Mateka Waliotekwa na HAMAS waanza kuokolewa rasmi

Mateka Waliotekwa na HAMAS waanza kuokolewa rasmi

Kweli lakini Hamasi bado hawaja confirm, nimeona news lakini katika 120 ndio kabahatika kukomboa jumla 7 na leo wanne afu Hamasi bado hawajatupa sababu vipi walivyo kombolewa tutapa jibu badaye.

Yani kasaidiwa kumbe na vibaraka pamoja na uingereza hivi hivi asinge waokoa
Unawezaje kumtenga mhayudi na wazungu?Bila myahudi dunia kusingekuwa mahali pazuri kuanzia kwenye uzalishaji,matibabu,uchumi na teknolojia.Wazungu wanamhitaji myahudi kuliko myahudi anavyowahitaji wao!
 
BBC wanasema wameonekana wakiwa na afya njema, hata mchubuko hawana. wamekaa nusu mwaka. huo ndio uislam na waislam wanavyowafanyia wasiokuwa waislam. wakiristo wakiwateka waislam basi hapo wakitoka masikio hawana au macho
Uislam ni kuwaulia ndugu zao na kuwafanya mateka ili uje ujibrand kwamba unajua kuwahudumia mateka?
Nikisema huna akili nitakuwa nakosea?
Kwa tulivyoona kwenye huu mgogoro wala hatuhitaji propaganda zako ni kwamba uislam ni dini isiyojali maisha ya watu zaidi ya 37,000 na wengine wanaoendelea kuuliwa.Tungeuona uislam wa maana kama wangeliwaachia mateka mapema na kuzuia mauaji ya maelfu ya watu.
 
Hao jamaa leo wameua watu kibao , ndio maan wanajifanya wameokoa ili kujipa justification ya mauaji yao ...Shemu mpige mabomu halafu mateka watokea wasafi 😀 😀 .

Wanatumia BBC yao kusambaza ujinga eti wameenda kuokoa wakati sehmu walizofika leo ni damu tu kwa mabomu halafu mateka wawe wazima kweli?
Afu America kakiri kuwasaidia Israel kwenye hio Operation, afu ndio eti anadai Hamasi akubali Biden Peace Plan 😄
 
Unawezaje kumtenga mhayudi na wazungu?Bila myahudi dunia kusingekuwa mahali pazuri kuanzia kwenye uzalishaji,matibabu,uchumi na teknolojia.Wazungu wanamhitaji myahudi kuliko myahudi anavyowahitaji wao!
We nenda zako huko Israel bila Anerica na Europe angeisha kufa zamani.
 
Nguvu ya muisreli inaanza kuwafikia magaidi.

Sasa wamekosa pa kukimbilia, Mateka wanaokolewa mmoja baada ya Mwingine kama ilivyo ahidiwa na Serikali ya Netanyahu.

Noa Argamani, ambaye utekaji nyara wake na Hamas mnamo Oct7 ulitisha ulimwengu, ameokolewa na IDF, pamoja na mateka wengine 3. Wote walisema wako katika afya njema. Mamake Noa ana saratani ya ubongo isiyoisha, na alitaka kuishi muda wa kutosha kuona msichana wake akirudi nyumbani.

View attachment 3011849

Good News from GAZA.
Usimtaje yesu ukiwaongelea hao mashetani Israel
 
Hao jamaa leo wameua watu kibao , ndio maan wanajifanya wameokoa ili kujipa justification ya mauaji yao ...Shemu mpige mabomu halafu mateka watokea wasafi 😀 😀 .

Wanatumia BBC yao kusambaza ujinga eti wameenda kuokoa wakati sehmu walizofika leo ni damu tu kwa mabomu halafu mateka wawe wazima kweli?
Hamas ni wapumbavu,badala waachie mateka mambo yaishe, wanawatoa sadaka wapalestina wasio na hatia
 
Goddammit! Who fukin cares? Unafikiri hayo mazungu ya kiyahudi yanajali kama Somalia au msumbiji kama watu wanakufa kila siku? Au unafikiri yatajali kama wewe ukitekwa? No they don't and won't give a shit about you?

Acha kulamba miguu ya watu wasiokutambua wala kukujali. Pathetic.
Maalim mbona povu la kleesoft lime kutoka hiviii
 
Hamas ni wapumbavu,badala waachie mateka mambo yaishe, wanawatoa sadaka wapalestina wasio na hatia
Kuna mwaka Messi aliktaa kucheza na timu ya Israel , hao wanaua watoto kila siku wala hamna uhusiano na Hmas....Hamas watoto wa juzi wameukuta mgogoro
 
Hao jamaa leo wameua watu kibao , ndio maan wanajifanya wameokoa ili kujipa justification ya mauaji yao ...Sehemu mpige mabomu halafu mateka watokea wasafi 😀 😀 .

Wanatumia BBC yao kusambaza ujinga eti wameenda kuokoa wakati sehmu walizofika leo ni damu tu kwa mabomu halafu mateka wawe wazima kweli?
Hiyo ndio maana halisi ya iDF being the BEST army in the world.
 
Back
Top Bottom