Pre GE2025 Matatizo ya Morogoro Mjini hayataisha kama Mbunge ni Abood na Madiwani hawa wa kila kitu NDIO

Pre GE2025 Matatizo ya Morogoro Mjini hayataisha kama Mbunge ni Abood na Madiwani hawa wa kila kitu NDIO

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Chanazi

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2010
Posts
212
Reaction score
64
Kwa utafiti hafifu Mji wa Morogoro una shindwa kupiga hatua kwasababu za KIUONGOZI WA JIMBO!

Matatizo makubwa ya Mii huu haya semewi na kusimamiwa ipasavyo na Mbunge na Madiwani sababu hawana Uchungu na wanaoneana Aibu kuambiana Ukweli!

Ukimsema kwa nia ya Kumkosoa Mbunge kwa wema kabisa, habari zitafikishwa kama wewe ni Adui wa Mbunge na utachukiwa na kupigwa vita hadi ujute!

Madiwani hawana nguvu ya kuhoji, Morogoro ni Mji pekee wenye barabara za Tarura mbovu kupindukia katikati ya Mji!

Morogoro kuna Mapori makubwa kama pori la Magadu, St Peter Kilakala, StarCity na pori la Kihonda la magereza kwa kutaja kwa uchache, mapori haya yapo katikati ya Mji kilometers chache kutokea City Center na hayaendelezwi yamekia sehem hatari kwa maficho ya uharifu! Mbunge yupo hana habari Madiwani wapo hawasemi kitu!

Viwanda , maeneo ya biashara na maeneo mengine ya kiuchumi yame bakia nyuma sababu kubwa ni hawa wawakirishi wa wananchi kukosa meno, uweredi na uchungu kwa Huu Mji!
Kitu kikubwa Mbunge ana fanya ni kutoa msaada wa Usafiri na rambirambi ya Misiba hapo Waluguru katuweza kabisa !!

Tutafute wasemaji wenye Uchungu na huu Mji wetu, wawakilishi wazalendo kwa Mji wa Morogoro! Bila hivyo barabara hizi mbovu na mapori ya StarCity, Kihonda na Magadu vita tumaliza na Mbunge/Madiwani watakuja kutuzika bila aibu!
 
Kwa utafiti hafifu Mji wa Morogoro una shindwa kupiga hatua kwasababu za KIUONGOZI WA JIMBO!
Matatizo makubwa ya Mii huu haya semewi na kusimamiwa ipasavyo na Mbunge na Madiwani sababu hawana Uchungu na wanaoneana Aibu kuambiana Ukweli!
Wapiga kura wa huo mji wape ubwabwa na ngoma tu mambo mengine si muhimu
 
Kwa utafiti hafifu Mji wa Morogoro una shindwa kupiga hatua kwasababu za KIUONGOZI WA JIMBO!
Matatizo makubwa ya Mii huu haya semewi na kusimamiwa ipasavyo na Mbunge na Madiwani sababu hawana Uchungu na wanaoneana Aibu kuambiana Ukweli! Ukimsema kwa nia ya Kumkosoa Mbunge kwa wema kabisa, habari zitafikishwa kama wewe ni Adui wa Mbunge na utachukiwa na kupigwa vita hadi ujute!
Madiwani hawana nguvu ya kuhoji, Morogoro ni Mji pekee wenye barabara za Tarura mbovu kupindukia katikati ya Mji!
Morogoro kuna Mapori makubwa kama pori la Magadu, St Peter Kilakala, StarCity na pori la Kihonda la magereza kwa kutaja kwa uchache , mapori haya yapo katikati ya Mji kilometers chache kutokea City Center na hayaendelezwi yamekia sehem hatari kwa maficho ya uharifu! Mbunge yupo hana habari Madiwani wapo hawasemi kitu!
Viwanda , maeneo ya biashara na maeneo mengine ya kiuchumi yame bakia nyuma sababu kubwa ni hawa wawakirishi wa wananchi kukosa meno, uweredi na uchungu kwa Huu Mji!
Kitu kikubwa Mbunge ana fanya ni kutoa msaada wa Usafiri na rambirambi ya Misiba hapo Waluguru katuweza kabisa !!
Tutafute wasemaji wenye Uchungu na huu Mji wetu, wawakilishi wazalendo kwa Mji wa Morogoro ! Bila hivyo barabara hizi mbovu na mapori ya StarCity , Kihonda na Magadu vita tumaliza na Mbunge/Madiwani watakuja kutuzika bila aibu!
Hukuridhika kule kwenye mada ya mradi wa Starcity umekuja tena 🤣🤣
 
Kwa utafiti hafifu Mji wa Morogoro una shindwa kupiga hatua kwasababu za KIUONGOZI WA JIMBO!
Matatizo makubwa ya Mii huu haya semewi na kusimamiwa ipasavyo na Mbunge na Madiwani sababu hawana Uchungu na wanaoneana Aibu kuambiana Ukweli! Ukimsema kwa nia ya Kumkosoa Mbunge kwa wema kabisa, habari zitafikishwa kama wewe ni Adui wa Mbunge na utachukiwa na kupigwa vita hadi ujute!
Madiwani hawana nguvu ya kuhoji, Morogoro ni Mji pekee wenye barabara za Tarura mbovu kupindukia katikati ya Mji!
Morogoro kuna Mapori makubwa kama pori la Magadu, St Peter Kilakala, StarCity na pori la Kihonda la magereza kwa kutaja kwa uchache , mapori haya yapo katikati ya Mji kilometers chache kutokea City Center na hayaendelezwi yamekia sehem hatari kwa maficho ya uharifu! Mbunge yupo hana habari Madiwani wapo hawasemi kitu!
Viwanda , maeneo ya biashara na maeneo mengine ya kiuchumi yame bakia nyuma sababu kubwa ni hawa wawakirishi wa wananchi kukosa meno, uweredi na uchungu kwa Huu Mji!
Kitu kikubwa Mbunge ana fanya ni kutoa msaada wa Usafiri na rambirambi ya Misiba hapo Waluguru katuweza kabisa !!
Tutafute wasemaji wenye Uchungu na huu Mji wetu, wawakilishi wazalendo kwa Mji wa Morogoro ! Bila hivyo barabara hizi mbovu na mapori ya StarCity , Kihonda na Magadu vita tumaliza na Mbunge/Madiwani watakuja kutuzika bila aibu!
Nyie si mlimchagua Abood ili awe anawapa mabasi yake kwenda kuzikia ndugu zenu wanaokufa kwa umasikini, sasa mnamlilia nani?
 
Kwailo la miti skuungi mkono acha mazingira tatzo lenu mnataka miji ya kwenu iwe kama dar mitaa kama temeke et ndy patakuwa pazr kama mzunguko wa pesa ipo wee kula ayo mengne n uchafuz wa hali ya hewa
Hakizungumzwi kuhusu uwepo wa miti, kinachozungumwa ni mapori, yaani chini ya miti hakusafishwi kuondoa vichaka na matawi ya chini, hebu nenda Sao Hill Iringa ukaone usafi wa mashamba ya miti.
 
Hakizungumzwi kuhusu uwepo wa miti, kinachozungumwa ni mapori, yaani chini ya miti hakusafishwi kuondoa vichaka na matawi ya chini, hebu nenda Sao Hill Iringa ukaone ussfi wa mashamba ya miti.
Excellent clarification, asipo elewa basi tena sikio la kufa
 
Naona unataka kuishi maisha ya siasa.. utapoteza muda wako mkuu, Fanya yako tu. Hii nchi ina uozo kila mahali..
Kodi zimekithiri.. gharama za umeme kubwa licha ya kuwa vyanzo vikubwa vya umeme, yani wanataka wauze umeme nje ya nchi, halikwamba sisi wenye nchi tunachangamoto za umeme kila siku.
 
Mji gani ambao matatizo yameisha? Gombea wewe Ili umalize matatizo
Hatutegemei kumaliza matatizo yote, lakini yale yaliyo kwenye uwezo wa Mbunge na Madiwani haiwezekani kufumbia Macho, suala la barabara za Tarura kuwa mbovu na uwepo wa Mapori katikati ya Mji ni vitu vinavyoweza kurekebishwa kwa level ya mkoa!! Hadi rukwa wana barabara za Mitaani safi kabisa kuzidi za Kilakala na Bigwa au Area 5 , ukienda Kitungwa na sehem zingine ni aibu kubwa hasa masika !
 
Naona unataka kuishi maisha ya siasa.. utapoteza muda wako mkuu, Fanya yako tu. Hii nchi ina uozo kila mahali..
Kodi zimekithiri.. gharama za umeme kubwa licha ya kuwa vyanzo vikubwa vya umeme, yani wanataka wauze umeme nje ya nchi, halikwamba sisi wenye nchi tunachangamoto za umeme kila siku.
Tupambane tupunguze hayo ulio sema kuishi na kero ni mtihani
 
Back
Top Bottom