'Matege Ndani' Baba yako aliyeondoka 'Mazima' aliwashindwa 'Coast Mafias' je, Wewe uliye Mwepesi utawaweza?

Halafu acha Kuwaamini hao Waandamizi wako Watatu wa Idarani na Mmoja ni Mstaafu kwani Wanakuponza utaumia.
Yaani Daudi Albert Bashite asijifanye kichwa ngumu hao Msoga gang(the GSM) na "wazuri hawafi" wakimuamulia atarudishwa Kolomije ndani ya mkebe wa mbao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…