Hizo porojo na chuki zako tu.
Huelewi kuwa sheria zote za kimataifa za mateka wa kivita kupewa haki zao, sheria za kutokuuwa wanawake, watoto na wazeee vitani zilianzishwa na Uislam. Soma Uislam upate faida.
Kuna mwanamke mwandishi wa habari maarufu sana Uingereza anaitwa Yvonne Ridley, alienda kuandika vita vya Afghanistan kwa bahati nzuri akatekwa na Taliban, alivyoachiwa akasilimu. Unaelewa kwanini? Msikilize mwenyewe:
View: https://youtu.be/nFqtZd0y_0g?si=uykOWd8egquo2Oum
Uislam ni mwema sana.
Huyu alikuja mpaka Tanzania akaongea kisa chake hicho Starlight na MUM.
Wewe unangoja nini?