Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Jana Phiri kaumizwa mbele ya linesman rafu mbaya na linesman kakausha.huyo sako nadhani wanataka kumuua tu uwanjaniUkifiatilia mwenendo wa Simba tokea usajili utagundua tu uhuni mtupu, angalia sajili zao yaan kusajili mchezaji wa milioni 400 inakuwa ishu, angalia suala la makocha kuanzia kwa kocha wa makipa, viungo, kocha msaidizi, kocha mkuu hakuna usiriazi kabisa. Kunakauli moja ilishawahi tolewa na kiongozi mmoja wa yanga kuwa kama Yanga isipokuwa na mgogoro ndani ya klabu Yao ni ngumu sana kuchukua ubingwa n kuwafunga. Naanza kuiamini taratiiibu
Hiyo kitu mnabwia sasa hivi inawaharibu ubongoHii kitu inaharibu soka la nchi.
Timu zikicheza na Simba zinakamia na kuumiza wachezaji kwa foul za makusudi na ikitokea zikafungwa wachezaji wa hizo timu mpaka wanalia baada ya mchezo.
Timu hizo hizo zikicheza na yanga hata zifungwe magoli mangapi wachezaji wa hizo timu wanatoka uwanjani na tabasamu,na hakuna mchezaji wa yanga anayechezewa rafu kwa dk 90.
Takukuru mmesinzia sana,mbona ushahidi upo kuwa Arajiga alitumiwa mhamala ili kuinyonga Azam ,mpaka akafungiwa kimyakimya na TFF
Kwa mwendo huu mnakula mishahara ya bure tu
Mhamala ndo nini? Nenda karejee kusoma kwa hatuaMchezaji analia timu yake ikifungwa na simba,ila ikifungwa na yanga anatabasamu kama sio mhamala ni ninini
Hata kukata mauono nao ni ushahidiUkiambiwa ulete ushahidi utaishia kukata mauno tu.
Wao pekee ndo' wanastahili ushindi, ikitokea kwa wengine basi kuna namna.Simba kamfunga Mtibwa goli 5 kulikua na match fixing?
Wala Ngada acheni wivu,Yanga ni bora sana......hata nyie mkiambiwa mlete timu yenu Kwa Mkapa hamuwezi kukubali kirahisiHii kitu inaharibu soka la nchi.
Timu zikicheza na Simba zinakamia na kuumiza wachezaji kwa foul za makusudi na ikitokea zikafungwa wachezaji wa hizo timu mpaka wanalia baada ya mchezo.
Timu hizo hizo zikicheza na yanga hata zifungwe magoli mangapi wachezaji wa hizo timu wanatoka uwanjani na tabasamu,na hakuna mchezaji wa yanga anayechezewa rafu kwa dk 90.
Takukuru mmesinzia sana,mbona ushahidi upo kuwa Arajiga alitumiwa mhamala ili kuinyonga Azam ,mpaka akafungiwa kimyakimya na TFF
Kwa mwendo huu mnakula mishahara ya bure tu
Wewe ni wa Kiume? Wakati anaambiwa maagizo hayo ulikuwepo au uliambiwa?Uliona mchezaji wa mtibwa anasmile?
Simba ina majeruhi wengi sababu wachezaji wanaambiwa kabisa ukimvunja Sako mhamala unasoma
Wasamehe Mateja hawa mkuuWao pekee ndo' wanastahili ushindi, ikitokea kwa wengine basi kuna namna.
Ingekuwa Yanga alicheza na Mtibwa yenye red cards mbili alafu ikashinda tano, hapa pangetapakaa mashudu na upupu wa Mambumbumbu
Referees kama Ahmed Arajiga, Florentina Zabron na Eli Sasii hawa wanapaswa kuchunguzwa kwa tabia zisizokuwa na maadili ya uchezeshaji.Hii kitu inaharibu soka la nchi.
Timu zikicheza na Simba zinakamia na kuumiza wachezaji kwa foul za makusudi na ikitokea zikafungwa wachezaji wa hizo timu mpaka wanalia baada ya mchezo.
Timu hizo hizo zikicheza na yanga hata zifungwe magoli mangapi wachezaji wa hizo timu wanatoka uwanjani na tabasamu,na hakuna mchezaji wa yanga anayechezewa rafu kwa dk 90.
Takukuru mmesinzia sana,mbona ushahidi upo kuwa Arajiga alitumiwa mhamala ili kuinyonga Azam ,mpaka akafungiwa kimyakimya na TFF
Kwa mwendo huu mnakula mishahara ya bure tu