Mateka wa Israel akimbusu kwa upendo Mpiganaji wa Hamas stejini wakati wa kuachiwa

Hao wayahudi,dini yao,uyahudi siyo race,so kila myahudi popote alipo anaona 'israel' ni kwao
 
Huamini eeh!!
Stockholm syndrome is a psychological condition that describes when hostages or captives develop positive feelings for their captors. It's characterized by a complex emotional bond that can lead to the captive defending or identifying with their captor. The term originated in 1973 after a Stockholm bank robbery where a hostage formed an emotional bond with her captor.
 
Yule masikio upawa kimbelembele kuongea kwenye media simpendi kinyama nae sijui Taifa gani .
Hata sijui unae muongelea, uwa sifuatilii hizi taarifa za M.E sana, binafsi zinanikera. Siafiki Hamas walichofanya hadi vita kuanza na siafiki majibu ya Israel kabisa.

Nachoelewa ni ideology tu ya mgogoro; kwa sisi waafrica busara ni kwenda majumba yetu ya ibada uwe mkristo au musiłam.

Lakini siasa za hizo eneo matter fact Jews waarabu ndio wanaoongoza kwa ukatili pamoja na zionists.
 
Niliona hili tukio nikashtuka sana, nikadhani pengine nimeona vibaya hadi niliporudia tena.

Hii inaonesha jinsi gani Hamas wana utu,
Ndio misiikitini mnaaminishwa hivyo enh.. yaani comments hadi nimepatwa stock..its true Mtume wenu alisema Wanawake wa kiislam wana half brain..

Muslim wanapenda sana maigizo ya uongo Ndio amri ya Allah Taqiyya.. but sometimes its too much kwa public.. no matter what njoo wewe nifa nikufungie kwangu miaka kadhaa bila idhini yako kisha nikuachie baada ya wazazi wako kulipa gharama kubwa mno.. then nikuachie huru eti anakuja mtu anasema aliyemteka ni mtu mwema.. kwa upande wako utamfanyaje huyo mtoa maoni?



Ila ndio Netanyahu hatokaa aruhusu waongee.
Alafu mateka wa kiislam kuachiwa bila sherehe.. ujue uislam ni uiblis
 
Netanyahu asingewakataza mateka walioachiwa kuongea/ku-share chochote, walikua well treated
 
Kamanda katulia tu anapigwa busu?, huku kwetu ingekuwa ni vichwa, vipepsi na ngwara unampigaje busu ngosha
 
Kwa mujibu wa kitengo cha habari cha shirika la kijajusi MOSSAD wanasema Omar Shem Tov alisema alishurutishwa na Hamas kufanya hivyo kama sehemu ya propaganda.
View picha 👇
Propaganda , kwa wataalamu hata body language inakataa hayo madai mfano .

Hata mtaani kwetu Kuna mwamba enzi za baleghe alimla Demu wake kwao akafumaniwa na ndugu wa Demu jamaa akakurupuka na kukimbia , baadae propaganda kwa wazazi na yule Demu ikatangazwa jamaa alikuwa anambaka yaani alimfosi Demu ,kumbe wajuba tunajua toka kitambo ni wapenzi na wanakutana sana.

Ila public ilitangazwa hivyo kuficha aibu na Demu pia alifosiiwa aseme hivyo
 
Muhusika ndio kasema aliambiwa afanye hivyo. Fuatilia handle kwenye hiyo attachment acha mahaba.
 
Propaganda hizo hao mateka washatishiwa vya kutosha hapo stejini wameshapewa vitisho " ule wako ukaidi tunakurudisha mtaroni ( tunnels) "
 
Propaganda hizo hao mateka washatishiwa vya kutosha hapo stejini wameshapewa vitisho " ule wako ukaidi tunakurudisha mtaroni ( tunnels) "
 
Propaganda hizo hao mateka washatishiwa vya kutosha hapo stejini wameshapewa vitisho " ule wako ukaidi tunakurudisha mtaroni ( tunnels) "
Akili huna , wakati tukio Lina ruka live wewe wa Kibaigwa ndio uone hivyo vitisho washindwe kuona Sky news ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…