Usipandikizwe chuki mkuu, yaache tu haya mambo ya mitandaoHalafu miarabu inazurura tu huku,hakyanani ningesema kitu ila naogopa wasiojulikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Well said , ndio maana nimesema balozi ziwe zinafatilia changamoto mbalimbali za watu wao huko.Mkuu hata middle east kuna fursa nyingi tu, tatizo ni kuangukia kwa boss wa aina gani.
Kuna watu wametoka huku wako huko lakini ukiwaeleza kuhusu haya mambo wataona kama vile unawasingizia wavaa kanzu.
Ni sawa tu na mtu ambae yupo kijijini analetewa mjini kuja kufanya kazi, wengine huangukia kwa mabosi wapole na wakarimu hivyo maisha kwao yanakua poa, ila kuna wale wanaoangukia kwa mabosi ambao ni makatili kama wanyama hapo ndipo majuto huanza.
Yote kwa yote mabalozi wetu katika nchi nyingi wanazopelekwa hua hawaendi kufanya kazi walizotumwa zaidi wao ni kula bata tu.
Maendeleo hayana chama
Fungua tu mkuu utazame, ni tofauti wametajwa waarabu wanaonekana wahindi, tusipandikizwe chuki kwenye mioyo yetu jamanNawaza sijui niifungue maana huwa na hulka ya ubaguzi naweza pata hasira nikatukana waarabu na vibaraka wao nikapigwa ban
Sent using Jamii Forums mobile app
Muogope mungu.Hivi huko South Africa wanafungwa kwenye viti na kuchapwa kama watumwa? Huko wanasema nenda zako, huyu haendi kokote ni adhabu tu. Hakuna unyama wowote unaofanywa sehemu yeyote unaoweza justify huu tunaouona kwenye video.
Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.
Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.
Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.
Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.
View attachment 1070124
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea point sana.Huko nyumbani wanajua kuamrisha watu kuja kuripoti police tu
Lakini huu utaratibu wangeufanya pia kwenye balozi na kuwaambia hao wanaowadhamini na kuwachukua watoto wetu wawe wanawaleta au kuwatuma wafike balozini mara moja kwa mwezi na hiyo iwe kwenye mkataba anaosaini huyo Mwarabu.
Najua ubunifu ni zero kwa watu waliopewa majukumu na Rais yaani wanakula bata tu huko na hata fursa za kuchangamkia hawazioni wamefungwa macho na ufahamu.
Hakuna kusaini mkataba bila hicho kipengele kwani wanaingiza $ ngapi hao ndugu zetu kwa mwaka? Au wanaajiri engineers?
Wanawatumikisha masaa 20 kwa siku halafu na kuwapiga juu na kuwabaka juu halafu mnashindwa kuwa protect
What a shame
Kama mnashindwa kuwaangalia na kuwajali bali msitoe hizo ajira
Kuwaoana kila mwezi itasaidia sana hata kama wakilalamika kuwa wanapigwa au hawawezi kufanya kazi hizo masaa 20 unafuta mkataba with immediate effect
Hakuna kumbeba mfadhili kama anatuingizia mabillion kwetu HELL NO
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Wanaonewa sana mkuu na mabalozi wamekaa kimya
Yaaaaan[emoji134][emoji134]Nyie jamaa waarabu waliwalisha nn mbona mmekuwa kama mazezeta mkisikia neno Mwarabu. Kwa hyo Mwarabu akiwatesa tukae kimya eti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo fujo zimestopishwa?Kaka uwe unaandika ukiwa na uhakika. Ramaphosa amekemea vikali sana kuhusu hili lakini kiongozi mkubwa wa upinzani Julius Malema amewaambia Wasouth ni bora hata wasimpe kura uchaguzi wa May kuliko kuendelea kuwaua na kuwaharibia biashara Waafrika wenzao. Fuatilia hotuba hizo YouTube
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena wahindi ni ovyooo zaidi ya ovyooNieingalia hiyo video clip lakn nimeshindwa kugundua kama anaepewa kichapo anatoka nchi gani.
Mim sijawai kuwaamin waarabu na wahind katika kushirikiana nao kwa kaz yeyote ile.
Nikiwaona nahis kichefuchefu , asilimia kubwa ni watu wa hovyo kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unafiki upo wapi?? Hujaona post humj watu wakilalamika kihusu yanayo endelea south??Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale
Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.
Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia hii ina maajabu sana
Kwa asili waarabu ni watesaji mno. Wana silka ya utesaji wanapopata nafasi. Wanaoenda huko ni vizuri wakawa na contacts na balozi zetu. Hata hivyo nakumbuka Rais Magufuli alishapiga marufuku kwenda kufanya kazi uarabuni.Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.
Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.
Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.
Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.
View attachment 1070124
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwarabu anatumia physical torture wakati mzungu anatumia psychological torture, wote ni mawakala wa ibilisi