Mateka Waliotekwa na HAMAS waanza kuokolewa rasmi

Mateka Waliotekwa na HAMAS waanza kuokolewa rasmi

Haya wale mashabiki wa magaidi mliosema oooh israel haina lolote ni propaganda hata ile operation ya entebe sasa imeokoa mateka 4 wakiwa hai
Baada ya miezi nane,jeshi Bora na idara Bora kuliko zote za ujasusi
 
Nguvu ya muisreli inaanza kuwafikia magaidi.

Sasa wamekosa pa kukimbilia, Mateka wanaokolewa mmoja baada ya Mwingine kama ilivyo ahidiwa na Serikali ya Netanyahu.

Noa Argamani, ambaye utekaji nyara wake na Hamas mnamo Oct7 ulitisha ulimwengu, ameokolewa na IDF, pamoja na mateka wengine 3. Wote walisema wako katika afya njema. Mamake Noa ana saratani ya ubongo isiyoisha, na alitaka kuishi muda wa kutosha kuona msichana wake akirudi nyumbani.

View attachment 3011849

Good News from GAZA.
Yaani hyo taarifa umekaa chumbani ushapga nyet.. ukaamua kujitungia uzi utujazie seva yaani hakuna chombo chochote duniani kilichoandika hyo taarifa umeamua tu kuwafariji walokole wenzako baada ya kuona north hezbollah wanawatoa💩💩 ukaona mjipoze machungu na uongo
 
Mchizi huyu walimuua Ila Noa itakua kachezea sana rungu chezea sana atasimulia Mimba ina Miezi mingapi
Mkuu sidhani. Kati ya vitu nawasifia magaidi ya Hamas ikifika swala ya ufuksa hawana hilo majamaa hawajawabaka hata kuwanyanyasa kijinsia mateka wateule wayahudi. Hata mateka wa kike wamesema.

Ingekuwa boko haram alshabab ama yale ya msumbiji yangewatembezea miti balaa na kuwaoa.

Nadhani Hamas ni kuogopa utukufu na uteule wao.
 
Israel kaokoa matekwa wake 4, labda ni mtego wa Hamasi ili Israel akatae kusimamisha vita sababu Hamasi anataka kuwamaliza jeshi la Pampers.

Afu inawezekana pia si kweli hizo ni propoganda za Israel.

Mimi mpaa Hamasi wakiri ni kweli ndio takubaliana ni hi news.

Afu we mtoa mada Yesu yuko mbali na hilo taifa wacha ujinga wako kumzulia Yesu uwongo.

Yesu ni kipenzi cha Waislam kama vile Mtume Muhammad.

Yesu yuko mbali na Ukristo na Uyahudi wacheni kumzulia uwongo bila dalili.

Mimi nilijua mlishawatafuna, yaani waislamu bana, kwenu mumekufa karibu 40,000 na mlikua mnaishi na mateka ndani muda wote huu.
 
Goddammit! Who fukin cares? Unafikiri hayo mazungu ya kiyahudi yanajali kama Somalia au msumbiji kama watu wanakufa kila siku? Au unafikiri yatajali kama wewe ukitekwa? No they don't and won't give a shit about you?

Acha kulamba miguu ya watu wasiokutambua wala kukujali. Pathetic.
Hao wa Somalia na Msumbiji ni zamu yako ukawaokoe na umalize mauaji.It's your turn,buddy!
 
Mkuu sidhani. Kati ya vitu nawasifia magaidi ya Hamas ikifika swala ya ufuksa hawana hilo majamaa hawajawabaka hata kuwanyanyasa kijinsia mateka wateule wayahudi. Hata mateka wa kike wamesema.

Ingekuwa boko haram alshabab ama yale ya msumbiji yangewatembezea miti balaa na kuwaoa.

Nadhani Hamas ni kuogopa utukufu na uteule wao.
Hakuna mkate mgumu mbele ya Chai
 
Nguvu ya muisreli inaanza kuwafikia magaidi.

Sasa wamekosa pa kukimbilia, Mateka wanaokolewa mmoja baada ya Mwingine kama ilivyo ahidiwa na Serikali ya Netanyahu.

Noa Argamani, ambaye utekaji nyara wake na Hamas mnamo Oct7 ulitisha ulimwengu, ameokolewa na IDF, pamoja na mateka wengine 3. Wote walisema wako katika afya njema. Mamake Noa ana saratani ya ubongo isiyoisha, na alitaka kuishi muda wa kutosha kuona msichana wake akirudi nyumbani.

View attachment 3011849

Good News from GAZA.
Hii ilitakiwa iwe breaking news kabisa
 
Nyuzi za kuokolewa mateka zipo nne,haziungwi Wala kufutwa,zinakidhi matakwa/agenda za jf
 
Back
Top Bottom