Ghayo TheMongo Barbarian
JF-Expert Member
- Oct 27, 2024
- 248
- 501
- Thread starter
- #61
Hii haiwezi kuwa ushahidi mpaka tusikie maneno kabisa , hata ikiwa hivyo angekataa pale kungetoke Nini wakati tukio liko live ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hili hulikubali hata huo ushahidi unaoutaka ukiletwa utakuja na jambo lingine sababu umeshachagua upande.Hii haiwezi kuwa ushahidi mpaka tusikie maneno kabisa , hata ikiwa hivyo angekataa pale kungetoke Nini wakati tukio liko live ?
Mzuka wana jamvi...
Leo katika tukio la kuachiwa mateka huko Gaza , mmoja kati ya waliachwa katika hali ya furaha iliyopitiliza alimsogelea Mpiganaji wa Hamas na kumbusu katika paji lake la uso kwa furaha na bahasha kubwa.View attachment 3245356
Inabidi akubaliane na maelekezo anayopewa na watesi wake ambao wamemshikia Silaha za moto. Hana jinsi yeye ni mateka hana maamuzi hapo anatekeleza tu maagizo alivyoelekezwa kabla ya kuletwa hapo uwanja . Ni wajinga na wapumbavu tu kama wewe wataamini hizi Propaganda Uchwara za wazi kabisa hata mtoto mdogo Ana elewa kuwa hii nikanyaboya lakini mijitu mingine mikubwa lakini haitaelewa kitu!!Mzuka wana jamvi...
Leo katika tukio la kuachiwa mateka huko Gaza , mmoja kati ya waliachwa katika hali ya furaha iliyopitiliza alimsogelea Mpiganaji wa Hamas na kumbusu katika paji lake la uso kwa furaha na bahasha kubwa.View attachment 3245356
Siku myahudi akipokea mareka wake wote kelele za pray for Palestine zitakuwa nyingi mnoMzuka wana jamvi...
Leo katika tukio la kuachiwa mateka huko Gaza , mmoja kati ya waliachwa katika hali ya furaha iliyopitiliza alimsogelea Mpiganaji wa Hamas na kumbusu katika paji lake la uso kwa furaha na bahasha kubwa.View attachment 3245356
Mashoga hawa hapa tena wana vyeo misikitini.Sijawahi kuwategemea hao Ashkenazi, hao wanawafanganya mazuzumagic.
Hao ni mashoga waliokubuhu
Unataka kutiaminisha kuwa waislam wanaweza kuwavamia watu wakaua ndugu na marafiki zao,wakawaficha kwenye maandaki kinyume na walivyozoea kuishi,lakini baada ya kuwateka kwa zaidi ya mwaka mateka wanabadilika kuusifia uislam na magaidi ya kiislam?Huamini eeh!!
Huna unalllijua endelea kushinda masjidAkili huna , wakati tukio Lina ruka live wewe wa Kibaigwa ndio uone hivyo vitisho washindwe kuona Sky news ?
ACHANA naye huyo kobaz atakuumiza kichwa bure skull lake liko empty hakuna ubongo ndaniKama hili hulikubali hata huo ushahidi unaoutaka ukiletwa utakuja na jambo lingine sababu umeshachagua upande.
Ngoja mimi nimfę ushahidi tuone kama ataukubali lakini Nina uhakika Wafuga Midevu na Majini hawawezi kuukubali pamoja na kwamba nimeonyesha na Mishale kuashiriaKama hili hulikubali hata huo ushahidi unaoutaka ukiletwa utakuja na jambo lingine sababu umeshachagua upande.
Hapo wanasifia uislam!?..uko obsessed na uislam kila kitu unaona uislam tu!!..huo ni ugomvi wa ardhi...utaliwa kama pilau kenge wewe,mtu. Mwenyewe mzinzi,mlevi,muongo..lakini unajifanya mkiristo siasa kaliUnataka kutiaminisha kuwa waislam wanaweza kuwavamia watu wakaua ndugu na marafiki zao,wakawaficha kwenye maandaki kinyume na walivyozoea kuishi,lakini baada ya kuwateka kwa zaidi ya mwaka mateka wanabadilika kuusifia uislam na magaidi ya kiislam?
Jaribuni kitu kingine ila I assure you kwamba handing over ikiisha Hamas hawatakuwepi kbs
Umepiga kwenye mshonoNgoja mimi nimfę ushahidi tuone kama ataukubali lakini Nina uhakika Wafuga Midevu na Majini hawawezi kuukubali pamoja na kwamba nimeonyesha na Mishale kuashiria
Kwa sasa hawa waandamanaji washajulikana ni wapuuzi maana wakiulizwa maswali huwa hawana majibu ya akili zaidi ya uendawazimu..Siku myahudi akipokea mareka wake wote kelele za pray for Palestine zitakuwa nyingi mno
Tatizo la kisaikolojiaCc : Eli Cohen wajina wako Eliyahu Cohen (Elinyahu) ndio alioachiwa pichani hapo akimbusu Mpiganaji wa Hamas
Niliona hili tukio nikashtuka sana, nikadhani pengine nimeona vibaya hadi niliporudia tena.
Hii inaonesha jinsi gani Hamas wana utu, ningependa kusikia zaidi kutoka kwa hao mateka wanaoachiwa na Hamas maisha yao yalikuwaje huko mafichoni?
Ila ndio Netanyahu hatokaa aruhusu waongee.

Ni vigumu sana kuamini kuwa hao Hamas eti waliwanyonga watoto wa Bibas!Haiingii akilini hata kidogo,Netanyahu ameudanganya Umma ili kufanikisha malengo yake ambapo ameonekana kufeli vibaya maana hakuna alichofanikisha Gaza kwa military operation!Niliona hili tukio nikashtuka sana, nikadhani pengine nimeona vibaya hadi niliporudia tena.
Hii inaonesha jinsi gani Hamas wana utu, ningependa kusikia zaidi kutoka kwa hao mateka wanaoachiwa na Hamas maisha yao yalikuwaje huko mafichoni?
Ila ndio Netanyahu hatokaa aruhusu waongee.