Mateka watatu wa Israel wakutwa wamekufa aibu kwa mashabiki wa Hamas na Ugaidi kwa Ujumla kazi inaendelea

Mateka watatu wa Israel wakutwa wamekufa aibu kwa mashabiki wa Hamas na Ugaidi kwa Ujumla kazi inaendelea

Aljazeera wanapendelea upande mmoja, watimuliwe israel wakajifunze kuripoti bila kupendelea upande mmoja
 
Enh uislam unadanvanya hadi TV.. kwahiyo Ndugu zetu watanzania kina Mollel Maiti zao Hamas waliziacha kule KIBBUTZ, tambua Tanzania bado tunasubiria Mwili wa Mtanzania mwenzetu urejeshwe.. so bila Sinwar kudedishwa tutasubiria sana..

Yaani unakuja jf unaongea huku umebana pia eti Hamas hawana muda wa kubeba Miili ya watu iliyoeaua..

Wafanyakazi tu wa Unrwa video ipo wakipakia maiti kwenye magari ya UN back to gaza..

Uongo bakini nao na aljazeera na Misikitini
Wewe jamaa jinga sana. Israel wameambiwa wapeleke ushaidi UN wa kuthibitisha madai yao ya wafanyakazi wa UNRWA kushiriki ktk operation ya 7 October. Israel imeshindwa kupeleka ushaidi na hawana huo ushaidi. Wewe umelishwa maujinga na upumbavu
 
Ndugu gani?
Au umaanisha ndugu katika uisilam
Sasa kwa mfano kama IDF wanapiga makombora walipo Hamas, hayawezi kuwaua hata mateka?
Mimi siyo Muislam! Siungi mkono vita kwa sababu vita haileti muafaka bali maafa!
 
Hivi mwanaume rijali unaanzaje kuua mabinti warembo kama hao?
 
Wewe jamaa jinga sana. Israel wameambiwa wapeleke ushaidi UN wa kuthibitisha madai yao ya wafanyakazi wa UNRWA kushiriki ktk operation ya 7 October. Israel imeshindwa kupeleka ushaidi na hawana huo ushaidi. Wewe umelishwa maujinga na upumbavu
Israel hana ujinga wa ushahidi kupeleka sijui wapi.. maana kila taasisi inawapenda Hamas japo magaidi.. so Israel anachofanya anakuonesheni video kisha anaweka target ya hukumu kifo kama hutojisalimisha. Ndio maana awe muandishi sijui dr.UN N.k ukiikosea Israel umesign kifo chako.... no muda wa kesi as long ulidhamiria kuiangamiza Israel kwa namna moja au nyingine.... Hamas must die..
 
Jeshi la IDF linaendelea na Kazi ya kutafuta Mateka kila kona ya mji wa Rafah.. mwendo ni kata funua hadi kieleweke.

Masikitiko sana kupata Mateka wakiwa hai.. South Africa na Uturuki wanaona aibu tu na watakuja kujutia upumbavu wao. Aljazeera wagoma kuandika Habari. hahaha

Msemaji wa IDF amesema no stone katika Gaza litakalobaki bila kufumuliwa.. Worning kwa Wajinga wanaounga mkono Hamas Magaidi maandazi

IDF Confirms: Bodies of three hostages recovered from Gaza​

IDF Spokesman Rear Admiral Daniel Hagari confirmed in a statement on Friday that IDF forces recovered the bodies of three hostages from the Gaza Strip.​


View attachment 2992756


Aljazeera wao news zao za kipumbavu eti

‘Shame on the world’: Israel tanks, jets ‘wipe out everything’ in Jabalia


Updated: Mwili mwingine miongoni mwa Miili mitatu umetambuliwa na familia ya wafiwa imetaarifiwa, Mwanaume mwenye umri wa Miaka 53

IDF announces recovery of body of Ron Benjamin from Gaza, says he was killed on Oct. 7​

53-year-old father of two was slain by Hamas near Mefalsim; the body was returned to Israel Thursday along with three others previously announced​

View attachment 2993444
The Israel Defense Forces announced on Saturday evening that soldiers had recovered the body of an additional hostage from the Gaza Strip, after the announcement the previous day that three slain captives had been returned in a special mission.

The hostage was named as Ron Benjamin, 53, who was abducted by Hamas terrorists on the morning of October 7 while returning home from a planned bike ride near the Gaza border, which he canceled when rocket sirens sounded at 6:30 a.m. as Hamas’s attack began.

It is now known that Benjamin was killed near Kibbutz Mefalsim on the day of the attack, and his body was taken to Gaza, IDF Spokesman Rear Adm. Daniel Hagari said in a statement to the press.

His body was recovered during an overnight operation on Thursday, along with the bodies of Itzhak Gelerenter, Amit Buskila, and Shani Louk. All four were recovered in northern Gaza, according to the IDF.

The efforts to recover their bodies had “been ongoing for a long time,” Hagari said on Friday, and some of the intelligence for the operation came from Palestinian terror suspects captured by the IDF and interrogated by the Shin Bet.
he military had not initially planned to announce the recovery of three hostages on Friday, as it had preferred to wait until the operation concluded. However, due to a flurry of rumors spreading on social media about the operation, it was decided to release some information, including the names of the hostages found.

Until recently, Benjamin, like Gelerenter and Buskila, had been presumed to be alive, while Louk had been confirmed dead in late October after a piece of her skull was identified following widely shared footage of terrorists kidnapping her.

On the morning of October 7, Benjamin set out to meet up with friends for a bike ride near Kibbutz Be’eri, but amid the cascading rockets, he decided to turn around and head home to Rehovot. He spoke with his wife, Ayelet, and at 7:30 a.m. he left a message for one of his two daughters. He never returned home.

For two months following the October 7 attacks, Benjamin was considered missing, and his family was told they may never find out what happened to him, as there were no initial leads on whether he had been killed or abducted. On December 2, however, the IDF informed the family that he was indeed taken to Gaza.

Last week, amid rehearsals for the Independence Day torch-lighting ceremony, Benjamin’s daughter, Shai Benjamin, handcuffed herself to the gates of Jerusalem’s Mount Herzl military cemetery in protest of the event.

“It seems absurd to me to hold a ceremony celebrating the State of Israel when there are 132 hostages in Gaza whom the country is abandoning right now,” she said. “My father has not seen the light of day for seven months.”


View: https://twitter.com/i/status/1788597456579567835

Kwahyo mnavyoishambulia gaza mnataka wafe wapalestine utafikiri hayo mabomu mnayoangusha yanajua huyu myahudi
 
Jeshi la IDF linaendelea na Kazi ya kutafuta Mateka kila kona ya mji wa Rafah.. mwendo ni kata funua hadi kieleweke.

Masikitiko sana kupata Mateka wakiwa hai.. South Africa na Uturuki wanaona aibu tu na watakuja kujutia upumbavu wao. Aljazeera wagoma kuandika Habari. hahaha

Msemaji wa IDF amesema no stone katika Gaza litakalobaki bila kufumuliwa.. Worning kwa Wajinga wanaounga mkono Hamas Magaidi maandazi

IDF Confirms: Bodies of three hostages recovered from Gaza​

IDF Spokesman Rear Admiral Daniel Hagari confirmed in a statement on Friday that IDF forces recovered the bodies of three hostages from the Gaza Strip.​


View attachment 2992756


Aljazeera wao news zao za kipumbavu eti

‘Shame on the world’: Israel tanks, jets ‘wipe out everything’ in Jabalia


Updated: Mwili mwingine miongoni mwa Miili mitatu umetambuliwa na familia ya wafiwa imetaarifiwa, Mwanaume mwenye umri wa Miaka 53

IDF announces recovery of body of Ron Benjamin from Gaza, says he was killed on Oct. 7​

53-year-old father of two was slain by Hamas near Mefalsim; the body was returned to Israel Thursday along with three others previously announced​

View attachment 2993444
The Israel Defense Forces announced on Saturday evening that soldiers had recovered the body of an additional hostage from the Gaza Strip, after the announcement the previous day that three slain captives had been returned in a special mission.

The hostage was named as Ron Benjamin, 53, who was abducted by Hamas terrorists on the morning of October 7 while returning home from a planned bike ride near the Gaza border, which he canceled when rocket sirens sounded at 6:30 a.m. as Hamas’s attack began.

It is now known that Benjamin was killed near Kibbutz Mefalsim on the day of the attack, and his body was taken to Gaza, IDF Spokesman Rear Adm. Daniel Hagari said in a statement to the press.

His body was recovered during an overnight operation on Thursday, along with the bodies of Itzhak Gelerenter, Amit Buskila, and Shani Louk. All four were recovered in northern Gaza, according to the IDF.

The efforts to recover their bodies had “been ongoing for a long time,” Hagari said on Friday, and some of the intelligence for the operation came from Palestinian terror suspects captured by the IDF and interrogated by the Shin Bet.
he military had not initially planned to announce the recovery of three hostages on Friday, as it had preferred to wait until the operation concluded. However, due to a flurry of rumors spreading on social media about the operation, it was decided to release some information, including the names of the hostages found.

Until recently, Benjamin, like Gelerenter and Buskila, had been presumed to be alive, while Louk had been confirmed dead in late October after a piece of her skull was identified following widely shared footage of terrorists kidnapping her.

On the morning of October 7, Benjamin set out to meet up with friends for a bike ride near Kibbutz Be’eri, but amid the cascading rockets, he decided to turn around and head home to Rehovot. He spoke with his wife, Ayelet, and at 7:30 a.m. he left a message for one of his two daughters. He never returned home.

For two months following the October 7 attacks, Benjamin was considered missing, and his family was told they may never find out what happened to him, as there were no initial leads on whether he had been killed or abducted. On December 2, however, the IDF informed the family that he was indeed taken to Gaza.

Last week, amid rehearsals for the Independence Day torch-lighting ceremony, Benjamin’s daughter, Shai Benjamin, handcuffed herself to the gates of Jerusalem’s Mount Herzl military cemetery in protest of the event.

“It seems absurd to me to hold a ceremony celebrating the State of Israel when there are 132 hostages in Gaza whom the country is abandoning right now,” she said. “My father has not seen the light of day for seven months.”


View: https://twitter.com/i/status/1788597456579567835

Waliambia IDF wasishambulie Gaza watauwa watu wao hawakusikia sasa hiyo ndio hali
 
Bila kuvamia Rafah Marehemu wangeozea Rafah shame on UN and other wajinga wote waliokuwa wanapinga IDF kuingia Rafah
😄 Hamasi wanauliza hao maiti wamewakuta wapi?

Hata Hamasi wanawashangaa wanatafuta ushindi hata kwa maiti wasio wajua hahaha

Any way habari ni hi hapa fresh waisrael wa njombe.

Mjumbe wa Baraza la Knesset la Israeli na naibu mkuu wa zamani wa Mossad, Ram Ben Barak, amesema kwamba "vita vya Gaza havina lengo na ni wazi tunashindwa" na "uchumi wetu unaanguka."

Nyie bakini huko njombe mnakunywa pombe 😄
 
Israel hana ujinga wa ushahidi kupeleka sijui wapi.. maana kila taasisi inawapenda Hamas japo magaidi.. so Israel anachofanya anakuonesheni video kisha anaweka target ya hukumu kifo kama hutojisalimisha. Ndio maana awe muandishi sijui dr.UN N.k ukiikosea Israel umesign kifo chako.... no muda wa kesi as long ulidhamiria kuiangamiza Israel kwa namna moja au nyingine.... Hamas must die..
Soma hii mabwana zako wametema bungo tayari.

View: https://x.com/megatron_ron/status/1791894020798517480?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Wanaokota maiti za wanajeshi wao wanasema mateka😀

Hamas wamewauliza mmewaokota wapi hao maiti? Hawasemi ?
 
Back
Top Bottom