Mateka aisifu Hamas

Israel inaua wapalestina waislamu na wakiristu.
 
Wenye chuki ni hao hamas waliofanya ugaidi na ukatili kama wanyama huku wakijiapiza kwa jina la Allah.
Halafu mnasema uislam ni mwema sana😆😆
 
Israel inaua wapalestina waislamu na wakiristu.
Kama Kuna mkiristo anauawa maskini anakuwa ameuawa kwa bahati mbaya. Wao hawana Agenda za kiislam za kupambana na kuwaua wayahudi. Wenye chuki hiyo ni HAMAS. na kwa sababu agenda hiyo ni pana wakimalizana na Wayahudi watakuja kwa Wakiristo, wahindu na hata wachina hawako salama
 
Wenye chuki ni hao hamas waliofanya ugaidi na ukatili kama wanyama huku wakijiapiza kwa jina la Allah.
Halafu mnasema uislam ni mwema sana😆😆
Toa ushaidi mateka alibakwa au kuuliwa na Hamas. Mmetumia nguvu nyingi sana kukaririsha watu kuwa Hamas ni watu wa ovyo kwa stori nyingi zisizokuwa na ushaidi. Sasa angalia m/mungu jinsi anavyotisha. Mnawasafisha Hamasi wenyewe bila shuruti
Mzee Kigogo Hawa Waislam Uongo uko kwenye damu yao na hatushangai kwani Quran ktk Sura 15:39 Allah ndiye alikuwa wa kwanza kumdanganya Ibilisi na ndipo Ibilisi akaapa ku deal na wanadamu. Kidini Cha machafuko haya yanayoletwa na Hamas ni mafundisho ya kiislam. Hamas Charter 1988 Article 7 inanukuu Sahih Muslim Hadith 2922 kwamba ua wayahudi wote KABLA kiama hakijaja
Hapa chini nakurushia pictures ujionee mwenyewe
 

Attachments

  • F8YRDZAWYAEw3h9.jpeg
    145.9 KB · Views: 1
  • F8EctIkbsAAvAAM.jpeg
    86.6 KB · Views: 1
  • F8zwZfeaYAATkBG.jpeg
    64.5 KB · Views: 1
Nimeshangaa sana.

Yaani kuna watu humu utafikiri hawana vichwa kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mama mmoja wa kiyahudi Hamas waliingia katika nyumba yake, huyu mama akawaambia nina watoto wawili, wale Hamas wakamuambia usijali, sisi ni waislamu hatutokudhuru, huyu mama akashangaa sana akiwa na wasi wasi, wale Hamas wakaketi nae na watoto wake kwenye dining room.

Kulikuwa na askari mmoja mwenye silaha akiwalinda wengine wakizunguka ndani kufanya ukaguzi.

Mwanamke huyo wa kiyahudi anaendelea kusema pale mezani kulikuwa na ndizi, yule mpiganaji mmoja akamuomba yule mama, "naweza kula ndizi moja?", Huyu mama akamjibu ndio.

Anasema walikaa hapo kwa masaa mawili na baadae wakaondoka na wakafunga mlango.

NB: Sizungumzii udini, na nimeandika taarifa kama huyo mama alivyosema.

Hawa Hamas ukisikiliza shuhuda za walio wengi, medias kuna vitu hawasemi lakini kiukweli sidhani kama hawa jamaa wana ugaidi kama inavyodaiwa, na hata kama wanafanya matukio hayo ni kwa sababu kuna jambo ambalo wanafanyiwa na wao wanalipiza.

Lakini pia ni nguvu ya media tu waliyonayo West, lakini gaidi wa kwanza duniani ni US mwenyewe, i can say that.


Tazama hii video.

View: https://www.youtube.com/watch?v=rD7NI0tGbp8
 
Hio picha ya huyo mzee na huyo mke wake, mbona chini imeandikwa photo is AI generated? unaelewa maana yake?
 
Uislam bwana basi tu chuki za watu.ila ni dini moja safi sana mafundisho yake.
 
Jumatatu usiku, tawi la kijeshi la Hamas la Brigedi za Al Qassam lilitangaza kuwa limewaachilia huru mateka wawili wa Israel - Yocheved Lifshitz na Nurit Cooper mwenye umri wa 79 - kwa "sababu za ubinadamu."
Pumbavu kabisa, wakati wanawateka hawakuziona hizo sababu za kibinadamu?
 
Waendelee kuzichapa mpaka kieleweke mshindi achukue ardhi yote hzi propaganda hazina tija kwetu na kwao
 

kwahiyo watu wa taifa teule wamemaindi kusikia bibi katendewa wema?

Waafrika tulidanganywa vingi sana eti taifa teule[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kingongwe cha 89 kipigwe halafu hata mchubuko hana? Aongee kwa furaha? Bibi yako wa miaka 70 tu akiona simba huko kwenu huzimia
 
hiyo inafutaj mauaji yao waliyoyafanya ? unahisi wmagemtesaj kwa kipigo hiki , hao mateka ndo walikuwa hauweni yao lzm wawakirimu , wangekuwa wema wasingeua watu kule disco vumbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…