Mateso ya Mdude Nyagali ndani ya kuta za Gereza la Ruanda

Aisee Magufuli alikuwa Shetani na ibilisi kabisa mwenye umbile la Binadamu,mimi nilijua tu kuwa Magufuli hawezi kufika 2025 kwa sababu alikuwa anawagusa hadi watumishi wa Mungu aliye hai,yeye yule aishiye milele,Alfa na Omega,aliyeumba Dunia na Sayari zote na viumbe vyote.
Tanzania ilipata mkosi mkubwa sana mwaka 2015.
Kwa kuwa Magufuli kaondoka,basi Mdude na wenzake watatoka
 
Alishahukumiwa
 
Barakoa ni jukumu la kila mmoja anayejali uhai wake na kama hataki basi huyo ameamua.
Inategemeana na umuhimu wako kwenye jamii ,kama wewe huna umuhimu yann uvae ,Mimi nilikua nashauri tu kwahao makamanda wasije au wakawapelekea gerezani jamaa au wao wakaambukizwa wakaleta mtaani.sijui utakua umeelewa ubishi huo baba yenu ndo umempoza
 
inategemeana na umuhimu wako kwenye jamii ,kama wewe huna umuhimu yann uvae ,Mimi nilikua nashauri tu kwahao makamanda wasije au wakawapelekea gerezani jamaa au wao wakaambukizwa wakaleta mtaani.sijui utakua umeelewa ubishi huo baba yenu ndo umempoza
Tumeshazika
 
Habari Makamanda jasiri sana. Inasikitisha sana, inauma sana, bila kosa lolote ndani ya nchi yako unakuwa kama uko Jehanam. Ee Mungu tuokoe na hali hii ya ajabu ndani ya Tanzania yetu pendwa sana inayoharibiwa na wapuuzi, walafi, waroho, wanafiki na mafidhuli wachache waliouweka rehani utu wao kumtumikia IBILISI kiongozi wao. Ee Mungu utuhurumie wote hata hawa watesi wetu na hata kwa hili wanalomfanyia Mdude na Makamanda wenzake kwani kisasi si cha kwetu ni chako BABA.
 
Mpeni pole
 
Mkuu kwa kuchagua avatar ya jina hili hukukosea, umejiekti kama alivokua enzi za kupigania uhuru wa Rhodesia sasa Zimbabwe, wakati huo akina Mugabe na Nkomo wapo kwenye harakati za ukombozi, yeye Sithole yupo upande wa I Smith anaewakandamiza wazimbwabwe mwisho lakini Zimbabwe iko huru
 
Watu kama nyie mna roho mbaya sana,hata kusoma tu yakakuingia moyoni umeshindwa?lakini halitabaki jiwe juu ya jiwe,ukitegemea Nguzo limeanguka vimebaki vinguzo
 
nawaza tu, hivi huyu mwendazake angetawala miaka 10 zaidi kama wapambe wake walivyotaka iwe je nchi ingefikia wapi? too sad!!
 
Pole yake sana na si jambo zuri sana, ila pia huyu dogo alikosa washauri kwanamna nchi ilipokuwa na harakati zake, hakujitathmini na kugundua nyakati alizopo.

Wanasheria msaidieni kijana huyu
Upo vizuri
 
Uyo ajapigwa,anatembea na anaongea vizuri na bado anatambua watu,nasisitiza uyo ajapigwa,hizi ni porojo tu.
Kuna mgombea wa jiji la Mwanza anadaiwa pesa na mawakala wake,huu ni mkakati mpya wa kukusanya fedha za kulipa madeni kampeni zake za 2020.
 
Wewe ni mpuuzi na mpumbavu sana! Endelea kuwaimbia mapambio na kuwaita miungu binadamu tu. Muda wako unakuja! Muumba ameanza na kiongozi wenu nyie mashetani baada anakuja kwenu trust me!
Nimeona "siraha!"nikajua unatoka kwenye ile kanda ya mashetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…