Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Chungulia DM au utupie picha hapaGari ipo 15M kuwasha na kutembea popote Tanzania, haiihitaji service wala rangi. Kama uko serious cheki PM
Weka picha mkuuMatengenezo sijui,Ila chuma ipo nataka milion 4,unatembea,Kama unataka picha nitaweka hapa hapa
Mkuu ilishindikana pichaGari ipo 15M kuwasha na kutembea popote Tanzania, haiihitaji service wala rangi. Kama uko serious cheki PM
Mkuu picha ziligomaMatengenezo sijui,Ila chuma ipo nataka milion 4,unatembea,Kama unataka picha nitaweka hapa hapa
BossGari ipo 15M kuwasha na kutembea popote Tanzania, haiihitaji service wala rangi. Kama uko serious cheki PM
Unakarbia kukosa gari Mkuu.Boss
Sasa Gari ya maneno hata picha hamnaUnakarbia kukosa gari Mkuu.