Mate yasitumike kama kilainishi wakati wa tendo la ndoa

Mate yasitumike kama kilainishi wakati wa tendo la ndoa

VanDon

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
396
Reaction score
680
Msitumie mate wakati wa tendo la ndoa

"Sio salama kutumia mate kama kilainishi wakati wa tendo la ndoa kwa sababu kuna vijidudu ambavyo vipo katika mate, kwa hiyo vinatakiwa vikae huko huko havitakiwi kuhamishwa sehemu nyingine. Ukivipeleka sehemu za siri unaweza kusababisha changamoto nyingine". Dkt. Baya Kissiwa, Mtaalamu wa Afya ya Uzazi kutoka hospitali ya Amana, Dar es Salaam.

TBC FM

FB_IMG_1698225520896.jpg
 
Basi tutumie grease/grisi(sijui nimeandika sahihi)
Actually dokta yuko sahihi.
Maana hata kuzama chumvini ni hatari vilevile lakini
Kuna msemo mmoja unasema kila jambo lina faida na hasara tunachoangalia ni upande upi uko juu zaidi ndio utapewa kipaumbele.

Kwahiyo hapo mtapima wenyewe ni wangapi walienda hospital wakalaambiwa wewe unaumwa huko sababu kuna bakteria wengi wa mdomoni na kwenye mate.
 
Basi tutumie grease/grisi(sijui nimeandika sahihi)
Actually dokta yuko sahihi.
Maana hata kuzama chumvini ni hatari vilevile lakini
Kuna msemo mmoja unasema kila jambo lina faida na hasara tunachoangalia ni upande upi uko juu zaidi ndio utapewa kipaumbele.

Kwahiyo hapo mtapima wenyewe ni wangapi walienda hospital wakalaambiwa wewe unaumwa huko sababu kuna bakteria wengi wa mdomoni na kwenye mate.
Umewaza mbali sana😆
 
Msitumie mate wakati wa tendo la ndoa

"Sio salama kutumia mate kama kilainishi wakati wa tendo la ndoa kwa sababu kuna vijidudu ambavyo vipo katika mate, kwa hiyo vinatakiwa vikae huko huko havitakiwi kuhamishwa sehemu nyingine. Ukivipeleka sehemu za siri unaweza kusababisha changamoto nyingine". Dkt. Baya Kissiwa, Mtaalamu wa Afya ya Uzazi kutoka hospitali ya Amana, Dar es Salaam.

TBC FM

View attachment 2792219
Ulimi nao una mate, vipi kuhusu kupihwa deki na vijana wa hovyo
 
Msitumie mate wakati wa tendo la ndoa

"Sio salama kutumia mate kama kilainishi wakati wa tendo la ndoa kwa sababu kuna vijidudu ambavyo vipo katika mate, kwa hiyo vinatakiwa vikae huko huko havitakiwi kuhamishwa sehemu nyingine. Ukivipeleka sehemu za siri unaweza kusababisha changamoto nyingine". Dkt. Baya Kissiwa, Mtaalamu wa Afya ya Uzazi kutoka hospitali ya Amana, Dar es Salaam.

TBC FM

View attachment 2792219
kwen mm au ww?!
 
Back
Top Bottom