Mateso ya Masheikh wetu

Status
Not open for further replies.
Mkuu mbona mimi sijakusudia shari ?

Mimi nawazungumzia muamsho na huyu mzee wetu.

Tafadhali sana ndugu,hujui lengo langu,bora ukasubiri kwanza
Nisamehe huwa napenda haki sipendi kuona mateso kwa mtu yeyote anapokwa haki yake hata kama siwa itikadi yangu.
 
Magaidi ni hawa walio bomoa nyumba za watu bila fidia na kusababisha vifo na umasikini.
Magaidi ni hawa wanaopora haki ya kuishi ya watanzania ambao wametofautiana nao kimtazamo.
Magaidi ni hawa wanaotishia kuua watu mchana kweupe kwasababu ya madaraka ili waendelee kutafuna pekee yao keki ya taifa.
 
Pole sana. Wewe huelewi kilichofanya rais aliyepita kuwaweka mahabusu. Pia huwezi kuelewa hayo wanayochunguza au waliyochunguza yana madhara gani yakiwekwa hadharani kwa taifa. Mm naamini kiongozi yeyote hana shida na mtu yeyote asiye hatarishi kwa usalama wa nchi. AMANI YA NCHI YETU NI MUHIMU KULIKO MTU WA AINA YEYOTE ANAYETAKA KUIVURUGA.
 
Haki gani walikuwa wanapigania zidi ya waislamu?
Safuher,
Kesi itakaposikilizwa na hukumu kutolewa ndipo ukweli utajulikana.

Lakini inavyoelekea ni kuwa masheikh wetu hawana kesi ya kujibu wako rumande kwa miaka saba.
 

Ndio wewe unaelewa ?? au unaamini tu ??, Mbona hujatuambia sababu unadhani tu ??? , Jee dhana kwenye dini yako inakubalika ??? Miaka saba umekaa kimya , umeshindwa kuwasaidia polisi kupeleka ushahidi .

Kumbe wewe ni mtu mbaya sana .
 
Hawa mashehe walikamatwa na waislamu rais akiwa JK, Sheni rais Zanzibar, makamu wa kwanza Maalim Seif, makamu wa pili balozi Iddi.
Na ni muislam Sheni ndiye anayeweza kuwatoa maana ndiye aliyewapeleka jela bara.
Wanateswa kwa sababu ya waislam wenzao
 
Waislamu huwa sio watu wa kuamni 100%
Kama mpo seriaz mchagueni lisu wote mpewe haki yenu
 
Mshukuruni JK lasivyo wangeshakua marehemu na kuwasahau.
nasema hivii watatunzwa Hadi pale tutapoona sio kitisho tena

Sheikh Abud rugo wa Mombasa marehem uamsho ndani cost imetulia
Wanaita Islam phobia
 
Malaya tu wewe
 
Kusema kweli hatoki mtu

Labda baadae sana
 
Uislamu utatawala dunia haina shaka ni swala la muda tu na mifuko yote ya kidemokrasia itaondoshwa in sha Allah.
 
Utapigwa na butwaa zaidi siku ukikutana na misafara ya kuwapeleka mahakamani ili DPP akaiombe mahakama kuahirisha kesi na kisha kuwarejesha mashehe rumande.Mitutu ya mabunduki,ving'ora nk vinatisha kwelikweli.
 
Jurisidiction ya mashtaka wanayoshtakiwa nayo haiko SMZ.Iko kwa Muungano,wa kulaumiwa hapa ni mahakama kuu iliyokubali kuwekwa kwapani muhimili uliojichimbia chini zaidi.Lakini sisi tumefanya nini kuilinda haki ya mashehe na wote wanaoonewa?
 
Hivi kweli watu wanaweza kuonewa hivi bila hatia?,mwenye kuweza kututhibitishia hawa jamaa hawana makosa afanye hivyo pia atukumbushe nini kilitokea hata wakawa huko waliko.
Kesi isikilizwe ili kama wana hatia wapewe adhabu na kama hawana hatia waachiliwe.Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeipa mahakama mamlaka ya kutoa haki .
 
Mwamposa alipo sababisha mauaji kule moshi-Kilimanjaro unadhani alitumia haki yake ya kikatiba vizuri?
Mwamposa yupo gerezani?

Gwajima alipotukana uislamu na waislamu unadhani alitumia haki yake kikatiba vizuri?
Gwajima yupo gerezani?
Huyu Gwajima alishatukana kila mtu na kuchochea ukabila na vurugu.Huyu siyo wa Mungu,ana mtu wake ambaye humtumikia.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…