Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Wakuu habari.
Hitaji langu kubwa ni kumiliki gari aina ya Land Rover Defender 110. So kuna mdau kanambia nimtafute MTU aliyonayo hata kama ni skrepa aniuzie ili niifufue.
Vipi gharama ya engine na gear box pamoja na essentials zingine zote zinaweza kuwa TSH ngapi?
Nahitaji gari la shamba na Chaka to Chaka. Help please
Hitaji langu kubwa ni kumiliki gari aina ya Land Rover Defender 110. So kuna mdau kanambia nimtafute MTU aliyonayo hata kama ni skrepa aniuzie ili niifufue.
Vipi gharama ya engine na gear box pamoja na essentials zingine zote zinaweza kuwa TSH ngapi?
Nahitaji gari la shamba na Chaka to Chaka. Help please