Mateka aisifu Hamas

Mateka aisifu Hamas

Hamas ni magaidi, ila majeshi ya israel si magaidi

Mtu anatetea haki yake wewe unamuita gaidi! Marekani amewaharibu sana enyi wapagani wa Tanzania na duniani kote msiokua na imani

الحمد الله: إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.
وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
Kwa akili zako fupi umekaririshwa kwamba imani ni ile iliyotoka nje ya Afrika na unafikiri kwamba kabla hao hawajawaletea hizo imani waafrika hatukumfahamu Mungu kitu ambacho sio kweli.
 
Hizo porojo na chuki zako tu.

Huelewi kuwa sheria zote za kimataifa za mateka wa kivita kupewa haki zao, sheria za kutokuuwa wanawake, watoto na wazeee vitani zilianzishwa na Uislam. Soma Uislam upate faida.

Kuna mwanamke mwandishi wa habari maarufu sana Uingereza anaitwa Yvonne Ridley, alienda kuandika vita vya Afghanistan kwa bahati nzuri akatekwa na Taliban, alivyoachiwa akasilimu. Unaelewa kwanini? Msikilize mwenyewe:


View: https://youtu.be/nFqtZd0y_0g?si=uykOWd8egquo2Oum

Uislam ni mwema sana.

Huyu alikuja mpaka Tanzania akaongea kisa chake hicho Starlight na MUM.

Wewe unangoja nini?

Hamna cha wema ni imani ya vurugu tu.
 
Unajiaribia na utasababaisha kila mtu mwenye akili tumamu akupuuze
Uzuri waislamu uchafu wote waa Muhammad mmeandika

Aisha anasema alikuwa anasikia kinyaaa wanawake wanaenda kujitoa wapigwe mkuyati na Muhammad teana akawa anajiuliza inawezakanaje ndipo Allah akashusha verse 2 ya kwanza kuruhusu na ya pili baada ya Muhammad kuona Kuna pisi mbovu akaweka aya anaweza kumkataa


Msome mtoto Aisha analalamika

I used to look down upon those ladies who had given themselves to Muhammad (ﷺ) and I used to say, "Can a lady give herself (to a man)?" But when Allah revealed: " Muhammad can postpone whom you will of them , and you may receive any of them whom you will; and there is no blame on you if you invite one whose turn you have set aside (temporarily).' (33.51) I said (to the Prophet), "I feel that your Lord hastens in fulfilling your wishes and desires."Sahih al-Bukhari 4788
 
Kama kweli wao Hamas wangekuwa wanawajali na kuwahurumia wazee kwa Nini waliwateka? Kwani hawakujua kwamba hao ni wazee wakati natekeleza ukatiri wao?

Emergine jinsi walivyokua wanavikimbizq vibibi vya watu siku walivyoviteka kutoka Ezirael alafu Leo wanajifanya eti wanahuruma. Hakuna watu wanafiki kama kama Hawa jamaa zetu wa hii dini bahari nzuri hata wao wanajijua kuwa ni wanafiki
 
Huelewi kuwa sheria zote za kimataifa za mateka wa kivita kupewa haki zao, sheria za kutokuuwa wanawake, watoto na wazeee vitani zilianzishwa na Uislam. Soma Uislam upate faida.
Ichi kisa kundi la Muhammad lilimuua bibi wa watu kwa kumfunga kwenye ngamia wawili uku na uku , ngamia wakaenda kila mmoja upande wake wakamchana katikati ,

And he killed her cruelly”. The cruel method used by the holy warriors of Muhammad to kill Umm Qirfa is described in Al-Tabari:
“By putting a rope into her two legs and to two camels and driving them until they rent her in two pieces ”
 
hiyo inafutaj mauaji yao waliyoyafanya ? unahisi wmagemtesaj kwa kipigo hiki , hao mateka ndo walikuwa hauweni yao lzm wawakirimu , wangekuwa wema wasingeua watu kule disco vumbi
Sometimes HAMAS wanawapa Wayahudi kile wanachokielewa kwa mujibu wa Maandiko yao wao wenyewe,

Jino kwa Jino
Mtu kwa mtu

Hiyo imo ndani ya bible (kumbukumbu la Torati 19: 21)

Haiwezekani Israel iteke watu, including watoto halafu hiyo ionekane sawasawa, ila HAMAS wakiretaliate iwe ni kosa.

Kama Israel ikiua Wapalestina 1000, ni haki kabisa HAMAS kuua Waisrael 1000
Hvyo ndivyo torati ya Wayahudi inavyuosema!

Tena kwa kuwa Israel imeua Wapalestina 5000 wasio na hatia mpaka sasa, HAMAS inabidi ilipize kisasi kwa kuua Wayahudi 5000 wasi na hatia. Hivyo ndivyo BIBLE inavyoagiza!
 
Her husband is still being held captive, of course she won't say anything bad about Hamas!! Same for the Americans released who still have family members being held.
 
Her husband is still being held captive, of course she won't say anything bad about Hamas!! Same for the Americans released who still have family members being held.
That doesn't deny the fact that she said she was well treated
 
Hio picha ya huyo mzee na huyo mke wake, mbona chini imeandikwa photo is AI generated? unaelewa maana yake?
Ndyo hiyo ni AI generated ikikupa picha jinsi Gani Mtume alipomuoa mtoto wa miaka 6.
 
Back
Top Bottom