Sasa mbona jamaa yako katutaja mada imezungumza vyengine katutaja sisiWazanzibar Wana nini mpaka watanganyika wawapapatikie. Hakuna ujinga kama huo. Wazanzibar wanakitu gani mpaka watanganyika wawapapatikie. Hakuna kitu kama hicho
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo waislam ndo walikuwa wanafanya biashara ya utumwa peke yao dunia nzima!Biashara ya utumwa na uislam vina uhusiano itakuwa. Kwasababu umejaribu kutetea lakini hao mawakala ni waarabu pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweliKwahiyo waislam ndo walikuwa wanafanya biashara ya utumwa peke yao dunia nzima!
NB:
Siwatetei waarabu kwa unyama wanaotufanyia waafrika tena nawachukia mno.....ila mambo ya kiimani sidhani kama yanaingiliana hapa ila nachojua mtu akiwa na tabia mbaya au roho mbaya haiwezi kuhusiana na imani yake
Kuwataja ni kawaida tuu.Sasa mbona jamaa yako katutaja mada imezungumza vyengine katutaja sisi
Are you a Whiteman?Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale
Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.
Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nikasema sisi mnatuona kama waungu wenu
Waungu gani kwani Zanzibar inaizidi nini Tanganyika. Kuanzia rasimali mpaka ardhi, idadi ya watu, mnaendeleo, viwanda. Kwanza hata umeme mnategemea utoke Bara mpaka visiwani. Ninyi ndio wategemezi. We unafikiri Sisi tunategemea nini Zanzibar. Niny ndio mnaongoza kuitaja bara . O bara wanatunyonya . Mnanyonywa niniNdo maana nikasema sisi mnatuona kama waungu wenu
Hahahaaaa Eti mmetuzidi maendeleo hayo maendeleo yako wapi ...baraka ya njaa na dhiki ...umshukuru Nyerere tu wewe bila ya yeye mpaka leo usingelikua unacomment kwa kiswahili hapa!!!Waungu gani kwani Zanzibar inaizidi nini Tanganyika. Kuanzia rasimali mpaka ardhi, idadi ya watu, mnaendeleo, viwanda. Kwanza hata umeme mnategemea utoke Bara mpaka visiwani. Ninyi ndio wategemezi. We unafikiri Sisi tunategemea nini Zanzibar. Niny ndio mnaongoza kuitaja bara . O bara wanatunyonya . Mnanyonywa nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ni Wazanzibari acha wapate tabu huko. Akipona hapo utasikia hii ni thawabu kuteswa na Mwarabu. Hii mijamaa inamwona Mwarabu kama ni nusu Mungu. Naishia hapa japo yapo Mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
estupideWrite your reply...Kuna watu hapa wanaingiza Uzanzibar ...siku ukijua huyo aliefanyiwa unyama huo ni mtanganyika mwenzako utakuja hapa kuomba msamaha ...sawa hatukatai tunawapapatikia waarabu ujue pia Watanganyika wanawapapatikia Wazanzibari na mnatuona kama waungu wenu ....kumbuka dunia hii ya Sasa sio kama ile ya Nyerere ukiyajua ya Wazanzibari nasi tunayajua ya Watanganyika ...Inapokuja mada uijadili kwa fikra huru kama una chuki zako peleka sehemu stahiki ...
mjulubengHata Mimi nashindwa kuelewa waarabu wamewalisha nini ukimsema vibaya mwarabu kuna watu roho zinawauma sana
nakubali ...ila yote kwa yote waarabu ni wapumbavuMleta uzi, muogope Mungu,kwa kusema uongo,hakuna muarabu anayeajiri nyumbani kwake mwanamme.Halafu pia 78%,ya wenyeji wa Oman,ni waTanzania,waliozaliwa Tanzania,Burundi,Rwanda,na ndio wengi wanaochukuwa wafanyakazi kutoka Afrika mashariki,na kule nchini Oman,wanajulikana ni waswahili au Mzanzibari,hata awe na rangi gani.Na kiswahili kinazungumzwa Omani utafikiri uko Tanzania.Kwa hiyo akitokea mtu kumtesa mfanyakazi,huyo atakuwa mjinga wa akili,kwa sababu anamtesa ndugu yake,kwasababu wengi walioko Oman ni damu mchamganyiko na makabila mbalimbali ya Tanzania,Rwanda,Burundi nk.
Sent using Jamii Forums mobile app