Mateso ya Jackline Wolper


Niliyaona jana mahojiano hayo kwenye kituo kimoja cha televisheni...huwa mahojiano ya namna hii siyapendi na wala huwa siangalii, ila mazingira ya jana nyumbani kwangu yalinifanya niangalie...Kwa kawaida mimi ni mtu wa huruma sana...lakini katika mahojiano ya jana sikuwa na tone la huruma, yaani ndiyo kwanza nilipata hasira namna mabinti wetu wanavyonyanyasika kwa makusudi na watu wa nje kwa kujitakia...yaani nilipata hasira sana...naishia hapo
 
You were very right from the very beginning ila ulipoweka personal hate hapo ndo umeharibu na kufanya all ulichoandika kufikiriwa kua ni sababu ya hate ....
 
Hana lolote hayo machozi ni yakinafki tu, ataka aonewe huruma na watu wayabariki hayo madudu yao na huyo mtoto.

Eti "nampenda Raji(harmonize) coz ana khofu ya Mungu..."

Sina mbavu mie.
wanawake si ndo zenu lakini kudanganywa?
 
bi dada kitandani kuna mambo mengi yanayoendelea tena ni invicible, we huoni mwenzako anayaona na kuyafanya pasipo wewe kujielewa.,. Ukishakuwa celeb kuwa makini na mambo ya faragha..!
Vitu vingine inabidi uachane navyo tu maana vitakuumiza kichwa bure. Dada analalamika kupigwa picha akiwa kalewa wakati ukiingia kwenye IG ya Harmonize wamepost video wakinyonyana ndimi adharani mbele za watu. Baadae atatuambia nayo alikuwa kalewa
 
Wachaga nyie si mafundi WA kudeadisha wanaume si adeadishe na huyo mutu ya Congo sasa.
Imekula vidono hiyo Hapo Ni kiburi kwa kiburi.
Weka Kule Hiyo Mkisha zinguliwa kelele but before hakuna matata.
Experience and mistakes are mostly said to be the best teachers in the world.
Ajifunze.
 
[emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108]
 
BabaAaa kuna thread ilishawekwa hapa .. Wadada sio kwamba wanakurupukia wakongo bure kuna inside the box
 
Lulu+auny ezekiel+kidoti+ mama lao wema+ weka na gigy dadeki+ jumlisha na ki wolopa sasa
 
Naona dogo ray keshakamatwa na mtoto feza kessy ...ila ndio maisha ya usupa star hayo..
Naona now Shigongo ana news kibao za kuandika
 
Lakini jana nilipokua nachek take one ya Zamaradi ndipo nilipo muelewa Jack na kuona amepitia mateso makali sana kisaikolojia kupitia yule mchumba wake ambaye anaitwa mkongo, alikua too deeper kihisia kuonesha ni kiasi gani alimpenda yule jamaa na mbaya zaidi akimvumilia na kugombana na watu wake wa karibu kwa ajili yake, mwisho wa siku jamaa kumbe ni mme wa mtu na mtoto, tena bado yupo karibu na familia yake lakini nia yake amharibie maisha mtoto wa watu dada yangu mchaga mwenzangu.

My take:Wadada wa mjini msikurupukie wageni.[/QUOTE]
Kwa Kweli alichofanya mwanaume Sio kizuri na serious kitamridia but ni mipango ya shetani na Maisha
Yanaendelea
 
Mkuu nakuheshimu sana... Ila kwa hili mkuu it can't be reason enough kukubali afanyiwe hivo, pamoja na mapunguvu nao wanahitaji ubinadamu na utu.
 

Yule zamaradi anapenda kweli ya wenzake ..tena wakifunguka vile ili kakipindi kake kapate viewers wengi
 
Mkuu nakuheshimu sana... Ila kwa hili mkuu it can't be reason enough kukubali afanyiwe hivo, pamoja na mapunguvu nao wanahitaji ubinadamu na utu.
Najua kabisa sikuandika kitu kizuri na ndio maana nikatangulia kuomba radhi nawaheshimu sana wanawake na nachukia unyanyasaji lakini hao bongo movie ni habari nyingine jaribu kuchukua muda wako ucheki historia ya huyu binti
 
Kumbe ndivyo alivyo wanatumia wanatema kama bigjeee, bado hajawa cha pombe
 
WCB hizo ndio kanuni Za Maisha lazima watoke Na watu wazima angazia Daimond vs Zari,Mose lyobo vs Anti Ezakiel na Harmonies vs Jack Wolper
hapa nimekupata, wakitaka kutoka vijana ni lazima watoke kupitia vibibi kama mama zao vile, kwa kuwa hawajui kutongoza kisomi zaidi, walisahau enzi za kumsomesha demu hadi anabadili njia.
 
Jamn. mambo ya ngoswe kuitwa ngoswe tumuachie mwenyewe ngoswe. lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…