Mateka Waliotekwa na HAMAS waanza kuokolewa rasmi

Mateka Waliotekwa na HAMAS waanza kuokolewa rasmi

Hapo Yesu hahusiki achana na ujinga wa kidini, hizo ni jitihada za waisraeli ndugu. Dini uendawazimu.
HUONI amepost picha ya watu wanne kati ya hao wanne yesu ni wa Pili kulia JUU, angalia vizuri uone
20240608_141907.jpg
 
Israel kaokoa matekwa wake 4, labda ni mtego wa Hamasi ili Israel akatae kusimamisha vita sababu Hamasi anataka kuwamaliza jeshi la Pampers.

Afu inawezekana pia si kweli hizo ni propoganda za Israel.

Mimi mpaa Hamasi wakiri ni kweli ndio takubaliana ni hi news.

Afu we mtoa mada Yesu yuko mbali na hilo taifa wacha ujinga wako kumzulia Yesu uwongo.

Yesu ni kipenzi cha Waislam kama vile Mtume Muhammad.

Yesu yuko mbali na Ukristo na Uyahudi wacheni kumzulia uwongo bila dalili.
 
.
Afu we mtoa mada Yesu yuko mnali na hilo taifa wacha ujinga wako kumzulia Yesu uwongo.

Yesu ni kipenzi cha Waislam kama vile Mtume Muhammad.

Yesu yuko mbali na Ukristo na Uyahudi wacheni kumzulia uwongo bila dalili.
Wenzako waliliwa na DUBU shauriyako
 
Wazima hao tena hawakuteswa miezi nane , sasa nyie taifa Mungu mnasulubu kama yesu
 
Wazima hao tena hawakuteswa miezi nane , sasa nyie taifa Mungu mnasulubu kama yesu
Mkuu caliph kwenye hii video Noa alipotekwa kuna mmatumbi mpalestina amevaa kofia ya nike kiherehere anamkamata boyfriend wa Noa nadhani walishamuua. Wanasema kwa kiarabu alkazeze alkazeze please nitafsirie wanamaanisha nini? Ila mijitu mieusii kwa kujipendekeza.
adriz incharge Adiosamigo Jagina mjingamimi green rajab
 
Back
Top Bottom