Mateka aisifu Hamas

Mateka aisifu Hamas

Mwanamke mzee Muisrael aliyeachiliwa huru na wapiganaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema alikirimiwa na kutendewa wema katika muda wa wiki mbili alipokuwa ameshikiliwa mateka na kundi hilo la wanamapambano wa Palestina.

Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo, Yocheved Lifshitz, ajuza wa miaka 85, amesema Hamas ilimpatia daktari wa kushughulikia afya yake na kufanya kila njia kuhakikisha anapata dawa zake.

Ameongeza kuwa wapiganaji wa Hamas walishughulikia pia mahitaji yake. Bi Lifshitz amesema: "tulikula mkate, jibini nyeupe na matango, kama wao."

Bi Kizee huyo Muisrael ameendelea kusimulia alivyokirimiwa na wanamuqawama wa Palestina akisema: "walituambia wanaiamini Qur'ani na kwa hivyo hawatatudhuru".

Alipoulizwa kwa nini alipeana mkono na mmoja wa wanachama wa Hamas wakati wa kuachiliwa kwake, Bi Lifshitz alisema kwa sababu "walliamiliana nasi kwa wema na walishughulikia mahitaji yetu yote."

Jumatatu usiku, tawi la kijeshi la Hamas la Brigedi za Al Qassam lilitangaza kuwa limewaachilia huru mateka wawili wa Israel - Yocheved Lifshitz na Nurit Cooper mwenye umri wa 79 - kwa "sababu za ubinadamu."
wanaiamini hicho kitabu, kwahiyo ni watu wema, wakati huohuo wametoka kuua watoto na wanawake israel na yeye mwenyewe amepigwa mabuti ya kutosha wakati wa utekaji. mbona dhihaka hii.
 
Hiyo sio hoja na haiondoi ukweli kwamba Hamas ni kikundi cha kigaidi. Hamuwezi mkaua watu namna hiyo na kuteka wengine halafu bado mnasifiwa kwamba nyie ni watu wema na utakuta hata hao wanaowasifia nao ukichunguza utakuta ni walewale.
US imeua watoto, wanawake na wazee na wananchi wasio na hatia kuliko nchi yeyote duniani na hilo unazungumziaje?
 
Kwahiyo wale watu 200 waliouawa kwenye ukumbi wa muziki walikuwa na kosa lipi?
Ilikuwa ni kutimiza amri ya Torati ya Jino kwa Jino kwa mujibu wa (Kumbukumbu la Torati 19:21)

Mwaka huu kabla ya hilo shambulio la HAMAS, Israel imeua wapalestina wengi sana wasio na hatia na hairipotiwi kwa uzito mkubwa.
 
Na kwann wateke watu Kama wanaiamini quraan !? walipokuwa wanawateka hao wazee hawakuwaona kuwa ni wazee!? waache huruma ya dunia .
 
Kumteka kikongwe kama huyo tu ni ugaidi na ndio tushuhudie wale wanaosema vikundi kama Hamas ni vikundi vya kigaidi sio waongo.

Na huyo kikongwe kwenye mahojiano alisema wakati wa kutekwa alipewa kipigo pamoja na kuporwa mkufu wake na watekaji taarifa ambayo mleta mada kwa sababu za kiimani hajaongelea kabisa.

Kama wewe kweli ni muungwana na mwenye kumuogopa Mungu kiukweli bila unafiki huwezi kabisa kufanya vitendo vya kigaidi kama kuteka watu sanasana unatakiwa kutafuta ufumbuzi wa changamoto zako kwa maombi zaidi.
Wakristo mna chuki sanaa
 
Wakristo mna chuki sanaa

إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.

الحمد الله: وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
 
Kwa akili zako fupi umekaririshwa kwamba imani ni ile iliyotoka nje ya Afrika na unafikiri kwamba kabla hao hawajawaletea hizo imani waafrika hatukumfahamu Mungu kitu ambacho sio kweli.

Kabla uislamu haujakufikieni uislamu/Dini ya Mwenyezi Mungu, mlikua mnaabudu nini?
 
إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.

الحمد الله: وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
 
Kabla uislamu haujakufikieni uislamu/Dini ya Mwenyezi Mungu, mlikua mnaabudu nini?
Nipe ushahidi.
Duuu jamani nimevumbua ujinga mwingine huu kwenye Quran. Wao si wanasema atakuja Dajjal, sasa Mtume kwenye Abi Dawud Hadith 4320 Mtume anamtambulisha Dajjal (Anti Christ) kuwa ni mfupi, ana nywele za kalkit ma jicho Moja. Sasa anawatahadhalisha Waislam kuwa akija ili wasije kufikiri ni ALLAH, wakumbuke kuwa ALLAH hana JICHO MOJA, Ina maana maumbile mengine yote ALLAH anafanana na Dajjal 🤣 halafu kwanini umfananishe Dajjal na ALLAH badala ya christo mwenyewe

Screenshot_20231025-175003.png
 
Hamas hawajatimiza hata moja hapo , juz trh 7 si wameua watoto wazee na kulipua misitu , Msiwe mnasahau mapena jaman ,ikipita miaka mtakumbuka kwel?
Na kama wamefanya hivyo, kua wazee na watoto ni kosa pia.. hatujasema wako sahihi muda wote, tunaznungumzia hiki cha kuishi na huyo mateka kwa wema kiasi mateka mwenyewe kasema.


Siku nikifanya zuri mnipe maua yangu,na nikiboronga mnichane.
Ndivyo inavyotakiwa.
 
Kumteka kikongwe kama huyo tu ni ugaidi na ndio tushuhudie wale wanaosema vikundi kama Hamas ni vikundi vya kigaidi sio waongo.

Na huyo kikongwe kwenye mahojiano alisema wakati wa kutekwa alipewa kipigo pamoja na kuporwa mkufu wake na watekaji taarifa ambayo mleta mada kwa sababu za kiimani hajaongelea kabisa.

Kama wewe kweli ni muungwana na mwenye kumuogopa Mungu kiukweli bila unafiki huwezi kabisa kufanya vitendo vya kigaidi kama kuteka watu sanasana unatakiwa kutafuta ufumbuzi wa changamoto zako kwa maombi zaidi.
Onyesha hapa wapi alipata kipigo ama kuporwa, baada ya kupata habari njema za dini ya kiislamu unaamua tu kuweka doa japo moyoni unakubali
 
Duuu jamani nimevumbua ujinga mwingine huu kwenye Quran. Wao si wanasema atakuja Dajjal, sasa Mtume kwenye Abi Dawud Hadith 4320 Mtume anamtambulisha Dajjal (Anti Christ) kuwa ni mfupi, ana nywele za kalkit ma jicho Moja. Sasa anawatahadhalisha Waislam kuwa akija ili wasije kufikiri ni ALLAH, wakumbuke kuwa ALLAH hana JICHO MOJA, Ina maana maumbile mengine yote ALLAH anafanana na Dajjal 🤣 halafu kwanini umfananishe Dajjal na ALLAH badala ya christo mwenyewe

View attachment 2792584
Dajjal ni marekani.
 
Weka hiyo clip hapa
Naomba ukafatilie BBC. Moja kati ya interview zao baada ya ule uvamizi ni hiyo clip, ya binti aliyeokolewa na haba yake. Baada ya kumpigia simu. Kwamba hamas wamevamia mji wao, stry nzima iko bbc. Sometimes muwe mnagoogle sio kila kitu tuma clip. Yaani nikadownload clip nilete hapa. Huangalii hata taarifa za habari.
 
Kumbe ni bbc!! Basi tuoshie hapa
Naomba ukafatilie BBC. Moja kati ya interview zao baada ya ule uvamizi ni hiyo clip, ya binti aliyeokolewa na haba yake. Baada ya kumpigia simu. Kwamba hamas wamevamia mji wao, stry nzima iko bbc. Sometimes muwe mnagoogle sio kila kitu tuma clip. Yaani nikadownload clip nilete hapa. Huangalii hata taarifa za habari.
 
Back
Top Bottom