Mateso ninayopitia hayabebeki wala kuzoeleka

Mwanaume ni kusugua mbususu mpaka iwake moto
 
Upwiru Pole, huyu anakusumbua ni jini, kama ni mkristu kamtoe ka+ka maisha yako kwa maombi, kama ni muislam kimbia haraka kwa wataalam wa tiba katika uislamu wakupe ufumbuzi, kule kuna dua, kuna na dawa nyengine naamini huyu kiumbe anaejutesa atahama katika maisha yako na ufurahie tendo na mwenzako.
 
Upo vizuri mkuu, embu jaribu maombi pia
 
Bora wewe huna nguvu za kiume ila pesa unazo, wengine hawana vyote.

Ushauri oa, uwe unafanya sasa sana wenda ùtakaa sawa.

Kwa tatizo hilo sidhani kama kinga unaweza vaa so oa
 
wanawake wengi ni waelewa sema hofu yao ni ile ile kuwa ukifanikiwa tu unamuona hafai unaanza chakata ulizokuwa unazi admire
 
Watu wengi wanafanya kejeri ila mkuu, i am trying to fit in your shoes mwanangu sio poa, Mungu tu anusuru, ila Mpigie huyu mzee, anauza dawa za kisuni naamini ana uwezo wa kukusaidia +255685919190 pia kuna huyu kama physiotherapist 0682549979.
Kuna mshikaji yan story zinaendana kama yako, ili m disturb sana mpaka akazingua form 6, akawa mvuta bangi, ila uyo physiotherapist alimsaidia mpaka sasa naamini yupo poa.
 
leo kuna mtu alikuwa anaelezea kuhusu semen retention, embu try it out pia, i think it might be a good start kwako.
 
Unapokuwa na mpenzi wako, jaribu kuhamisha mawazo, hii itakusaidia. Kwa mfano wakati unaingiza kitendea kazi chako, jaribu kuwaza kule kwenu mzee amepigwa na nondo kichwani, huku ukiendelea ku-pump. Fanya hivyo hivyo baadaye utazoea
gari itazima ktkt ya safari (itasinyaa ikiwa ndani)
 
sijasoma maoni ya watu wengi ila nitajibu moja kwa moja

kijana hilo sio tatizo hata kidogo,
wala hauumwi hata kidogo,

rudi kwenu kamtafute babu yako hasa upande wa mama zungumza naye,
utakuja kunishukuru
sio tatizo hata kidogo

mara nyingi hizi hali huwa zinawapata watu walioshikwa na mila au jadi zinawapata sababu wazazi wanakuwa wameamua kujifanya wana dini sana,
hivyo watoto mankosa kupewa connection za mizimu na wazee.
sasa ukiwa mjukuu favored na mila au jadi baadhi ya watu hili suala moja wapo kuwapata,
lingine ni kuchelewa kuanza kufanya mapenzi japo unakuwa unapendwa sana na wanawake, na inaweza kuwa hata kutongoza huwezi ila wanakuja wenyewe tu automatic.

30yrs now najua umetumia madawa mengi sana kutafuta msaada ila katika yote fuata kafuate wazee,

ukishindwa kabisa kwenda kwa haraka kama upo dar nicheki pm nitajua nikupeleke wapi.
 
No one like you mkuu, bonge la ushauri. Nilikua nikiwaza kumshauri hivi ila nisingeweza kabisa kuiweka ulivyoiweka. Big up brother [emoji123]
 

Pole sana, ulijaribu tiba mbadala? Unaishi mkoa gani?
 
Pia wanawake uliowahi kukutana nao walikuwa wabakwambiaje? Walikuwa wanakwambia maneno ya kejeli? Maana hiyo inaongezaga ukubwa wa tatizo.
 
Umejuaje kama wanaume wengi wanawahi?
 
Raha Huwa tu

Siyo kweli, Raha Huwa tunaisikia kuanzia kabla hata hatukojoa, Inamaana wewe kabla ya kukojoa husikii Raha kabisa!!?? Unasikiaga nini sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…