achana na mimi we utakuwa unabakwa na wazazi wako mjinga nini?Mbwa ni aliyekuleta duniani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
achana na mimi we utakuwa unabakwa na wazazi wako mjinga nini?Mbwa ni aliyekuleta duniani
Hujui kuwa walikubaka wakati unanyonya?achana na mimi we utakuwa unabakwa na wazazi wako mjinga nini?
we endelea tu inaonekana unatafuta bwana mi sihitaji wa sengeHujui kuwa walikubaka wakati unanyonya?
Mshamba utamjua tuwe endelea tu inaonekana unatafuta bwana mi sihitaji wa senge
kama wewe hapo yaani wewe na mdude ni sawa tu maana mnaona matusi ni ujanja wakati ni ushamba tu huo wacha wamlegeze nati huko akitoka kalegeaaaaMshamba utamjua tu
Ukosoaji wa Mdude ulikuwa unatoa hasira sana,akitoka ajirekebishe,wahusika Kama mnapitia uzi huu mwachieni Mdude adhabu aliyopewa inatosha.Nimesoma hii thread huku machozi yakinilengalenga.
Hii nchi tulishafika sehemu mbaya sana yaani mtu unakosa uhakika wa kesho yako.
Tumuombe Rais Mama Samia ahakikishe huu uonevu uliosimikwa nchini mwetu anauondosha kabisa .
Unaoendezwa na dhuluma? Hayawani weweNadhani ungeweka picha ya Mdude badala ya Pambalu ingependeza zaidi!
Wewe jini unajua babako wa chattle sasa hivi yuko wapi? You are next!!Uyo ajapigwa,anatembea na anaongea vizuri na bado anatambua watu,nasisitiza uyo ajapigwa,hizi ni porojo tu.
Kuna mgombea wa jiji la Mwanza anadaiwa pesa na mawakala wake,huu ni mkakati mpya wa kukusanya fedha za kulipa madeni kampeni zake za 2020.
Ndiyo hao hao wanufaika wa hiyo keroUnaoendezwa na dhuluma? Hayawani wewe
halafu jitu linakuja hapa kudai eti Jpm alikuwa mcha Mungu ???!!!Mie sina shida kama alitumia lugha ya kuudhi au matusi changamoto ni kesi ya madawa inaingiaje hapo?
Yaani mtu kakuibia mke unampachika murder case ni haki kweli? Kwanini asipewe kesi inayokaribiana na kosa lake mfano cybercrime ili hta mkimkaliza mahabusu nusu mwaka kama Lema it's better kuliko kesi ya madawa ambayo anakuja kuachiwa baada ya miaka 6!! Sio sawa kwa kweli tusiunge mkono hili
Shangaa na weweKwa akili yako unadhani wote walioko gerezani wamefanya makosa!
Uko naye kaburini?Kweli Maisha yanakupa unachokitaka...mwenyekiti juzi katua kutoka Dubai mwanaharakati wake yuko nyuma ya kuta za ngome.
Bora mwenyekiti wetu Magu alikataa kwenda ulaya na marekani huko kuzulula akahaidi kukaa nasi hapa ndani mpaka kifo kinamchukua.
Na kila nikikumbuka kafa bado nakuwa na amani ametesa sana roho za wengi simanzi na vilio wamekufa wengi kwa mengi
We bro kila siku nakwambia ni mpumbavu. Gerezani panaruhusiwa picha? SHETANI mkubwa wewe. Watu wanateseka wewe unayafurahia Mateo yao??? UlaaniweNadhani ungeweka picha ya Mdude badala ya Pambalu ingependeza zaidi!
Huyo ni like son like fatherWe bro kila siku nakwambia ni mpumbavu. Gerezani panaruhusiwa picha? SHETANI mkubwa wewe. Watu wanateseka wewe unayafurahia Mateo yao??? Ulaaniwe
Anapata alichostahili.Nimesoma hii thread huku machozi yakinilengalenga.
Hii nchi tulishafika sehemu mbaya sana yaani mtu unakosa uhakika wa kesho yako.
Tumuombe Rais Mama Samia ahakikishe huu uonevu uliosimikwa nchini mwetu anauondosha kabisa .
Huu uonevu unamwisho Sikh yajaNa John Pambalu
Mara milango ya gereza ikafunguliwa. Askari akasisitiza acheni simu zenu na Muingie watu 4 tu. Tukaambatana na viongozi wawili wa chama wilaya ya Mbeya mjini, mimi pamoja na Kamanda Mwaipaya tukaingia ndani ya lango la Gereza.
Mwenyekiti umekuja?. Ilikuwa sauti ya Mdude aliyekuwa akichechemea na urefu wake huku akiinamia mkono wake wa kushoto. Mwenyekiti umekuja?, aliuliza kwa mara ya pili, sikumjibu kitu nikiwa mwenye moyo wenye huzuni nikimuona kamanda akichechemea kuzikabili nyavu zinazotenganisha mahabusu/wafungwa na watu wanaokwenda kuwaona.
Wamesema ninafanya biashara ya madawa ya kulevya, ninayasafirisha kutoka Pakistan. Sijui nilikuwa nasafirishaje Tanzania na Pakistan ilihali hata passport ya kusafiria sina kamanda, alisema Mdude.
Oh! Mwaipaya ni wewe kamanda, umehitimu mafunzo ya gereza. Hongera sana kamanda, naamini kuna kitu umejifunza. Moja kati ya faida kuu ya jela ni kukufanya uwe na ujasiri wa kukipigania kile unachokiamini. Najua sasa wewe ni jasiri. Alimueleza Mdude.
Makamanda wamenipiga, wananiuliza kwa nini ninaisumbua serikali? Walikuwa wamevalia mizura wamenipiga kamanda. Walinipiga nikiwa naumwa, walinitoa kwenye Zahanati ya jela nikiwa mgonjwa wakaja kunisulubu nje huku wafungwa wenzangu wakishuhudia. Wamenipiga alirudia tena akizungumza huku akiwa mwenye ujasiri na akizungumza kwa sauti ya ushupavu.
Ninachokiamini mimi, sikumkosoa Magufuli kwa kuwa nilikuwa namchukia, hapana. Wala sikumkosoa kwa sababu ya sura yake, bali kwa sababu ya uovu wa mfumo wa Serikali yake. Najua Mungu ni mkubwa ipo siku nitatoka.
Nikasogelea zaidi nyavu zinazotutenganisha. Nikamwambia Mhe. Freeman anakusalimia, akaniambia msalimie Mwamba mwambie naisubiria kwa hamu hotuba yake. Nikamwambia Mhe. Mnyika anakusalimia, akaniambia najua amewaandikia barua wenye mamlaka kuhusu madai yangu ya kuteswa gerezani, nimeambiwa. Wamekuja kuniomba radhi nikawaambia tutayamaliza nilikoyasemea.
Wakazungumza na Mwaipaya na kupeana vifungu vya biblia, nikamrudia nikamwambia kuna vitu kadhaa tumekuletea, wana wamekuchangia fedha kidogo. Akasema wapeni wanaonipikia chakula wanajua nini cha kufanya. Wamefanya kazi nzuri sana sijawahi teseka. Waambie watanzania ninawapenda
Aluta continue akatueleza akirejea ndani ya gereza akivuta mguu wake.
Tukaachana naye kulikabili Gereza la Songwe lililopo zaidi ya kilometa 100 kutoka mjini mbeya wanakoshikiliwa wapiganaji wenzetu wapatao 60, kati yao wanaume 53 na wanawake 7 Gereza la Songwe. Wengi wao wakituhumiwa wa kesi za mauaji na uhujumu uchumi.
Leo tutahitimisha ziara yetu katika mahakama huku mkoani Njombe kusikiliza kesi ya mauaji inayowakabili viongozi wetu, akiwemo Mhe. George Sanga Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Njombe.
Unaweza kuchangia chochote kwa ajili ya mahitaji kwa wafungwa wenzetu kwa 0746 777 845 Voda Jina Twaha Mwaipaya
Wasalaam
John Pambalu
jpambalu@gmail.com
0676250710