Match fixing,TAKUKURU wachunguzeni Yanga

Match fixing,TAKUKURU wachunguzeni Yanga

Ukifiatilia mwenendo wa Simba tokea usajili utagundua tu uhuni mtupu, angalia sajili zao yaan kusajili mchezaji wa milioni 400 inakuwa ishu, angalia suala la makocha kuanzia kwa kocha wa makipa, viungo, kocha msaidizi, kocha mkuu hakuna usiriazi kabisa. Kunakauli moja ilishawahi tolewa na kiongozi mmoja wa yanga kuwa kama Yanga isipokuwa na mgogoro ndani ya klabu Yao ni ngumu sana kuchukua ubingwa n kuwafunga. Naanza kuiamini taratiiibu
 
Ukifiatilia mwenendo wa Simba tokea usajili utagundua tu uhuni mtupu, angalia sajili zao yaan kusajili mchezaji wa milioni 400 inakuwa ishu, angalia suala la makocha kuanzia kwa kocha wa makipa, viungo, kocha msaidizi, kocha mkuu hakuna usiriazi kabisa. Kunakauli moja ilishawahi tolewa na kiongozi mmoja wa yanga kuwa kama Yanga isipokuwa na mgogoro ndani ya klabu Yao ni ngumu sana kuchukua ubingwa n kuwafunga. Naanza kuiamini taratiiibu
Jana Phiri kaumizwa mbele ya linesman rafu mbaya na linesman kakausha.huyo sako nadhani wanataka kumuua tu uwanjani
 
Hii kitu inaharibu soka la nchi.
Timu zikicheza na Simba zinakamia na kuumiza wachezaji kwa foul za makusudi na ikitokea zikafungwa wachezaji wa hizo timu mpaka wanalia baada ya mchezo.

Timu hizo hizo zikicheza na yanga hata zifungwe magoli mangapi wachezaji wa hizo timu wanatoka uwanjani na tabasamu,na hakuna mchezaji wa yanga anayechezewa rafu kwa dk 90.

Takukuru mmesinzia sana,mbona ushahidi upo kuwa Arajiga alitumiwa mhamala ili kuinyonga Azam ,mpaka akafungiwa kimyakimya na TFF

Kwa mwendo huu mnakula mishahara ya bure tu
Hiyo kitu mnabwia sasa hivi inawaharibu ubongo
 
Ukiambiwa ulete ushahidi utaishia kukata mauno tu.
Hata kukata mauono nao ni ushahidi

Wachezaji wamefungwa goli nne afu ukiwacheki usoni wanacheka kuliko walioshinda

Hiyo ni indication kwamba nyie mnachukua points 3 sisi tunamkunja Benjamin Franlin
 
IMG-20221117-WA0103.jpg
 
Hii kitu inaharibu soka la nchi.
Timu zikicheza na Simba zinakamia na kuumiza wachezaji kwa foul za makusudi na ikitokea zikafungwa wachezaji wa hizo timu mpaka wanalia baada ya mchezo.

Timu hizo hizo zikicheza na yanga hata zifungwe magoli mangapi wachezaji wa hizo timu wanatoka uwanjani na tabasamu,na hakuna mchezaji wa yanga anayechezewa rafu kwa dk 90.

Takukuru mmesinzia sana,mbona ushahidi upo kuwa Arajiga alitumiwa mhamala ili kuinyonga Azam ,mpaka akafungiwa kimyakimya na TFF

Kwa mwendo huu mnakula mishahara ya bure tu
Wala Ngada acheni wivu,Yanga ni bora sana......hata nyie mkiambiwa mlete timu yenu Kwa Mkapa hamuwezi kukubali kirahisi
 
Hii kitu inaharibu soka la nchi.
Timu zikicheza na Simba zinakamia na kuumiza wachezaji kwa foul za makusudi na ikitokea zikafungwa wachezaji wa hizo timu mpaka wanalia baada ya mchezo.

Timu hizo hizo zikicheza na yanga hata zifungwe magoli mangapi wachezaji wa hizo timu wanatoka uwanjani na tabasamu,na hakuna mchezaji wa yanga anayechezewa rafu kwa dk 90.

Takukuru mmesinzia sana,mbona ushahidi upo kuwa Arajiga alitumiwa mhamala ili kuinyonga Azam ,mpaka akafungiwa kimyakimya na TFF

Kwa mwendo huu mnakula mishahara ya bure tu
Referees kama Ahmed Arajiga, Florentina Zabron na Eli Sasii hawa wanapaswa kuchunguzwa kwa tabia zisizokuwa na maadili ya uchezeshaji.
 
Back
Top Bottom