Mateka Waliotekwa na HAMAS waanza kuokolewa rasmi

Mateka Waliotekwa na HAMAS waanza kuokolewa rasmi

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Nguvu ya muisreli inaanza kuwafikia magaidi.

Sasa wamekosa pa kukimbilia, Mateka wanaokolewa mmoja baada ya Mwingine kama ilivyo ahidiwa na Serikali ya Netanyahu.

Noa Argamani, ambaye utekaji nyara wake na Hamas mnamo Oct7 ulitisha ulimwengu, ameokolewa na IDF, pamoja na mateka wengine 3. Wote walisema wako katika afya njema. Mamake Noa ana saratani ya ubongo isiyoisha, na alitaka kuishi muda wa kutosha kuona msichana wake akirudi nyumbani.

20240608_141402.jpg

Good News from GAZA.
 
Goddammit! Who fukin cares? Unafikiri hayo mazungu ya kiyahudi yanajali kama Somalia au msumbiji kama watu wanakufa kila siku? Au unafikiri yatajali kama wewe ukitekwa? No they don't and won't give a shit about you?

Acha kulamba miguu ya watu wasiokutambua wala kukujali. Pathetic.
 
Goddammit! Who fukin cares? Unafikiri hayo mazungu ya kiyahudi yanajali kama Somalia au msumbiji kama watu wanakufa kila siku? Au unafikiri yatajali kama wewe ukitekwa? No they don't and won't give a shit about you?

Acha kulamba miguu ya watu wasiokutambua wala kukujali. Pathetic.

Avatar yako ya mzungu hehehe yaani miafrika, na bado mtakoma tu.
 
Goddammit! Who fukin cares? Unafikiri hayo mazungu ya kiyahudi yanajali kama Somalia au msumbiji kama watu wanakufa kila siku? Au unafikiri yatajali kama wewe ukitekwa? No they don't and won't give a shit about you?

Acha kulamba miguu ya watu wasiokutambua wala kukujali. Pathetic.
Yesu ni BWANA.
 
Mateka 4 waliotekwa na Hamas mwaka jana wameokolewa Leo na Jeshi la Israel

Source BBC
Hahaha wacha awaonyeshe kawaokolea wapi. hizo ni propoganda za Israel anatafuta ushindi wa uwongo.

Anashindwa nini kuchukua video kuwaonyesha namna alivyo waokoa.

Afu Hamasi wakiongea mie ndio takubali kama ni kweli wamewaokoa lakini jeshi la pampers nani analiamini?

Labda watu wamesahau ile Bollywood move ya Al Shifaa Hospital 😄
 
Hahaha wacha awaonyeshe kawaokolea wapi. hizo ni propoganda za Israel anatafuta ushindi wa uwongo.

Anashindwa nini kuchukua video kuwaonyesha namna alivyo waokoa.

Afu Hamasi akiongea ma kukubali kweli wamewaokoa mimi ndio tamini lakini jeshi la pampers nani analiamini?

Labda watu wamesahau ile Bollywood move ya Al Shifaa Hospital [emoji1]
Ingia kwenye tweeter ya idf utaona hiyo operation Daniel Hagari msemaji wa idf kaelezea vizuri maana waislamu kwa ubishi mko vizuri
 
Hahaha wacha awaonyeshe kawaokolea wapi. hizo ni propoganda za Israel anatafuta ushindi wa uwongo.

Anashindwa nini kuchukua video kuwaonyesha namna alivyo waokoa.

Afu Hamasi wakiongea mie ndio takubali kama ni kweli wamewaokoa lakini jeshi la pampers nani analiamini?

Labda watu wamesahau ile Bollywood move ya Al Shifaa Hospital 😄
Kwa hiyo habari inayotumwa kuhusu israel imelenga wewe kuiapprove kwanza?
 
Ingia kwenye tweeter ya idf utaona hiyo operation maana waislamu kwa ubishi mko vizuri
Kweli lakini Hamasi bado hawaja confirm, nimeona news lakini katika 120 ndio kabahatika kukomboa jumla 7 na leo wanne afu Hamasi bado hawajatupa sababu vipi walivyo kombolewa tutapa jibu badaye.

Yani kasaidiwa kumbe na vibaraka pamoja na uingereza hivi hivi asinge waokoa
 
Back
Top Bottom