Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
Jidanganye tu, Kutubu mpaka aliowaumiza wa msamehe, na Dhambi ya kuua haifutiki Ng'o... Mmmae zake..Usiropoke usichokijua Jpm alitenda mambo mema na alitubu kabla ya kufa sasa jiulize wewe utapata hiyo nafasi ya kutubu sio kumtabiria mtu mwenye Jehanum kwa mihemko ya chuki naushabiki wa upinzani
Ni vitasa tu adhabu kaburi.