Mate sio kilainishi sahihi wakati wa tendo la ndoa na ni hatari kwa afya ya Mwanamke

Hapa mate yanasingiziwa tuu, shida ni vyoo
 
Ambaye hajawahi kutumia hichi "kilainishi" anyooshe kidole bila kujali jinsia 😅😅😅😅
 
From my experience tulipuuzia but tulihangaik sanaa mpk kupata tiba kamil na ss mamb n shwari. Brothers and sister tuwaandae wenza wetu kama una harak vipo vilainish salama au kama mviv kumuandaa vipo vipip na daw nying tu mpe anyegek chap analainika unachakat kiroho safi. Mi ni muhanga so Naunga mkono hoja Mate ni Hatarii.
 
Huwa mnakutana wa wanawake gani aisee...!

Wengine sisi hata tukiwapuliza kidogo tu sikioni njia inakuwa tayari kwa kupita.....
 
Mkuu tusaidie hiyo dawa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tuachee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…