Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona posho imetoka maana umerudi kule kule kwako, gerezani wanaruhusiwa kupiga picha?Nadhani ungeweka picha ya Mdude badala ya Pambalu ingependeza zaidi!
Hawezi kuundoa hata siku moja labda tupate chama kingineNimesoma hii thread huku machozi yakinilengalenga.
Hii nchi tulishafika sehemu mbaya sana yaani mtu unakosa uhakika wa kesho yako.
Tumuombe Rais Mama Samia ahakikishe huu uonevu uliosimikwa nchini mwetu anauondosha kabisa .
Kweli kabisaJiwe kama kweli amekufa Mungu ampeleke motoni.Kiongozi gani katili ivyo leo yupo wapi na alikuwa analeta jeuri kumbe ana spare kwenye mwili wako. mungu anakusudio lake kumchukua yule jamaa.
MUNGU siyo wa mchezo hata kidogoShetani aliyewatuma ameishateketea motoni, bado hao watesaji
Ila wakumbuke kuwa daima siku hazigandiHawezi kuundoa hata siku moja labda tupate chama kingine
Haya mashetani yataendelea kututesa hakuna namnaIla wakumbuke kuwa daima siku hazigandi
Chadema kutoka wabunge mia hadi mbunge mmoja,bado mnajipa matumaini kuwa chama kiko imara 😄😄😄Chadema ilikufa alipoondoka slaa.sasahivi Chadema imebaki fb na jamii foramPoleni Sana CHADEMA, Mungu wenu yu Hai, aliyewaapia CHADEMA Itakufa Kabla ya 2020 jina lake kwa sasa ni MWENDAZAKE But CHADEMA mpo imara kwa nguvu ya 5 pamoja na wale COVID-19 Kuunga Juhudi Kwa mgongo wa yule Mgogo. Maana yake ni kwamba Mwendazake alikuwa anapambana na Taasisi na ilo hakulijua hadi anaendazake.
Hii thread imenifanya nizidi kumchukia mwendazake kama kweli Mungu yupo basi Mwensazake ana hali mbaya sana katika moto wa jehanamu kwani hakupatana na aliowatesaNimesoma hii thread huku machozi yakinilengalenga.
Hii nchi tulishafika sehemu mbaya sana yaani mtu unakosa uhakika wa kesho yako.
Tumuombe Rais Mama Samia ahakikishe huu uonevu uliosimikwa nchini mwetu anauondosha kabisa .
Kwa akili yako unadhani wote walioko gerezani wamefanya makosa!Mwanakuli#Search Mwanakuli#Get mpe pole yake
Biblia inasema dini ya kweli ni kutembelea wagonjwa na wafungwaUmesahau kuwa katika dunia hii iitwayo uwanja wa fujo kila mtu ni mfungwa mtarajiwa.
Nakushauri sana ndugu yangu usikebehi mahabusu au mfungwa.
Muombe sana mungu asikupe kiburi cha kutenda hiyo dhambi.
Natamani niione siku hiiKuna siku wote waliohusika na haya mateso watalipa kwa kulia au kuliliwa na tayari wapo walioanza kuliliwa.
Mtu akitukana na kukashifu kuna utaratibu maalum wa kuufuata, siyo kubambikiza kesi, kutesa au kuuana. Tumeweka utaratibu wa kisheria ili tuweze kumtofautisha binadamu na mnyama au hayawani wa mwituni. Kama hili hulifahamu basi huwezi bado uko na safari ndefu sana na nakushauri ukaze mwendo ili ufike.Kuna vitu vingine mimi sioni kama vina faida kwa mtu mmoja mmoja pia ni kutesa familia zetu tu hivi kulikuwa na haja gani ya kutukana matusi yale aliyokuwa anatukana ?
Sidhani kama kuna mtu yeyote Duniani ambae hatakubali siasa alizokuwa anaendesha huyu Mdude hata siku moja hayupo
Samia naomba afute kesi zote za kisiasa japo kuna wengine wamefanya makosa kweli, ila tuache tu tuanze upya. Sidhani kama huyu (Musa) wa sasa anaweza kubali matusi aliyokuwa anatukana huyu jamaa atukanwe yeye tena huyu mmemzoesha kumsifu na kumuabudu siku mkianza kumtukana ndo mtajua na yeye nani.
Kipimo cha uvumilivu kinapimwa kwenye maumivu na shida si raha na burudani sasa mnapa burudani jaribuni kumpa shida na tabu ndo mtaona kweli ni mvumilivu au lah .
Kabisa ndugu yangu lkn bado kuna watu wanaamini miungu yaoBiblia inasema dini ya kweli ni kutembelea wagonjwa na wafungwa
Mungu ni mkubwa na daima hashindwiNatamani niione siku hii
Hawezi kubadilika maana tayari anaamini yupo kwenye dunia yake kwa mujibu wa mafunzo yao.Mtu akitukana na kukashifu kuna utaratibu maalum wa kuufuata, siyo kubambikiza kesi, kutesa au kuuana. Tumeweka utaratibu wa kisheria ili tuweze kumtofautisha binadamu na mnyama au hayawani wa mwituni. Kama hili hulifahamu basi huwezi bado uko na safari ndefu sana na nakushauri ukaze mwendo ili ufike.
AminaPole sana ndugu maadamu mwenda zake kaondoka basi mambo yatakuwa sawa very soon