Killmonger
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 2,021
- 2,242
Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka balozi zetu.
Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.
Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.
Maeneo au MACHINJIO ya waafrika wengi ni SAUDI ARABIA NA OMAN....HAYA NI MAENEO HATARI SANA SIO KAMA DUBAI AU QATAR, TAFADHALI BALOZI ZA OMAN NA SAUDI ARABIA SAIDIENI WATANZANIA.
View attachment 1070124
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂 mwingine huyu 👇Akipona hapo utasikia hii ni thawabu kuteswa na Mwarabu. Hii mijamaa inamwona Mwarabu kama ni nusu Mung
Usiwaseme vibaya wa arabu,waafrika wanateswa hata hapo South Afrika,tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao!tuache unafiki,ubaguzi upo sehemu zote,ngozi nyeusi inateswa popote pale,
Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale
Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.
Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo wengi sana.Hivi bado kuna Watanzania wanaenda kufanya kazi huko!?!?
Hata wabara wapo wengi sana.Hao wa Zanzibar wanapenda kujikomba kwa hao magaidi wacha waipate fresh
God first
Kweli mkuuMwarabu ndo mtu mkatili zaidi Duniani kwa sasa! Mwarabu ni mwarabu tu awe mkristo au muislam bado ni mwarabu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itawafikia tu wote, TAARIFA ZA UHAKIKA KWA MARA YA MWISHO UBALOZI WA TANZANIA KUFANYA KIKAO NA WATANZANIA OMAN ILIKUWA NI MWAKA JANA MWEZI WA 3, HADI LEO HAWANA MREJESHO WOWOTE WA KILICHOTOKEA KWA WATU WAO KWA MWAKA NA ZAIDI.wakimtumia mange hii video itaenda viral balaa, lazima ubalozi wajitokeze kupinga dadeki!!!
NashangaaNyie jamaa waarabu waliwalisha nn mbona mmekuwa kama mazezeta mkisikia neno Mwarabu. Kwa hyo Mwarabu akiwatesa tukae kimya eti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wewe hutaki watu walalamike? Au wewe ni Mwarabu na inaonekana wewe ndiyo miongoni mwa wanyanyasaji.Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale
Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.
Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh au jamaa alikuwa ameiba ubwabwa wa kwenye shughuli za mashekheSerikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.
Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.
Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.
Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.
View attachment 1070124
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka uwe unaandika ukiwa na uhakika. Ramaphosa amekemea vikali sana kuhusu hili lakini kiongozi mkubwa wa upinzani Julius Malema amewaambia Wasouth ni bora hata wasimpe kura uchaguzi wa May kuliko kuendelea kuwaua na kuwaharibia biashara Waafrika wenzao. Fuatilia hotuba hizo YouTubeUsiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale
Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.
Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
We nadhani mmoja wa mawakala wa kupeleleka hao ndg zetu huko....Hujaskia kauli ya Rais wa SA? auj kauli ya JULIUS MALEMA? Ww ndg wale wa SA ni ugomvi kwa ajili ya ajira,je na huyo aliefungwa kwenye kiti na kuzibwa mdomo nae anagombea ajira na hao watesi wake? Acha uzwazwa na ushamba kutetea mijitu yenye roho ya kishetani!Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale
Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.
Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ukiona aina ya vidéo kama hizo usikimbilie kufungua hua zinaharibu sana siku kama unamoyo wa kutunza maumivu. Pôle sanaHii video imeniharibia siku yangu.