Ghayo TheMongo Barbarian
JF-Expert Member
- Oct 27, 2024
- 248
- 501
Ni upendo huo usilipize baya kwa baya
Ni upendo tu huo mgerasi
hili nalo litapitaMzuka wana jamvi...
Leo katika tukio la kuachiwa mateka huko Gaza , mmoja kati ya waliachwa katika hali ya furaha iliyopitiliza alimsogelea Mpiganaji wa Hamas na kumbusu katika paji lake la uso kwa furaha na bahasha kubwa.View attachment 3245356
Niliona hili tukio nikashtuka sana, nikadhani pengine nimeona vibaya hadi niliporudia tena.Mzuka wana jamvi...
Leo katika tukio la kuachiwa mateka huko Gaza , mmoja kati ya waliachwa katika hali ya furaha iliyopitiliza alimsogelea Mpiganaji wa Hamas na kumbusu katika paji lake la uso kwa furaha na bahasha kubwa.View attachment 3245356
We acha tuu ndugu yangu, inasikitisha sana
Walokole wa jf wanalia huko
Israeli hostage kisses his Hamas captive on the head Israeli hostage kisses his Hamas captive on the headNi upendo huo usilipize baya kwa baya