Mateso anayonipa jini mahaba

Mateso anayonipa jini mahaba

asilimia zaidi ya 90 maisha tunayoishi hutokana na machaguo tuliofanya jana. jitathmini staili yako ya maisha kitu gani unakiweka kwenye mfumo wako wa mawazo. muda wako mwingi unautumia kufanya nini?!. jini mahaba na hayo Mataka taka mengine hayaji hivi hivi isipokuwa wewe umeyapa nafasi.

kabla hujafikiria kuyatoa. fikiria kubadilisha mfumo wako wa maisha kama ulikuwa unakawaida ya kuangalia video za ngono, kufanya ngono kiholela ( ikiwa hujaoa). zote hizo ni source za mikosi na laana kwenye life lako. achana na takataka kwenye mwili wako.

Amua leo amua sasa ishi maisha yasio na mawaaa. soma neno la Mungu jizoeshe kuomba. hilo jini mahaba litakimbia lenyewe
Jini mahaba anasababishwa na upigaji punyeto wa muda mrefu ata hivyo majini wanamilikiwa na wachawi ndio ambayo huyatuma kwako kuja kubeba nyota yako ni vyema kabla ya kulala ufanya sala na Dua kukemea hayo mapepo wabaya kwa damu ya Yesu pia aamke usiku kufanya maombi kama yatakuja yakuja yatashindwa kufanya jambo hilo
Nini huwa kinatokea mtu mpaka anaingiliwa na majini haya?
Jini mahaba huwa anatumia sura ya mwanamke mzuri sana akiwa na umbo la kuvutia anamsogelea mtu aliyelala huku akiwa uchi kwa hitaji la kufanya ngono
 
ni kweli ndoto nyevu zinamtokea mtu aliyeko kwenye puberty stage. wewe ushakomaa vyakutosha unaota unafanya mapenzi zaidi ya mara moja ujue ubongo wako umeifadhi fikra za ngono kwa wingi kupitia subconscious mind ndo maana unaota na huo ndo hutumiwa kama mlango kwa majini mahaba
Sio ukweli ni assumptions tu za watu ubongo hufanya kazi kwa kuchakata taarifa, hujawahi kuota mtu anakuua wewe hujawahi kuota mtu anakukaba mpaka unashindwa kuamka hujawahi kuota unakimbizwa ndotoni hujawahi kuota unapigwa ndotoni hujawahi kuota unafanya mtihani darasani ndotoni hujawahi kuota unaongea na watu usiowajua ndotoni, wote hao ni majini mahaba wamepitia mlango huo wa hayo matukio?
 
Jini mahaba anasababishwa na upigaji punyeto wa muda mrefu ata hivyo majini wanamilikiwa na wachawi ndio ambayo huyatuma kwako kuja kubeba nyota yako ni vyema kabla ya kulala ufanya sala na Dua kukemea hayo mapepo wabaya kwa damu ya Yesu pia aamke usiku kufanya maombi kama yatakuja yakuja yatashindwa kufanya jambo hilo
Nini huwa kinatokea mtu mpaka anaingiliwa na majini haya?
Jini mahaba huwa anatumia sura ya mwanamke mzuri sana akiwa na umbo la kuvutia anamsogelea mtu aliyelala huku akiwa uchi kwa hitaji la kufanya ngono
Sio ukweli hio ni assumptions na mythology za kale zipo tangu na tangu zinaelezwa hivyo ila hakuna ukweli wowote wapo watu hawapigi masterbation ila wanapatwa na wet dreams, ni sawa na mtoto anaekojoa kitandani ukiwa umezaliwa ile memory inabakia hivyo hivyo mpaka ukiwa mtu mzima kuna kipindi inarudi mpaka kule ndani kabisa unakua mtoto mdogo ambae hawezi kunyanyuka akaenda kukojoa chooni, wewe ulipokua mtoto ulikua unanyanyuka mwenyewe kwenda kukojoa au ulikua unakojoa hapo hapo, hivi unafikiria ile memory imefutika unajua umejikojolea mara ngapi na umebadirishwa nepi mara ngapi hivi unafikiria ile memory ukiwa mtoto unajikojolea imefutika huko kwenye subconscious mind?
 
Acha kutafuta kuombewa,,,tafuta maarifa ya neno la Mungu na ujiombee mwenyewe..Soma biblia na pia vitabu sahihi vya watumishi sahihi..Toa wazo la kuombewa kwenye kichwa chako..
Hapana acha kumkatisha tamaa.
Kuna vifungo huwezi kujifungua wewe mwenyewe.
That's why baadhi ya watumishi wa Mungu pamoja na kufanya huduma lakini wana vifungo ambavyo vimekuwa kama ulemavu wao. Hawataki kusema walipokwama na kuruhusu mtumishi mwingine amfungue.
Kuna wachungaji malaya sana na wakihubiri unasema muhubiri ndiye huyu
 
Kamaa hilo tatizo linamtokea MTU Mara kwa Mara - lazima something is wrong.
Halitakiwi kua mara kwa mara ila sio suala la kusema kwamba ni tatizo, wewe nikuulize swali unaweza kukaa muda gani bila kwenda chooni kunya unaweza kukaa Mwezi haujanya?
 
Kwema.

Naomba niende kwenye mada binafsi nasumbuliwa na jini mahaba kiukweli kama hujawahi kupitia adhabu ya haya madude unaweza kuonana kama vitu vya kufikirika

Mimi binafsi nina umri wa miaka 36 lakini kiuchumi niko kama dogo wa 20+ Yani Kila nachfanya narudishwa nyuma Hatua mia ukianzisha mahusino inatokea tu dharula unachukiwa mazima pia hata kudharauliwa Yani kama Kuna mada inazungumzwa na washikaji nikichangia mada nitatumia nguvu nyingi sana kusikilizia

Mambo ni mengi nimejarbu kuwapigia baadhi ya watumishi wananiombea lakini Hali inabaki pale pale kiukweli nimechoka na hii Hali sifanyi starehe lakini unakuta kwangu ni rahisi kukopesheka kuliko kuingiza naombeni msaada wadau nijinasue vipi kwenye huu mtego nimechoka.

Pia soma
- Rafiki yangu anasumbuliwa na jini mahaba. Je ni namna gani ya kumtoa?
Jini mahaba kwenye mada yako yupo paragraph gani?
 
Hapana acha kumkatisha tamaa.
Kuna vifungo huwezi kujifungua wewe mwenyewe.
That's why baadhi ya watumishi wa Mungu pamoja na kufanya huduma lakini wana vifungo ambavyo vimekuwa kama ulemavu wao. Hawataki kusema walipokwama na kuruhusu mtumishi mwingine amfungue.
Kuna wachungaji malaya sana na wakihubiri unasema muhubiri ndiye huyu
Hilo sio tatizo ila watu wanaliongelea tofauti tu, ukikaa miezi zaidi ya mitatu au minne iwe una umri wowote adolescent au adult hujakutana na mwanamke kwa mwanaume wet dream lazima ikupate hio ipo wazi kabisa, ndio hapo likaja suala la ndoa hivi mnafikiri ndoa ya mke na mume imeanzishwa na sababu zipi? Au mnaona ni fashion tu walioanzisha walikua wanafanya maonyesho tu?

Lakini km wewe kila siku unapatwa na wet dream basi wewe utakua na tatizo lingine tofauti na kawaida
 
Hiki kitu hakipo hakuna scientific proof ya haya makitu kwa hio msimezeshane upuuzi dawa ni kutembelea makaburi ndio utaelewa vizuri
Scientific proof ina limit haina perfection 100% ndiyomaana hadi leo hii haijathibitisha chanzo cha Binadamu na maisha baada ya kifo.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Scientific proof ina limit haina perfection 100% ndiyomaana hadi leo hii haijathibitisha chanzo cha Binadamu na maisha baada ya kifo.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Ndio hivyo hivyo chanzo cha wet dreams ni assumptions tu ni sawa na wale wanaosema hakuna Mungu hakuna shetani ila kuna wapuuzi wanaamini kwamba Mungu yupo na shetani yupo huwaambii kitu
 
Ndio hivyo hivyo chanzo cha wet dreams ni assumptions tu ni sawa na wale wanaosema hakuna Mungu hakuna shetani ila kuna wapuuzi wanaamini kwamba Mungu yupo na shetani yupo huwaambii kitu
Binadamu tuko limited na upeo wetu kimaarifa, mfano respiratory system (oxygen and carbon dioxide in human body) bado kabisa haijathibitishwa by tangibility and visibility.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Vipi kuhusu mavazi yako Na muonekane wako kaka?.....Mimi shida niliyonayo Huwa ni kuogopwa Na watu... asilimia kubwa wengi hudhania Mimi ni mpelelezi au watu wa usalama wa taifa😀😀, nikiingia kwenye kumbi za starehe napendelea kujitenga Na kukaa peke yangu, mavazi yangu Huwa napendelea kuvaa shati Na jeans au tisheti Na jeans muda mwingine Huwa najilipua Na Kaunda suti dark blue,..nikienda kule vijijini usukumani wasukuma wengi huniita tapeli, lakini nikiwa mjini naonekana wa maana sana kutokana Na uvaaji wangu Na style yangu ya maisha ya kujitenga... nicheki inbox kuna kitu naweza kukushauri
😂😂😂😂 nakuja nbox
 
Kama ni mkristo uwe una soma biblia kitabu cha
Zaburi 91:1-7 na
Isaya 54-14-17
soma ulishike neno hilo kila siku unapoingia kulala
Uwe una omba Mungu akupe ulinzi unapoingia kulala sema hivi "Nazikaa ndoto za kuota nafanya mapenzi kwa damu ya Yesu × 10"
Amka tena usiku saa kumi usiku kusoma zaburi 91:1-7 na isaya 54-14-17
sema hivi "Nazikaa ndoto za kuota nafanya mapenzi kwa damu ya Yesu × 10"
Mungu akubariki utoke katika kifungo hicho
nashukuru sana ntaanza Leo hii hii
 
nashukuru sana ntaanza Leo hii hii
Soma mwezi mzima hii mistari ya biblia uishike kichwani

Luka 10:19
Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.

Zaburi 44:5
Kwa nguvu zako tutawaangusha watesi wetu;
Kwa jina lako tutawakanyaga watupingao.

Zaburi 91:13
Utawakanyaga simba na nyoka,
Mwana-simba na joka utawaseta kwa miguu.

Tatizo lako litaisha kwa Jina la Yesu
 
Soma mwezi mzima hii mistari ya biblia uishike kichwani

Luka 10:19
Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.

Zaburi 44:5
Kwa nguvu zako tutawaangusha watesi wetu;
Kwa jina lako tutawakanyaga watupingao.

Zaburi 91:13
Utawakanyaga simba na nyoka,
Mwana-simba na joka utawaseta kwa miguu.

Tatizo lako litaisha kwa Jina la Yesu
Amina nashukuru nafanya hivyo
 
Back
Top Bottom