Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Wewe The Stress Challengerr Cheka Pole Pole angalia usichafue hali ya hewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BWANA YAKOYesu ni BWANA.
Baada ya miezi nane,jeshi Bora na idara Bora kuliko zote za ujasusiHaya wale mashabiki wa magaidi mliosema oooh israel haina lolote ni propaganda hata ile operation ya entebe sasa imeokoa mateka 4 wakiwa hai
Yaani hyo taarifa umekaa chumbani ushapga nyet.. ukaamua kujitungia uzi utujazie seva yaani hakuna chombo chochote duniani kilichoandika hyo taarifa umeamua tu kuwafariji walokole wenzako baada ya kuona north hezbollah wanawatoa💩💩 ukaona mjipoze machungu na uongoNguvu ya muisreli inaanza kuwafikia magaidi.
Sasa wamekosa pa kukimbilia, Mateka wanaokolewa mmoja baada ya Mwingine kama ilivyo ahidiwa na Serikali ya Netanyahu.
Noa Argamani, ambaye utekaji nyara wake na Hamas mnamo Oct7 ulitisha ulimwengu, ameokolewa na IDF, pamoja na mateka wengine 3. Wote walisema wako katika afya njema. Mamake Noa ana saratani ya ubongo isiyoisha, na alitaka kuishi muda wa kutosha kuona msichana wake akirudi nyumbani.
View attachment 3011849
Good News from GAZA.
Mchizi huyu walimuua Ila Noa itakua kachezea sana rungu chezea sana atasimulia Mimba ina Miezi mingapiMkuu caliph kwenye hii video Noa alipotekwa kuna mmatumbi kiherehere anamkamata boyfriend wa Noa nadhani walishamuua. Wanasema kwa kiarabu alkazeze alkazeze please nitafsirie wanamaanisha nini? Ila mijitu mieusii kwa kujipendekeza.
adriz incharge Adiosamigo Jagina mjingamimi green rajab
View attachment 3011893
Katika zoezi la uokoaji wamekufa magaidi 80 na raia kadhaaWameokolewa au wameachiwa wakawakuta wamezubaazubaa?
Mateka wapo wangapi? Yule Joshua Mollel yuko wapi? 😀 😀 😀Mkuu caliph kwenye hii video Noa alipotekwa kuna mmatumbi mpalestina amevaa kofia ya nike kiherehere anamkamata boyfriend wa Noa nadhani walishamuua. Wanasema kwa kiarabu alkazeze alkazeze please nitafsirie wanamaanisha nini? Ila mijitu mieusii kwa kujipendekeza.
adriz incharge Adiosamigo Jagina mjingamimi green rajab
View attachment 3011893
Mkuu sidhani. Kati ya vitu nawasifia magaidi ya Hamas ikifika swala ya ufuksa hawana hilo majamaa hawajawabaka hata kuwanyanyasa kijinsia mateka wateule wayahudi. Hata mateka wa kike wamesema.Mchizi huyu walimuua Ila Noa itakua kachezea sana rungu chezea sana atasimulia Mimba ina Miezi mingapi
Israel kaokoa matekwa wake 4, labda ni mtego wa Hamasi ili Israel akatae kusimamisha vita sababu Hamasi anataka kuwamaliza jeshi la Pampers.
Afu inawezekana pia si kweli hizo ni propoganda za Israel.
Mimi mpaa Hamasi wakiri ni kweli ndio takubaliana ni hi news.
Afu we mtoa mada Yesu yuko mbali na hilo taifa wacha ujinga wako kumzulia Yesu uwongo.
Yesu ni kipenzi cha Waislam kama vile Mtume Muhammad.
Yesu yuko mbali na Ukristo na Uyahudi wacheni kumzulia uwongo bila dalili.
Hao wa Somalia na Msumbiji ni zamu yako ukawaokoe na umalize mauaji.It's your turn,buddy!Goddammit! Who fukin cares? Unafikiri hayo mazungu ya kiyahudi yanajali kama Somalia au msumbiji kama watu wanakufa kila siku? Au unafikiri yatajali kama wewe ukitekwa? No they don't and won't give a shit about you?
Acha kulamba miguu ya watu wasiokutambua wala kukujali. Pathetic.
Hebu niache usinitie dhambini bure😀Demi sema ukweli umemzimia Jesus,
Hakuna mkate mgumu mbele ya ChaiMkuu sidhani. Kati ya vitu nawasifia magaidi ya Hamas ikifika swala ya ufuksa hawana hilo majamaa hawajawabaka hata kuwanyanyasa kijinsia mateka wateule wayahudi. Hata mateka wa kike wamesema.
Ingekuwa boko haram alshabab ama yale ya msumbiji yangewatembezea miti balaa na kuwaoa.
Nadhani Hamas ni kuogopa utukufu na uteule wao.
Demi sema ukweli umem-love JesusHebu niache usinitie dhambini bure😀
Hii ilitakiwa iwe breaking news kabisaNguvu ya muisreli inaanza kuwafikia magaidi.
Sasa wamekosa pa kukimbilia, Mateka wanaokolewa mmoja baada ya Mwingine kama ilivyo ahidiwa na Serikali ya Netanyahu.
Noa Argamani, ambaye utekaji nyara wake na Hamas mnamo Oct7 ulitisha ulimwengu, ameokolewa na IDF, pamoja na mateka wengine 3. Wote walisema wako katika afya njema. Mamake Noa ana saratani ya ubongo isiyoisha, na alitaka kuishi muda wa kutosha kuona msichana wake akirudi nyumbani.
View attachment 3011849
Good News from GAZA.
Wamezidiwa katika mapigano wakaona wakimbie.Wameokolewa au wameachiwa wakawakuta wamezubaazubaa?
Raia 80-100,mateka wanne hawawezi lindwa na Hamas 80Katika zoezi la uokoaji wamekufa magaidi 80 na raia kadhaa