Mateso wanayopata Waafrika Uarabuni hasa nchi za Saudi Arabia na Oman

Mateso wanayopata Waafrika Uarabuni hasa nchi za Saudi Arabia na Oman

Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka balozi zetu.

Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.

Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.

Maeneo au MACHINJIO ya waafrika wengi ni SAUDI ARABIA NA OMAN....HAYA NI MAENEO HATARI SANA SIO KAMA DUBAI AU QATAR, TAFADHALI BALOZI ZA OMAN NA SAUDI ARABIA SAIDIENI WATANZANIA.

View attachment 1070124

Sent using Jamii Forums mobile app

MHF.
 
Akipona hapo utasikia hii ni thawabu kuteswa na Mwarabu. Hii mijamaa inamwona Mwarabu kama ni nusu Mung
😂😂 mwingine huyu 👇
Usiwaseme vibaya wa arabu,waafrika wanateswa hata hapo South Afrika,tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao!tuache unafiki,ubaguzi upo sehemu zote,ngozi nyeusi inateswa popote pale,
 
Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale

Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.

Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.


Sent using Jamii Forums mobile app


Bro tuanzie hili wa kufungana kwenye viti ndio hoja ya msingi kabisa!

Sisi tukianza kuwapiga hivi waarabu si Dunia nzima itasema?
 
wakimtumia mange hii video itaenda viral balaa, lazima ubalozi wajitokeze kupinga dadeki!!!
Itawafikia tu wote, TAARIFA ZA UHAKIKA KWA MARA YA MWISHO UBALOZI WA TANZANIA KUFANYA KIKAO NA WATANZANIA OMAN ILIKUWA NI MWAKA JANA MWEZI WA 3, HADI LEO HAWANA MREJESHO WOWOTE WA KILICHOTOKEA KWA WATU WAO KWA MWAKA NA ZAIDI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mnafikiri hao mashetani waarabu wanaamini kwamba biashara ya utumwa imeisha? Kwao wanaamini watu weusi bado ni watumwa wanaouzwa na kununuliwa madukani kama kuku tu, na bado tunaenda tu. Huu uzi naunganisha na ule uzi wangu wa utumwa katika picha.

 
Jamaa aliwekwa bond na drug dealers jamaa wameuza mzigo pesa hawajalipa kwa mwarabu
 
Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale

Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.

Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wewe hutaki watu walalamike? Au wewe ni Mwarabu na inaonekana wewe ndiyo miongoni mwa wanyanyasaji.
 
Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.

Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.

Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.

Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.

View attachment 1070124

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh au jamaa alikuwa ameiba ubwabwa wa kwenye shughuli za mashekhe
 
Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale

Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.

Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka uwe unaandika ukiwa na uhakika. Ramaphosa amekemea vikali sana kuhusu hili lakini kiongozi mkubwa wa upinzani Julius Malema amewaambia Wasouth ni bora hata wasimpe kura uchaguzi wa May kuliko kuendelea kuwaua na kuwaharibia biashara Waafrika wenzao. Fuatilia hotuba hizo YouTube

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale

Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.

Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.


Sent using Jamii Forums mobile app
We nadhani mmoja wa mawakala wa kupeleleka hao ndg zetu huko....Hujaskia kauli ya Rais wa SA? auj kauli ya JULIUS MALEMA? Ww ndg wale wa SA ni ugomvi kwa ajili ya ajira,je na huyo aliefungwa kwenye kiti na kuzibwa mdomo nae anagombea ajira na hao watesi wake? Acha uzwazwa na ushamba kutetea mijitu yenye roho ya kishetani!

East and west home is the best
 
Back
Top Bottom