Pre GE2025 Matatizo ya Morogoro Mjini hayataisha kama Mbunge ni Abood na Madiwani hawa wa kila kitu NDIO

Pre GE2025 Matatizo ya Morogoro Mjini hayataisha kama Mbunge ni Abood na Madiwani hawa wa kila kitu NDIO

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ila alichozungumza mtoa mada kina mashiko. Barabara nyingi za Mtaa ni kweli ni za vumbi! Wakati ukienda Iringa mjini, mambo ni tofauti kabisa.

Halafu yale mashamba ya mkonge nayo yangepangwa kitaalam, then yauzwe kwa wananchi wenye uwezo wa kujenga nyumba za kisasa. Haiwezekani Mji uzungukwe na mapori yasiyotumika au kuendelezwa.
 
Kwa utafiti hafifu Mji wa Morogoro una shindwa kupiga hatua kwasababu za KIUONGOZI WA JIMBO!

Matatizo makubwa ya Mii huu haya semewi na kusimamiwa ipasavyo na Mbunge na Madiwani sababu hawana Uchungu na wanaoneana Aibu kuambiana Ukweli!

Ukimsema kwa nia ya Kumkosoa Mbunge kwa wema kabisa, habari zitafikishwa kama wewe ni Adui wa Mbunge na utachukiwa na kupigwa vita hadi ujute!

Madiwani hawana nguvu ya kuhoji, Morogoro ni Mji pekee wenye barabara za Tarura mbovu kupindukia katikati ya Mji!

Morogoro kuna Mapori makubwa kama pori la Magadu, St Peter Kilakala, StarCity na pori la Kihonda la magereza kwa kutaja kwa uchache, mapori haya yapo katikati ya Mji kilometers chache kutokea City Center na hayaendelezwi yamekia sehem hatari kwa maficho ya uharifu! Mbunge yupo hana habari Madiwani wapo hawasemi kitu!

Viwanda , maeneo ya biashara na maeneo mengine ya kiuchumi yame bakia nyuma sababu kubwa ni hawa wawakirishi wa wananchi kukosa meno, uweredi na uchungu kwa Huu Mji!
Kitu kikubwa Mbunge ana fanya ni kutoa msaada wa Usafiri na rambirambi ya Misiba hapo Waluguru katuweza kabisa !!

Tutafute wasemaji wenye Uchungu na huu Mji wetu, wawakilishi wazalendo kwa Mji wa Morogoro! Bila hivyo barabara hizi mbovu na mapori ya StarCity, Kihonda na Magadu vita tumaliza na Mbunge/Madiwani watakuja kutuzika bila aibu!
Matatizo hayo uliyoelezea ambayo unadai yapo huko Morogoro kiini chake siyo Mbunge wala siyo Madiwani, bali yametokana na Ubovu wa Serikali iliyopo kwa ujumla wake, matatizo kama hayo yapo pia kwenye miji mingine yote kabisa ya Tanzania, hayapo Morogoro Mjini peke yake. Mifumo ya Utawala na uendeshaji wa Serikali iliyopo haifai, ni mibovu na mibaya Sana. Hao Wabunge na Madiwani ni kanyaboya tu, HAWANA mamlaka yoyote yale katika kuendesha Serikali. Kikundi cha watu/Watawala wachache Sana kutoka kwa chama tawala ndio Wana mamlaka yote kabisa ya kuendesha nchi, Udikteta ndiyo kiini cha kuwepo kwa matatizo hayo. Utawala na Serikali iliyopo haifai, ni ya Kidikteta na wala haiwajibiki kwa Wananchi, that's why unaona kwamba matatizo hayo mengi hayawezi kwisha.
 
Ila alichozungumza mtoa mada kina mashiko. Barabara nyingi za Mtaa ni kweli ni za vumbi! Wakati ukienda Iringa mjini, mambo ni tofauti kabisa.

Halafu yale mashamba ya mkonge nayo yangepangwa kitaalam, then yauzwe kwa wananchi wenye uwezo wa kujenga nyumba za kisasa. Haiwezekani Mji uzungukwe na mapori yasiyotumika au kuendelezwa.
 
Mkiambiwa sera ya majimbo mnakubali kudanganywa na wahuni. Endeleeni kusubiri fadhila kutoka serikali kuu.
 
Mleta mada upo sahihi. Mimi siishi morogoro lakini moro ndio nyumbani ila nimekuwa nikiyasikia haya maneno. Mh abood anamiliki viwanja vikubwa low density na katikat ya mji na msamvu zaidi ya 10 ndani ya manispaa na ameshindwa kuviendeleza sana sana akijenga ni kituo cha mafuta. Ana eneo hapo linaangaliana na geti la kuingilia ma bus msamvu terminal ameligeuza yard ya malori yake wakati wengine wakiambiwa na ofisi ya manispaa ni marufuku kupaki malori na yanatakiwa kupaki 88. Ana eneo karibu kabisa na soko la kingaru limezungushwa mabati huu mwaka wa 10 na mamlaka zikimuangalia tu. Mh abood ameshindwa kujenga japo kiwanda kimoja tu ili kitoe ajira ndani ya manispaa ya morogoro. JPM pia hili la viwanda alimsema sana na sidhani kama angekuwepo angethubutu kuchukua fomu
 
Kwa utafiti hafifu Mji wa Morogoro una shindwa kupiga hatua kwasababu za KIUONGOZI WA JIMBO!

Matatizo makubwa ya Mii huu haya semewi na kusimamiwa ipasavyo na Mbunge na Madiwani sababu hawana Uchungu na wanaoneana Aibu kuambiana Ukweli!

Ukimsema kwa nia ya Kumkosoa Mbunge kwa wema kabisa, habari zitafikishwa kama wewe ni Adui wa Mbunge na utachukiwa na kupigwa vita hadi ujute!

Madiwani hawana nguvu ya kuhoji, Morogoro ni Mji pekee wenye barabara za Tarura mbovu kupindukia katikati ya Mji!

Morogoro kuna Mapori makubwa kama pori la Magadu, St Peter Kilakala, StarCity na pori la Kihonda la magereza kwa kutaja kwa uchache, mapori haya yapo katikati ya Mji kilometers chache kutokea City Center na hayaendelezwi yamekia sehem hatari kwa maficho ya uharifu! Mbunge yupo hana habari Madiwani wapo hawasemi kitu!

Viwanda , maeneo ya biashara na maeneo mengine ya kiuchumi yame bakia nyuma sababu kubwa ni hawa wawakirishi wa wananchi kukosa meno, uweredi na uchungu kwa Huu Mji!
Kitu kikubwa Mbunge ana fanya ni kutoa msaada wa Usafiri na rambirambi ya Misiba hapo Waluguru katuweza kabisa !!

Tutafute wasemaji wenye Uchungu na huu Mji wetu, wawakilishi wazalendo kwa Mji wa Morogoro! Bila hivyo barabara hizi mbovu na mapori ya StarCity, Kihonda na Magadu vita tumaliza na Mbunge/Madiwani watakuja kutuzika bila aibu!
Mkuu tuwekee CV zao tuwajue
 
Back
Top Bottom