Mateka aisifu Hamas

Uislam mwema sana.
 
Toa ushaidi mateka alibakwa au kuuliwa na Hamas. Mmetumia nguvu nyingi sana kukaririsha watu kuwa Hamas ni watu wa ovyo kwa stori nyingi zisizokuwa na ushaidi. Sasa angalia m/mungu jinsi anavyotisha. Mnawasafisha Hamasi wenyewe bila shuruti
Raia zaidi ya 1500 walijiua wenyewe sio?!
 
Watoto wa kiislamu tuache kusifia ugaidi
Gaidi ni gaidi tu hata kama akijificha kwa kusoma Quran tukufu
Watu wangapi wameuawa na hao hamas mpk Sasa em acheni ujinga .
 
Inaruhusiwa kuteka kwa nia na madhumuni mazuri
Wacha we, kumbe kukamata mateka inaruhusiwa. Nikajua ni kitendo cha kigaidi wakati ni utaratibu wa watu fulani.
Vipi suala la kuvamia music festival nalo limeruhusiwa, na la kufyatua maroketi
 
Israeli yeye hawachi wazee, watoto, hata wale watoto wenye downsyndrome anawafunga na anawatesa.

Hamasi safi sana ushahidi unatoka kwa watu wao wenyewe, wacha America na Europe wawaite freedom fighter ni Ma terrorism kwani maneno ya wajinga yanauzwa 😂
 
Kuna Waisrael wa Kimara, Yombo, Makete, hawataki kabisa hizi habari.
 

Attachments

  • 692ebbf9-95ba-4604-ae3c-fb161faa7f20.mp4
    8.5 MB
Katika vita unaweza kutumia huduma kwa mateka kama silaha ya ama kutafuta uungwaji mkono,kuonekana wewe una utu na unajali binadamu ,au kinga dhidi yamashambulizi ya adui. Usidhani hao Hamasi ni wajinga, wanajua wanachokifanya, na ndiyo maana hata humu mmeanza kuwaona kama wana utuw, ni wauji tu. Hata hao mateka wakifa ,watu wa Israel wakawa salama miaka 400 ijayo ni sawa tu ,.wameachiwa.je hawatakufa, jibu ni watakufa.
Maswala ya vita yana mbinu nyingi
 
Na
Wacha we, kumbe kukamata mateka inaruhusiwa. Nikajua ni kitendo cha kigaidi wakati ni utaratibu wa watu fulani.
Vipi suala la kuvamia music festival nalo limeruhusiwa, na la kufyatua maroketi
Nani kakuambia kukamate mateka vitani ni ugaidi? Mateka wanakamata kwa madhumuni mengi sana. Na la kupiga mabomu kwenye makazi ya watu kwa madhumini ya kuuwa watoto, wanawake na vikongwe mbuna haulizungumzii?
 
Huu wa kuteka, kuua na kubaka wanawake kwa kisingizio cha kupigania ardhi huku wakitaja jina la allah
Hizo porojo na chuki zako tu.

Huelewi kuwa sheria zote za kimataifa za mateka wa kivita kupewa haki zao, sheria za kutokuuwa wanawake, watoto na wazeee vitani zilianzishwa na Uislam. Soma Uislam upate faida.

Kuna mwanamke mwandishi wa habari maarufu sana Uingereza anaitwa Yvonne Ridley, alienda kuandika vita vya Afghanistan kwa bahati nzuri akatekwa na Taliban, alivyoachiwa akasilimu. Unaelewa kwanini? Msikilize mwenyewe:


View: https://youtu.be/nFqtZd0y_0g?si=uykOWd8egquo2Oum
Uislam ni mwema sana.

Huyu alikuja mpaka Tanzania akaongea kisa chake hicho Starlight na MUM.

Wewe unangoja nini?
 
Kama Hamas ni watu wema, mbona wameua maelfu ya watu baada ya kuivamia na kuishambulia Israel kwa mabomu pamoja na risasi...!!
Waisrael wengi waliuawa na jeshi lao wenyewe walipoanza kurushiana risasi na HAMAS. HAMAS ilienda kuchukua watu wa kuwasaidia kwenye intelijensia yao na ambao watasaidia kushinikiza Israel nayo iachie raia wengi wa Palestina iliyowateka huko nyuma wakiwemo watoto, lakini kwa bahati mbaya IDF ilipofika haikujali maisha ya raia wao. Ikaanza kurusha risasi zilizoua waisrael wenzao wengi.
 
Sawa amesema ukweli na kwa sababu wazungu hawapindishi maneno wameripoti hivyo hivyo; ila ukweli unababaki pale pale kuwa HAMAS wanatimiza Agenda ya Uislam ambayo Iko kwenye charter yao ya 1988 inayonukuliwa Toka Sahih Muslim Hadith 2922 kuwa ule mwisho haitokei mpaka Waislam wameua kila Myahudi. Na pia charter hiyo hiyo inasema Uislam utatawala Dunia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…