo la kula sana oil, suluhisho ni kubadili Piston ring (kama gari inatoa moshi mweupe) na Valve stem seals.
2. Rough idle.
-Badili Throttle body na idle control valve
3. Engine kupiga mluzi
-Cheki na badili alternator belt
4. Engine high vibration
-Cheki Fuel Filter/ weka mpya
-Safisha injectors
-Cheki engine mounts plus interior one
5. Kama engine yake imefikisha km 100,000-150,000 unashauriwa kuicheki Chain Tensioner mara kwa mara au weka Timing Chain mpya ili kuondokana na tatizo la motor tapping
6. Hakikisha unatumia engine oil iliyopendekezwa na Toyota kwa ajiri ya engine za 1NZ na 2NZ ambazo ni 5W-30 na 10W-30. Kwa ulinzi wa Gari lako hakikisha unatumia Full Synthetic Oil. Hii itakusaidia kuepukana na tatizo la oil pressure sensor na rear crankshaft oil seal leakage.
Asanteni, na karibuni Kwenye chama cha wenye IST.